COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

yah it must be too low first inorder to be too high..hapangi jambo na kuhairisha mkuu,wala hajapoteza sifa ya umungu..JE unataka kuniaminisha kwamba hujui kama alisema,anaweza fanya lolote alipendalo...
Alisema lini na wapi na nani shahidi hapo ndipo pagumu,maana kama unatumia reference za Biblia ama koran basi unaingia katika kundi lile lile!,Biblia na koran vimejaa mkangamano ambao hauna majibu mpaka leo.

kuhusu kujua yajayo halishadhihilisha hilo,na akasema ebu iambieni hiyo miungu yenu kama inajua yajayo,..
Kwa nn kuwe na miungu?,je una uhakika gani kama ukiabuducho ni sahihi ama dininyako ndiyo sahihi na sio zingine?,na je tuseme waislam wote na wahindu hawaabudu katika mungu wa kweli basi watachomwa moto kwa kuwa tu hawaabudu mungu aliye wa kweli?,this is kind of nosense!,.Uwepo wa dini nyingi duniani ni uthibitisho toaha kwamba mungu ama idwa ya mungu tunaiumba sisi

Mwenyezi Mungu alipanga na kupangua bila kupoteza lengo lake nikudhihirisha uwezo wake kwetu..
Kwa nini mungu mwenye uweO wote na maarifa yote apange na kupangua??mungu akishakuwa na sifa ya kupanga basi huyo sio mungu,hiyo ni sifa ya mwanadamu.Ukisema mungu alipanga basi unamwondolea sifa ya kujua yajayo.
unajua anauwezo wakuwaua wote wenyedhambi dakika hii,je akifanya hivo wale wema wataenda mbinguni namawazo gani...

Duu aisee

unajua anaweza fanya chochote duniani,fikiria icho unachotaka afanye kama kitaleta sifa ya umungu(haki)...

unaweza ukabisha ata upepo haupo kwasababu hauuoni, lkn utautambua kwa kazi yake...
Upepo tunaupima kwa vifaa na kujua speed yake na uelekeo sasa nambie mungu tunampima kwa kipimo gani?,na kwa vipi wewe unamjua na kuweza kumuelezea hapa nami nisimjue?,

MWENYEZI MUNGU NI MWANZO NA MWISHO....unacho amini wewe ni kwamba hakuna mwanzo wala mwisho..tunacho amini sisi kuna mwanzo na mwisho lkn hatuujui mwanzo wala mwisho..

Ahsante.

Kama huujui unaamini kwa nini?.Nikisema ni uoga ntakuwa wrong?.Yaan kwa kuwa ulizaliwa ukakuta watu wanasema kuna munhu basi na wewe ukaamua kufuata hivyo bila kuwa na uhakika.

Kwa nini hamuhoji na kutaka kukijua kile mnachotakiwa kukiamini?karibu katika ukimwengu wa fikra huru!.
 
Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Hujaonesha kimantiki imekuwaje mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Uwepo wa Mungu upo kutegemeana na mmoja hadi Mwingine, licha ya kuwepo nadharia nyingi zilizoshindwa kuthibitishwa kisayansi mfano wanasayansi hawana majibu ya maswali haya kikamilifu;

1: Nini chanzo cha uhai
2: Nini chanzo cha kifo.
3: Kushindwa kuzuia kifo.

Hayo ni maswali machache kati ya mengi yanayoweza kuthibitisha kuwepo the most powerful force (might) acting behind everything which is God.

Kwake yeye Mungu ulimwengu ni mzuri sana na hauna mabaya yoyote! Ulimwengu mbaya kwa wanadamu na nikwasababu ya jinsi mnavyoutazama itakuwa mara nyingi umejihusisha juu ya mabishano juu ya uweopo wa Mungu, Kwa maana ya kuomba uthibitisho wa kisayansi ya kwa Kumhusisha au Kumfanya yeye kuwa Physical object kitu ambacho siyo maana ata maandiko yenyewe yanaelezea kuwa Mungu ni roho yaani Intangible object kwa maana hiyo ata scientific proofs zinakosa nguvu maana hakuna tangibility.

Ukitafakari jinsi roho kwa maana ya uhai wa kiumbe ulivyo ndipo hapo utajua Mungu anayezungumzwa yuko vipi.

Mabaya yanayo mpata mtu ujue kayatengeneza mwenyewe maana ata maandiko yanasema vizuri chimbuko la kifo ni dhambi. Ata kwenye sheria makosa yanatengenezwa na watu kwa kuweka sheria ya kuzuia jambo fulani.

Kwake binadamu na dunia yake mabalaha anayatengeneza mwenyewe either by acting tangibly or intangibly ila Mungu aweza kumwepusha Mtu mwema na mabalaha ya dunia kwa njia aijuayo yeye.
 
lkn ambaye amesha kwisha sikia habari za Mungu akitenda hayo hatakua sawa...

Kumbe ni swala la kusikia tu,okay mimi nikisikia habar za TEA POT katika milima ya Himalaya,ama pia habar za SAI BABA wa kule India yule mwenye uweO wa kufufua na kuponya, je nikisema yule ni zaidi ya mungu wenu nitakuwa wrong?
 
Alisema lini na wapi na nani shahidi hapo ndipo pagumu,maana kama unatumia reference za Biblia ama koran basi unaingia katika kundi lile lile!,Biblia na koran vimejaa mkangamano ambao hauna majibu mpaka leo.


Kwa nn kuwe na miungu?,je una uhakika gani kama ukiabuducho ni sahihi ama dininyako ndiyo sahihi na sio zingine?,na je tuseme waislam wote na wahindu hawaabudu katika mungu wa kweli basi watachomwa moto kwa kuwa tu hawaabudu mungu aliye wa kweli?,this is kind of nosense!,.Uwepo wa dini nyingi duniani ni uthibitisho toaha kwamba mungu ama idwa ya mungu tunaiumba sisi


Kwa nini mungu mwenye uweO wote na maarifa yote apange na kupangua??mungu akishakuwa na sifa ya kupanga basi huyo sio mungu,hiyo ni sifa ya mwanadamu.Ukisema mungu alipanga basi unamwondolea sifa ya kujua yajayo.


Duu aisee


Upepo tunaupima kwa vifaa na kujua speed yake na uelekeo sasa nambie mungu tunampima kwa kipimo gani?,na kwa vipi wewe unamjua na kuweza kumuelezea hapa nami nisimjue?,



Kama huujui unaamini kwa nini?.Nikisema ni uoga ntakuwa wrong?.Yaan kwa kuwa ulizaliwa ukakuta watu wanasema kuna munhu basi na wewe ukaamua kufuata hivyo bila kuwa na uhakika.

Kwa nini hamuhoji na kutaka kukijua kile mnachotakiwa kukiamini?karibu katika ukimwengu wa fikra huru!.

Maswali yako nimepesi kujibu,.

koran na biblia wala havina mkanganyiko labda kama husomagi.labda kama unasema ule alio utabiria yeye mwenyewe, kwamba watapunguza ama kuongeza maneno kwenye neno lake.

kuhusu dini yakweli na uwepo wadini mbalimbali ni mipango yake ili atende haki kila mmoja atahubiriwa kwa lugha yake,ukatae mwenyewe tu bila kusingizia...

Kuhusu mwenyezi MUNGU ni kama binadamu,Ndio anasifa ya binadamu aliyekamilika....

kuhusu kumpima kama yupo au hayupo.."imeandikwa husimjaribu bwana MUNGU wako".

kuhusu kuamini nilichokikuta..ata wewe Baba yako na Mama yako uliwakuta uliwajuaje?.na kama husinge wakuta ungewajuaje?..hizo njia basi namwenyezi Mungu anatumia njia pia kujitambulisha kazi kwako uamini husiamini..

Ahsante
 
Kumbe ni swala la kusikia tu,okay mimi nikisikia habar za TEA POT katika milima ya Himalaya,ama pia habar za SAI BABA wa kule India yule mwenye uweO wa kufufua na kuponya, je nikisema yule ni zaidi ya mungu wenu nitakuwa wrong?

kama atathibitisha kwamba yeye ni zaidi ya MUNGU kwanini husiamini...N.B kama kweli umesoma maandiko ya MUNGU na kuyaelewa ukiona yamepitwa amini huyo aliye yapita..

kunawatakao thibitisha Kwamba hayupo na kufanya makubwa mengi watakayo linginganisha na uwezo wa Mwenyezi MUNGU.ila hawatoweza kitu kidogo tu kupanga yajayo...
 
ndio watakua sawa kama hiyo sauti kwenye kibox wakiifafanua kama mungu wao nakuendana na imani yao watakua sawa..

kwani ata hapo awali walioabudu sanamu walikua sawa.

lkn ambaye amesha kwisha sikia habari za Mungu akitenda hayo hatakua sawa...

"Watakuwa sawa" maana yake nini?

Maana yake mungu ndiye atakuwa anasema kwenye redio?
 
kama atathibitisha kwamba yeye ni zaidi ya MUNGU kwanini husiamini...N.B kama kweli umesoma maandiko ya MUNGU na kuyaelewa ukiona yamepitwa amini huyo aliye yapita..

kunawatakao thibitisha Kwamba hayupo na kufanya makubwa mengi watakayo linginganisha na uwezo wa Mwenyezi MUNGU.ila hawatoweza kitu kidogo tu kupanga yajayo...

Kabla ya yote thibitisha kwamba mungu yupo.
 
Uwepo wa Mungu upo kutegemeana na mmoja hadi Mwingine, licha ya kuwepo nadharia nyingi zilizoshindwa kuthibitishwa kisayansi mfano wanasayansi hawana majibu ya maswali haya kikamilifu;

1: Nini chanzo cha uhai
2: Nini chanzo cha kifo.
3: Kushindwa kuzuia kifo.

Hayo ni maswali machache kati ya mengi yanayoweza kuthibitisha kuwepo the most powerful force (might) acting behind everything which is God.

Kwake yeye Mungu ulimwengu ni mzuri sana na hauna mabaya yoyote! Ulimwengu mbaya kwa wanadamu na nikwasababu ya jinsi mnavyoutazama itakuwa mara nyingi umejihusisha juu ya mabishano juu ya uweopo wa Mungu, Kwa maana ya kuomba uthibitisho wa kisayansi ya kwa Kumhusisha au Kumfanya yeye kuwa Physical object kitu ambacho siyo maana ata maandiko yenyewe yanaelezea kuwa Mungu ni roho yaani Intangible object kwa maana hiyo ata scientific proofs zinakosa nguvu maana hakuna tangibility.

Ukitafakari jinsi roho kwa maana ya uhai wa kiumbe ulivyo ndipo hapo utajua Mungu anayezungumzwa yuko vipi.

Mabaya yanayo mpata mtu ujue kayatengeneza mwenyewe maana ata maandiko yanasema vizuri chimbuko la kifo ni dhambi. Ata kwenye sheria makosa yanatengenezwa na watu kwa kuweka sheria ya kuzuia jambo fulani.

Kwake binadamu na dunia yake mabalaha anayatengeneza mwenyewe either by acting tangibly or intangibly ila Mungu aweza kumwepusha Mtu mwema na mabalaha ya dunia kwa njia aijuayo yeye.

First thing first, sayansi kutokuwa na majibu ya maswali si uthibitisho wa kwamba mungu yupo wala majibu ya maswali hayo ni mungu.

Kama vile ambavyo mwanadamu kutokujua jibu kamiki la square root ya mbili si uthibitisho wala ushahidi wa kwamba jibu ni nane.

Kitu gani kinakufanya uunganishe kutokujua kwa mtu maswali fulani na uwepo wa mungu?

Mtu asipojua jibu la swali fulani hilo linamaanisha hajui jibu tu. Halina maana kwamba jibu ni mungu.

Makabila ya misituni ambayo hayajajua kuwapo kwa redio siku yakija kuona redio, yakafikiri yule mtangazaji kwenye redio ni mungu anasema, yatakuwa sawa?

Unasema mabaya yakimpata mtu kayataka mwenyewe, hata hujaelewa swali langu.

Swali langu haliulizi kwa nini mtu anapatwa na mabaya. Lingekuwa hilo jibu lako labda lingeweza kuanza kuelekea kuwa sawa.

Mimi naukiza, kabla mtu hajaumbwa, mungu alivyokuwa anaumba ulimwengu, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kama ambavyo wewe huwezi kuridi nyuma katika muda leo. Kama unaamini mungu ana uwezo wote.

Kwa nini hakuumba ulimwengu huo kaumba huu ambao mabaya yanawezekana? Wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba huo ulimwengu ambao hajauuumba?
 
ndio watakua sawa kama hiyo sauti kwenye kibox wakiifafanua kama mungu wao nakuendana na imani yao watakua sawa..

kwani ata hapo awali walioabudu sanamu walikua sawa.

lkn ambaye amesha kwisha sikia habari za Mungu akitenda hayo hatakua sawa...

Suala si hiyo sauti wanaifafanua vipi, ukianza kuleta habari hizo utatuletea habari za 1 =2=3=4=5... . Everything is right, according to interpretation, and that risks also accepting that nothing is right.

You end up with a conundrum.

Everything is right and nothing is right at the same time.

Mungu yupo na hayupo kwa wakati mmoja.

Utaharibu.

Inabidi typate njia ya kujua kwa ulweli ambao utakuwa kweli hasa kwa watu wite, si wa kufikirika tu.

Wakimsikia mtangazaji kwenye reduo, wakafikiri mtangazaji kwenye redio ni mungu, hilo litamfabya mtangazaji kwenye redio awe ni mungu kweli?

Inawezekana mungu wako ni mtangazaji wa redio.
 
Maswali yako nimepesi kujibu,.

koran na biblia wala havina mkanganyiko labda kama husomagi.labda kama unasema ule alio utabiria yeye mwenyewe, kwamba watapunguza ama kuongeza maneno kwenye neno lake.

kuhusu dini yakweli na uwepo wadini mbalimbali ni mipango yake ili atende haki kila mmoja atahubiriwa kwa lugha yake,ukatae mwenyewe tu bila kusingizia...

Kuhusu mwenyezi MUNGU ni kama binadamu,Ndio anasifa ya binadamu aliyekamilika....

kuhusu kumpima kama yupo au hayupo.."imeandikwa husimjaribu bwana MUNGU wako".

kuhusu kuamini nilichokikuta..ata wewe Baba yako na Mama yako uliwakuta uliwajuaje?.na kama husinge wakuta ungewajuaje?..hizo njia basi namwenyezi Mungu anatumia njia pia kujitambulisha kazi kwako uamini husiamini..

Ahsante

Hujathibitisha mungu yupo.

Ukiambiwa uthibitishe, jibu lako linalokwepa kujibu hoja ni jibu rahisi tu "imeandikwa usimjaribu bwana MUNGU wako".

You are in an impossible cocoon.
 
Ndio watakua wamesha amini kwamba MUNGU yupo na anazungumza kwenye RADIO

Swali si wataamini nini.

Naona unajibu hata swali hujalielewa.

Huyo mtangazaji kwenye redio ndiyo atakuwa mungu kweli?
 
Kuthibitisha ni kitu kilicho katika domain ya vilivyopo.

Kama huwezi kuthibitisha vilivyopo, huwezi kuthibitisha chochote na chochote hakina maana yoyote.

Pamoja na mungu.

Nithibitishie kitu kilichokuwepo.
 
Swali si wataamini nini.

Naona unajibu hata swali hujalielewa.

Huyo mtangazaji kwenye redio ndiyo atakuwa mungu kweli?

MUNGU kweli ni yule ninaye muamini mimi.ila kilulingana na swali lako hao watu wakiamini MUNGU yupo kwenye Radio,basi tayar watakua washatofautiana na nyie ambao hamuamini yupo
 
Mungu wako ni sawa na mwalimu?

Mwalimu anatoa mtihani bila majibu ingawa majibu anayo kwa sababu anataka kujua mwanafunzi anajua nini na nini hajui.

Mungu anayejua kila kitu anatoa mtihani ili iweje?

Kwahiyo mitihani ni kwa faida ya mwalimu au mwanafunzi mwenyewe?
 
Hujathibitisha mungu yupo.

Ukiambiwa uthibitishe, jibu lako linalokwepa kujibu hoja ni jibu rahisi tu "imeandikwa usimjaribu bwana MUNGU wako".

You are in an impossible cocoon.

Na watu gani wanaosema nothing is impossible under the sun....unataka kuthibitishiwa MUNGU yupo..Huu uthibitisho mmoja tu MUNGU wangu ndio aliyeshika dunia isianguke ikianguka pasipo yeye kutoke basi atakua hayupo....huu ni uthibitisho labda utataka nikuoneshe alivyo ishikiria? ndio swali linalo fata eh?
 
MUNGU kweli ni yule ninaye muamini mimi.ila kilulingana na swali lako hao watu wakiamini MUNGU yupo kwenye Radio,basi tayar watakua washatofautiana na nyie ambao hamuamini yupo

That is neither here nor there.

Hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Hujanieleza ni kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao ubaya na uovu unawezekana wakati ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao ubaya na uovu hauwezekani?
 
Back
Top Bottom