Bwana Banzi
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 397
- 196
Okay.......nawewe mwenyewe ulishindwa kuthibitisha kama hayupo, kwa sababu ulieleza matatizo tu ya dunia hii. Je waweza thibitisha sasa kuwa hayupo?Swali halikuwa kama unaamini, swali likikutaka uthibitishe kwamba yupo.
Viwili hivi ni tofauti.
Kama hujui tofauti kati ya kuamini na kuthibitisha, nitajuaje kama una basic requirements za kuweza kushiriki mjadala huu?
Okay.......nawewe mwenyewe ulishindwa kuthibitisha kama hayupo, kwa sababu ulieleza matatizo tu ya dunia hii. Je waweza thibitisha sasa kuwa hayupo?
Kwani ww unataka uthibitisho gani? Naww thibitisha hayupo, hatutaki utuorodheshee matatizo ya duniani....duniani kuna raha pia na taabu zipo.Huwezi jusema maamuzi yake wakati hujaweza kuthibitisha kwamba yupo.
Kama hayupo, hawezi hata kufanya maamuzi.
Unaweza kuthibitisha kwamba yupo?
Hilo ni moja.
Pili, kusema "hayo ni maamuzi yake" bila kiweza kuelezea maamuzi hayo kayafikia kwa logic gani ni kukibali kwamba humuwlewi huyu mungu, unamkubali kwa upofu.
Nimesoma mijadala ya watu pamoja na ya mleta uzi na nimegundua kwamba BINADAMU NDIO AMEMTENGENEZA / AMEMUUMBA MUNGU KUTOKANA NA KUSHINDWA KUPATA MAJAWABU YA VITU MBALIMBALI VILIVYOMZUNGUUKA.
Okay...rudia ile sentensi yako uliyoeleza kuwa kuna ubaya, vita n.k. kama sijakuelewa, nitakuelewaUlilisoma na kulielewa jibu langu la swali lako kwangu kuhusu mimi kuthibitisha kwamba hayupo?
Kama umelielewa unaweza kulirudia kwa maneno yako hapa ili na mimi nielewe kwamba umeelewa?
Kwani ww unataka uthibitisho gani? Naww thibitisha hayupo, hatutaki utuorodheshee matatizo ya duniani....duniani kuna raha pia na taabu zipo.
Kama mnakutana kila mara muda ule ule shtuka huenda kuna mkono wa mtu...mtafute mtaalam atakueleza!
Safi sana kwa swali zuri...naamini kaelewa na atakuja na majibu...Ni rahisi sana kusema umegundua hivyo hasa ukiwa wewe pia ni mmoja usiyeamini mungu. Ila watu wengi wameshindwa kuuelewa vizuri huu mjadala hata ambao wanaamini mungu.
Ngoja nikuulize kitu ambacho watu wengi wanaofuatilia huu mjadala wameshindwa kugundua.
Hivi wakati unausoma huu mjadala je,umeona kuwa wasioamini mungu kama kweli wapo hapa kwa ajili ya kuutafuta ukweli wa kwanini watu wanasema kuna Mungu? Au wapo hapa kwa ajiri ya kutetea kile wanachokiamini wao tu kuwa hakuna mungu?
Naamini utaweza kunijibu vizuri kwa sababu umefanya uchuguzi wa huu mjadala.
Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu unaoruhusu ajali kutokea na viumbe wake kuumia vikali na hata kufa?
Wakati alikuwa na uwezo wote wa kuumba ulimwengu ambao ajali haiwezekani.
Umelielewa jibu la swali lako hili nililokupa?
Inaonekana hujalielewa.
Unaweza kuthibitisha chochote ambacho hakipo kwamba hakipo?
Sijauliza kuhusu raha, nimeuliza kwa nini mungu kaumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na matatizo na tabu? Wakati aliweza kuumba ukimwengu ambao hauna wala hauwezekani kuwa na tabu?
Hujajibu swali hili, unajaribu kulizunguka tu.[/QUOTE
Duhhh...nimekupata, kwanza hizo raha unazozihitaji ungejuaje kama raha ingelikuwa tabu hazipo? Sikiliza, kuna usiku na mchana, wema na wovu, baridi na joto. Kwahiyo ktk ulimwengu vyovyote Mungu aliviweka...
Either way, it points to the nonexistence of at least the Judeo Christian godhead.
If it is predetermined, then god lacks justice. Because he punishes and rewards people for a fate he sets out himself for them.
If it is not predetermined, then gods knowledge is not perfect since for fate not to be predetermined it is necessary that he does not know what we will do.
Either way, this god is a hoax.
Napokuta mijadala kama hii humu huwa ninaipenda kweli kwa kuwa huwa ninaiangalia kwa jicho la kuwa neutral ili kuweza kuishughulisha akili kujua ukweli kuhusu mungu kwa mtazamo wa kibinadamu na huwa nakwenda mbali zaidi kujiuliza hivi kwanini mie ni mkristo au kwanini mie ni mkatoliki au mlutheri baadae napata jibu au babu yangu alikuwa hivyo au baba yangu then nakwenda mbali zaidi najiuliza tena kwanini sie waafrika tumechelewa kuzipokea hizi dini mpaka kuletewa na wakoloni kama karne moja na ushee ama mbili zilizopitaNi rahisi sana kusema umegundua hivyo hasa ukiwa wewe pia ni mmoja usiyeamini mungu. Ila watu wengi wameshindwa kuuelewa vizuri huu mjadala hata ambao wanaamini mungu.
Ngoja nikuulize kitu ambacho watu wengi wanaofuatilia huu mjadala wameshindwa kugundua.
Hivi wakati unausoma huu mjadala je,umeona kuwa wasioamini mungu kama kweli wapo hapa kwa ajili ya kuutafuta ukweli wa kwanini watu wanasema kuna Mungu? Au wapo hapa kwa ajiri ya kutetea kile wanachokiamini wao tu kuwa hakuna mungu?
Naamini utaweza kunijibu vizuri kwa sababu umefanya uchuguzi wa huu mjadala.
Alipouumba, aliuumba kwa kuwezesha mabaya kufanyika au alikataza mabaya kuwezekana?
shalet
Hiyo namba 1&5 kama Jah aliumba watu wawili tu na wakaongezeka ina maana tuligegedana ndugu kwa ndugu then ndio tuka ongezeka?Kama jibu ni ndio basi hata leo uki mgegeda dada yako hiyo sio dhambi coz ina onekana sie wote ni ndugu wa baba mmoja na mama mmoja!
Ni kweli ila humu jf kuna watu tofauti tofauti, usipokuwa makini unaweza ukawa sehemu mbaya kuliko uliyokuwa kwanza. Kila mtu anahubiri atakavyo, kuna wanaohubiri Mungu hayupo, kuna wanaofundisha watu uchawi ...kuna kila kila aina ya watu. Na kila mtu anahubiri kwa manufaa ya kikundi chao au nia yakupoteza umma ili uelekee gizani. Chamsingi ni kwamba, kama ubaya upo duniani jua kuna chanzo cha huo ubaya na pia kama wema upo pia kuna chanzo cha huo wema. Toka tumekuwa watoto twashuhudia miujiza mashuleni, maprofesa ( wachawi, waganga wa kienyeji) walikuwa wakiifanya, hii leo mtu akwambie hakuna miujiza au uchawi utamuuelewa? Kuna vitu vingi huwezi kuthibitisha ktk ulimwengu wa mwili bali ni mambo ya kiroho zaidiNapokuta mijadala kama hii humu huwa ninaipenda kweli kwa kuwa huwa ninaiangalia kwa jicho la kuwa neutral ili kuweza kuishughulisha akili kujua ukweli kuhusu mungu kwa mtazamo wa kibinadamu na huwa nakwenda mbali zaidi kujiuliza hivi kwanini mie ni mkristo au kwanini mie ni mkatoliki au mlutheri baadae napata jibu au babu yangu alikuwa hivyo au baba yangu then nakwenda mbali zaidi najiuliza tena kwanini sie waafrika tumechelewa kuzipokea hizi dini mpaka kuletewa na wakoloni kama karne moja na ushee ama mbili zilizopita
Haya yote tunayapata humu kwa kuwa tunayajadili kwa akili ya kibinadamu lakini tukienda kule kwenye imani ni utahubiriwa pasipo kutafakari kutokana na kwamba tumevipokea hivi vitu tangu tukiwa watoto wadogo mpaka tumekuwa hivyo fursa ya kuchallenge ili uweze kuelewa kwa undani zaidi tunakosa na hii ndio maana kutokana na utofauti wa kuelewa vitu ndio maana unakuta kuna maeneo watu wanatofautiana uelewa na kunakuwepo dini na madhebu kibao lakini mwisho wa siku wote wanahubiri uwepo wa mungu huku kila mmoja na mbinu yake.
Napokuta mijadala kama hii humu huwa ninaipenda kweli kwa kuwa huwa ninaiangalia kwa jicho la kuwa neutral ili kuweza kuishughulisha akili kujua ukweli kuhusu mungu kwa mtazamo wa kibinadamu na huwa nakwenda mbali zaidi kujiuliza hivi kwanini mie ni mkristo au kwanini mie ni mkatoliki au mlutheri baadae napata jibu au babu yangu alikuwa hivyo au baba yangu then nakwenda mbali zaidi najiuliza tena kwanini sie waafrika tumechelewa kuzipokea hizi dini mpaka kuletewa na wakoloni kama karne moja na ushee ama mbili zilizopita
Haya yote tunayapata humu kwa kuwa tunayajadili kwa akili ya kibinadamu lakini tukienda kule kwenye imani ni utahubiriwa pasipo kutafakari kutokana na kwamba tumevipokea hivi vitu tangu tukiwa watoto wadogo mpaka tumekuwa hivyo fursa ya kuchallenge ili uweze kuelewa kwa undani zaidi tunakosa na hii ndio maana kutokana na utofauti wa kuelewa vitu ndio maana unakuta kuna maeneo watu wanatofautiana uelewa na kunakuwepo dini na madhebu kibao lakini mwisho wa siku wote wanahubiri uwepo wa mungu huku kila mmoja na mbinu yake.
Ameeen....! Halafu kwa kawaida binadamu anauwezo ambao limited kwa kila jambo. Mfano audible range ( 20HZ-20KHZ). Njee ya hapo either usisikie au masikio ya pasuke, na hata ktk kuona kuna range twaweza ona. Kwahiyo hata uwezo wa kufikiri...upo limited pia...Mwenyenzi- Mungu awabarikiNdipo hapo ujue God at work mtamjua kwa njia mbalimbali ila lengo moja tu! Mungu huwezi mjua mpaka siku akijidhirisha kwako unachoweza fanya ni kumsikia tu katika masimlizi ya walio wahi kumwona kwa njia mbalimbali. Imani inajengwa na masilimlizi ya matendo ya Mungu.
Hawa watu wana ajenda ya siri ya kuchanganya akili za watu, ilihali wao wanapata nafasi ya kufanya mambo yao. Ukisha aminishwa Mungu hayupo ina maana hutakuwa na nguvu ya kukemea hata maovu yanayotendeka mfano ushoga n.k...kwahyo hawa watu wanakuja kwa kasi sana. Tujitahidi kuwaelimisha ili umma usipotoshwe ndugu, tujadili nao tutafika tu..na wataelewa kwa kudra za Mwenyezi-Mungu
Napokuta mijadala kama hii humu huwa ninaipenda kweli kwa kuwa huwa ninaiangalia kwa jicho la kuwa neutral ili kuweza kuishughulisha akili kujua ukweli kuhusu mungu kwa mtazamo wa kibinadamu na huwa nakwenda mbali zaidi kujiuliza hivi kwanini mie ni mkristo au kwanini mie ni mkatoliki au mlutheri baadae napata jibu au babu yangu alikuwa hivyo au baba yangu then nakwenda mbali zaidi najiuliza tena kwanini sie waafrika tumechelewa kuzipokea hizi dini mpaka kuletewa na wakoloni kama karne moja na ushee ama mbili zilizopita
Haya yote tunayapata humu kwa kuwa tunayajadili kwa akili ya kibinadamu lakini tukienda kule kwenye imani ni utahubiriwa pasipo kutafakari kutokana na kwamba tumevipokea hivi vitu tangu tukiwa watoto wadogo mpaka tumekuwa hivyo fursa ya kuchallenge ili uweze kuelewa kwa undani zaidi tunakosa na hii ndio maana kutokana na utofauti wa kuelewa vitu ndio maana unakuta kuna maeneo watu wanatofautiana uelewa na kunakuwepo dini na madhebu kibao lakini mwisho wa siku wote wanahubiri uwepo wa mungu huku kila mmoja na mbinu yake.
Kwa hiyo kama binadamu ana mwisho wa uwezo wake hilo linathibitisha kuwepo kwa mungu?
Kati ya anayesema kuna mungu ambaye hawezi kumthibitisha na anayekataa uwepo wa mungu huyo mpaka uthibitisho uwepo nani anajifanya mjuaji?
Kujifanya mjuaji kwangu mimi ni kudai unajua kitu usichojua.
Mimi sikubali kuwepo kwa mungu kwa sababu silijui hilo.
Wanaosema mungu yupo bila ya kuwa na uwezo wa kuthibitisha hilo ndio wanaojifanya wajuaji.