UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Sawa.
Unaweza kuwa na tajiri ana uwezo wa kuwa na nyumba nzuri lakini haishi katika nyumba nzuri.
Rais anayemaliza muda wake wa Uruguay Jose Mujica anaendesha ki Volkswagen Beetle na kupenda maisha ya chini.
Analipwa $ 12,000 kwa mwezi, lakini anatoa sadaka asilimia 90 ya mshahara wake.
Sababu yake ya kufanya hivyo ni kwamba yeye anataka kuishi maisha ya kawaida kama raia wa kawaida wa Uruguay. Anaamini katika usawa wa binadamu na hataki tais awe na maisha tofauti sana na wananchi wake. Ameahawahi kitoa maneno kwamba angependa kuona marais wote wa dunia wanaishi kama wananchi wao wa kawaida.
Kwa hiyo huyu tais kwa atandards za mtu wa kawaida wa Uruguay ni tajiri, lakini anaishi maisha ya kawaida.
Na katoa sababu zake, nzuri tu, kaeleweka kwa nini kaishi maisha ya kawaida.
Maelezo yake hayana major contradiction.
Mungu wenu hamuwezi kumuelezea kwa nini alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu usio na mabaya, lakini hakuumba ulimwengu huo?
Hapa nilichofanya ni kwamba nimekuuliza swali hili, na wewe inajibu kwa kusema "mungu kaamua tu kuumba hivyo ingawa alikuwa na uwezo wa kuumba vingine".
For the sake of argument, hilo si jibu la swali langu.
For the sake of argument, nimekubali kwamba OK, mungu kaumba ulimwengu huu kama ulivyo. Hili si jambo ambalo nataka kuli challenge.
Nilichouliza, ambacho mpaka sasa hujakijibu, ni kwamba, kwa nini mungu kauumba ulimwengu huu na sio ule ambao hauna uwezekano wa mabaya?
Ukinijibu kwamba mungu alikuwa/ ana iwezo wa kuumba ulimwengu usio na mabaya lakini hakuamua tu kuumba ulimwengu huo, bado hujajibu swali langu la kwa nini kaamua kuumba ulimwengu huu na sio ule.
Hujajibu ulichoulizwa, na ulichojibu hujaulizwa.
Hata kama Rais Jose Mujica asingesema ni kwanini anaishi ya aina hiyo hali ya kuwa anauwezo wa kuishi maisha ya kitajiri je,hiyo ingemfanya asiwe tajiri?