COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Nijibu swali gani ambalo sijalijibu?

Suala hapa siyo mimi kujibu maswali, najibu maswali, unanukuu jibu na kunitaka nijibu swali ambalo jibu lake umelinukuu.

Suala hapa ni, nikikujibu maswali una uwezo wa kulielewa jibu?

Nani mwenye kukitafuta hicho
chanzo na amefikia wapi hadi sasa?

Ikiwa unaamini hakuna mungu japo unakubali mapungufu ya kama kutokujua chanzo cha ulimwengu na binadamu lakini bado umeshikilia imani ,sasa mbona imani ya mungu ambayo kwenu mmeona inamapungufu mmeikataa jumlajumja japo kuna mambo ambayo hamuwezi
kuyakataa?
 
Nani mwenye kukitafuta hicho
chanzo na amefikia wapi hadi sasa?

Ikiwa unaamini hakuna mungu japo unakubali mapungufu ya kama kutokujua chanzo cha ulimwengu na binadamu lakini bado umeshikilia imani ,sasa mbona imani ya mungu ambayo kwenu mmeona inamapungufu mmeikataa jumlajumja japo kuna mambo ambayo hamuwezi
kuyakataa?

Unaulizaje nani mwenye kukitafuta wakati this is a basic human instinct?

Kila mtu anatafuta hicho chanzo, na kila mtu kafikia alipofikia, wengine wameamua kwenda na uvivu wa kukubali mungu kaumba kila kitu.

Wengine wanaikubali sayansi ambayo licha ya mapungufu yake yote, inavutia kwa njia yake ya uchunguzi na kuzidi kukaribia majibu ya ukweli huku ikitupilia mbali majibu ambayo yanaonekana kutokidhi kanuni za kimantiki za marejeo ya kiuanazuoni (peer review, which sadly, we do not have here, that is why I am discussing this with you, who are obviously not my peer).

The convergence towards accuracy, the openness to criticism and the rigorous adherence to logic provided by scientific thought is far more useful in discerning truth than anything religion can offer.
 
Unaulizaje nani mwenye kukitafuta wakati this is a basic human instinct?

Kila mtu anatafuta hicho chanzo, na kila mtu kafikia alipofikia, wengine wameamua kwenda na uvivu wa kukubali mungu kaumba kila kitu.

Wengine wanaikubali sayansi ambayo licha ya mapungufu yake yote, inavutia kwa njia yake ya uchunguzi na kuzidi kukaribia majibu ya ukweli huku ikitupilia mbali majibu ambayo yanaonekana kutokidhi kanuni za kimantiki za marejeo ya kiuanazuoni (peer review, which sadly, we do not have here, that is why I am discussing this with you, who are obviously not my peer).

The convergence towards accuracy, the openness to criticism and the rigorous adherence to logic provided by scientific thought is far more useful in discerning truth than anything religion can offer.

Ikiwa unaamini hakuna mungu japo unakubali mapungufu ya kama kutokujua chanzo cha ulimwengu na binadamu lakini bado umeshikilia imani ,sasa mbona imani ya mungu ambayo kwenu mmeona inamapungufu mmeikataa jumlajumja japo kuna mambo ambayo hamuwezi
kuyakataa?
 
kumbuka anaeongoza ulimwengu kwa sasa ni lucifer MUNGU hausiki kabisa na mabaya yanayotekea apa. na msaada wake kwa wanaopatwa na matatizo ni kifo ,yani ufe afu yeye atakupokea kama yule tajiri alivyompokea mwana mpotevu na utapumnzika kwa amani kisha utarudi tena kuishi apa ulimwenguni ktk ufalme wake milele. kumbuka kila unachokiona kimeundwa ! basi na ww ujuwe umeumbwa ! Tajiri akifa nae ivyo ivyo anakuwa amechukuliwa ili kumpunguzia matatizo ya vitendo vya dhambi alivyokuwa anasababishiwa na utajiri wake ambao ni shetan . Na yule mtu ambaye ni tajiri ambaye alikuwa anajitaidi kutotenda dhambi akifa uwa amechukuliwa ili asije akachafuliwa kwa dhambi apa duniani . Iyo ndio misaada MUNGU ametupatia binaadam yani ni kifo tu. sababu uwe tajiri au maskini lucifer ndio atakuwa resposible kwakila baya ulifanyalo naye ndio ataukumiwa so wewe.
 
kumbuka anaeongoza ulimwengu kwa sasa ni lucifer MUNGU hausiki kabisa na mabaya yanayotekea apa. na msaada wake kwa wanaopatwa na matatizo ni kifo ,yani ufe afu yeye atakupokea kama yule tajiri alivyompokea mwana mpotevu na utapumnzika kwa amani kisha utarudi tena kuishi apa ulimwenguni ktk ufalme wake milele. kumbuka kila unachokiona kimeundwa ! basi na ww ujuwe umeumbwa ! Tajiri akifa nae ivyo ivyo anakuwa amechukuliwa ili kumpunguzia matatizo ya vitendo vya dhambi alivyokuwa anasababishiwa na utajiri wake ambao ni shetan . Na yule mtu ambaye ni tajiri ambaye alikuwa anajitaidi kutotenda dhambi akifa uwa amechukuliwa ili asije akachafuliwa kwa dhambi apa duniani . Iyo ndio misaada MUNGU ametupatia binaadam yani ni kifo tu. sababu uwe tajiri au maskini lucifer ndio atakuwa resposible kwakila baya ulifanyalo naye ndio ataukumiwa so wewe.
 
huyo ni ishmael kaja na ID nyingine mzee wa kujitoa ufaham!!! anabisha tu kama ubishan wa mpira hata timu ikiwa mbovu unaibishia tu ila dawa zinamuingia make no mistake!!!

Je,unaamini maamuzi yako ya kutokuamini mungu yapo huru?

Kipi kimekufanya kusema mie nabisha je,ni ni kwa sababu tu sikubaliani na unachokiamini wewe?

Je kweli unakubaliana na hoja inayotolewa kupinga uwepo wa mungu kuwa ni kweli ina nguvu kiasi hicho kufikia hadi kufanya mambo yote yaliyobaki kuhusu mungu hata yasitizamwe?
 
Ikiwa unaamini hakuna mungu japo unakubali mapungufu ya kama kutokujua chanzo cha ulimwengu na binadamu lakini bado umeshikilia imani ,sasa mbona imani ya mungu ambayo kwenu mmeona inamapungufu mmeikataa jumlajumja japo kuna mambo ambayo hamuwezi
kuyakataa?

Hujaelewa mpaka leo ninapokueleza kwamba idea ya kuwepo mungu wenu inajipinga yenyewe kama vile idea ya kuwapo kwa "pembetatu duara" inavyojipinga yenyewe?

Hujaelewa kila mara ninapoongelea habari ya logical inconsistency?

Mungu waki hawezi kiwapo kwa sababu ile idea ya mungu huyo kuwapo inajipinga.

Upande mmoja ana ujuzi wote, uwezo wote na ipendo wote.

Alikuwa na kila uwezo, upendo, ujuzi na sababu ya kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Lakini hakuumba ulimwengu huo, kaumba huu ambao mabaya yanawezekana.

Kwa nini?

Hujajibu swali hili.

Na kama hujajibu, hujaondoa contradiction kwa mungu huyu.
 
kumbuka anaeongoza ulimwengu kwa sasa ni lucifer MUNGU hausiki kabisa na mabaya yanayotekea apa. na msaada wake kwa wanaopatwa na matatizo ni kifo ,yani ufe afu yeye atakupokea kama yule tajiri alivyompokea mwana mpotevu na utapumnzika kwa amani kisha utarudi tena kuishi apa ulimwenguni ktk ufalme wake milele. kumbuka kila unachokiona kimeundwa ! basi na ww ujuwe umeumbwa ! Tajiri akifa nae ivyo ivyo anakuwa amechukuliwa ili kumpunguzia matatizo ya vitendo vya dhambi alivyokuwa anasababishiwa na utajiri wake ambao ni shetan . Na yule mtu ambaye ni tajiri ambaye alikuwa anajitaidi kutotenda dhambi akifa uwa amechukuliwa ili asije akachafuliwa kwa dhambi apa duniani . Iyo ndio misaada MUNGU ametupatia binaadam yani ni kifo tu. sababu uwe tajiri au maskini lucifer ndio atakuwa resposible kwakila baya ulifanyalo naye ndio ataukumiwa so wewe.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote aumbe ulimwengu ambao una uwezekano wa kuwa na lucifer at all wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao lucifer hawezekani kuwapo?
 
Hujaelewa mpaka leo ninapokueleza kwamba idea ya kuwepo mungu wenu inajipinga yenyewe kama vile idea ya kuwapo kwa "pembetatu duara" inavyojipinga yenyewe?

Hujaelewa kila mara ninapoongelea habari ya logical inconsistency?

Mungu waki hawezi kiwapo kwa sababu ile idea ya mungu huyo kuwapo inajipinga.

Upande mmoja ana ujuzi wote, uwezo wote na ipendo wote.

Alikuwa na kila uwezo, upendo, ujuzi na sababu ya kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Lakini hakuumba ulimwengu huo, kaumba huu ambao mabaya yanawezekana.

Kwa nini?

Hujajibu swali hili.

Na kama hujajibu, hujaondoa contradiction kwa mungu huyu.

Soma swali langu vizuri maana linatokana na hoja yako hiyo uliyoeleza.
 
Soma swali langu vizuri maana linatokana na hoja yako hiyo uliyoeleza.

Swali lako limejibiwa, tatizo tunarudi kule kule, ukiwa huna the basic prerequisites za kujadili hili suala, hata mtu akikujibu na kukuwekea jibu chini ya pua yako huwezi kuliona.

In the abundance of water, the fool is thirsty.

Niambie wapi unaona kuna utata?
 
Hiyo tajiri unayemsema alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?

Mfano wangu wa baba wa kibinadamu umeusoma vizuri au umekurupuka tu?

Bado hujajibu swali.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu wenye kuwezekana vimbunga na matetemeko, vita na njaa, magonjwa na shida nyingi sana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na mabaya?

Hata baba wakibinadamu mwenye uwezo wote na upendo wote wa kibinadamu akiwaacha watoto wake na njaa tutamshangaa....

sindo ulikua mfano wako hapo juu kwa MUNGU wetu..sasa huyo baba aliowaacha watoto wake na njaa kashindwa kuaacha na njaa ama, afu eti ukabaki unamshangaa ndio mshangae tu..na MUNGU wetu mshangae hivohivo..sababu huyo baba ni maamuzi yake basi MUNGU wetu nayo nimaamuzi yake endelea kumshangaa tu lkn hiyo sio sababu yakuwaita watoto hao yatima awana baba...kiranga upo, nani aliye kurupuka kati ya mimi na ww....tafakari......leta mfano mwingine......

Ahsante...
 
I am afraid I am dealing with a very weak kind of reasoning.

Mtu ananiuliza nitadandiaje kesi za wengine wakati hata hanijui na hivyo hana jinsi ya kujua kama nishapatwa na mafuriko au matetemeko etc.


unaishi nchi gani kiranga na maeneo gani..(husijibu) icho tu kitaniwezesha kujua yapi yamekupata yapi haya jakupata......

najua unaona,lkn wapo wasio ona hilo tu litanijulisha unadandia kesi za wengine.....

najua upo huru na umeshiba asahivi,lkn wengine wapo vitani,hawajala...hilo tu litanijulisha unadandia kesi za wengine...

sema yanayokuhusu mbona mm nasema yanayo nihusu,..naeleza vile vitu ambavyo hata mm naexperience....ww hujielezi unajiskiaje skiaje mpaka kuona MUNGU hayupo...
 
Hujaelewa mpaka leo ninapokueleza kwamba idea ya kuwepo mungu wenu inajipinga yenyewe kama vile idea ya kuwapo kwa "pembetatu duara" inavyojipinga yenyewe?

Hujaelewa kila mara ninapoongelea habari ya logical inconsistency?

Mungu waki hawezi kiwapo kwa sababu ile idea ya mungu huyo kuwapo inajipinga.

Upande mmoja ana ujuzi wote, uwezo wote na ipendo wote.

Alikuwa na kila uwezo, upendo, ujuzi na sababu ya kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Lakini hakuumba ulimwengu huo, kaumba huu ambao mabaya yanawezekana.

Kwa nini?

Hujajibu swali hili.

Na kama hujajibu, hujaondoa contradiction kwa mungu huyu.

kiranga ujuzi wote,uwezo wote,upendo wote ndo sifa pekee za MUNGU wetu, tokea umeanza kumsikia?....
 
Maelezo kuhusu Mungu ni ya kibinafamu zaidi na kwamba si ya Mungu Mwenyewe. Kwa hiyo kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu atathibitisha Mungu mwenyewe.
 
Hata baba wakibinadamu mwenye uwezo wote na upendo wote wa kibinadamu akiwaacha watoto wake na njaa tutamshangaa....

sindo ulikua mfano wako hapo juu kwa MUNGU wetu..sasa huyo baba aliowaacha watoto wake na njaa kashindwa kuaacha na njaa ama, afu eti ukabaki unamshangaa ndio mshangae tu..na MUNGU wetu mshangae hivohivo..sababu huyo baba ni maamuzi yake basi MUNGU wetu nayo nimaamuzi yake endelea kumshangaa tu lkn hiyo sio sababu yakuwaita watoto hao yatima awana baba...kiranga upo, nani aliye kurupuka kati ya mimi na ww....tafakari......leta mfano mwingine......

Ahsante...

Kwa hiyo mungu wako unamfananisha na "deadbeat dad"?

Mungu wako ni sawa na baba aliyewazaa watoto na kuwatelekeza?

cc Nyani Ngabu
 
unaishi nchi gani kiranga na maeneo gani..(husijibu) icho tu kitaniwezesha kujua yapi yamekupata yapi haya jakupata......

najua unaona,lkn wapo wasio ona hilo tu litanijulisha unadandia kesi za wengine.....

najua upo huru na umeshiba asahivi,lkn wengine wapo vitani,hawajala...hilo tu litanijulisha unadandia kesi za wengine...

sema yanayokuhusu mbona mm nasema yanayo nihusu,..naeleza vile vitu ambavyo hata mm naexperience....ww hujielezi unajiskiaje skiaje mpaka kuona MUNGU hayupo...

Huyo mungu ni mungu wangu mimi tu au mungu wa wote?

Na unajuaje mimi sijapatwa na maswahibu ya kumlalamikia huyo mungu?

Unajuaje nipo huru na nimeshiba?

Unajuaje ninayosema hayanihusu?

Kwa nini unaniwekea mipaka kipi niseme na kipi nisiseme?

Kwa kuwa huna majibu?

Kama mungu anayeumba ulimwengu unaowezekanisha kuua vitoto kikatili kwa magonjwa na vita ha make sense atabaki kuwa ha make sense tu.

Whether muathirika ni mimi au mtu mwingine.

Mbona unataka kulifumbia macho hili na kunikataza nisiulize maswali eti kwa sababu kitu hakijanifika mimi tu?

Pia unajuaje kwamba hakijanifika mimi?

Unaona reasoning yako ilivyo low?
 
Kwa hiyo mungu wako unamfananisha na "dedbeat dad"?

Mungu wako ni sawa na baba aliyewazaa watoto na kuwatelekeza?

cc Nyani Ngabu

Kuna kipindi nilienda kwenye ofisi ya Clerk of Court.

Pale karibu na dirisha la mapokezi kuna liubao likubwa sana lililojazwa picha za deadbeat parents (wengi wao wakiwa akina baba).

Nadhani lengo la kuweka picha zao kwenye sehemu ya umma kama hiyo ni kuwaaibisha kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao.

Huyo mungu naye hana tofauti na hao deadbeats.

Nimeangalia ile picha ya kile kitoto kizeruzeru kilichokatwa mikono huko Rukwa nimesikitika sana.

Kwa nini hicho kitoto kiteseke hivyo? Kwa nini huyo mungu baba hakuingilia kati na kuwapiga hao watu waliokafanyia hivyo?

Hako katoto ukikaambia habari za mungu kanaweza kakakuona we mzushi tu.
 
Maelezo kuhusu Mungu ni ya kibinafamu zaidi na kwamba si ya Mungu Mwenyewe. Kwa hiyo kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu atathibitisha Mungu mwenyewe.

Na mpaka sasa, kwa kuzingatia uwezo wake unavyosemwa mkubwa wa kuthibitisha bila shaka, na jinsi ambavyo maneno yote ya kuwapo huyu mungu yanavyopwaya ukiyaweka kwenye mtihani wa mantiki, naweza kusema kuwa huyu mungu ni hadithi tu za kibinadamu katika jitihada za kujibu kile ambacho hakuwa na jibu nacho.

Which is very understandable as a coping mechanism.

Dini zilizofundisha kuwapo kwa mungu kwa miaka elfu na elfu kabla ya elimu ya kidunia kukua zilifanya mengi ya kijinga, lakini zilifanya mengi mazuri pia. Kama kuwapa watu a moral compass na kuweka rules of conduct katika maisha.

Sasa mimi ninachoshangaa ni kwamba, sasa hivi binadamu ameweza kuendelea kiasi cha kusoma misahafu na kuona kwamba hawa watu wa zamani walijaribu sana kujibu maswali ambayo hawakuweza kuyajibu, wakatunga habari za mungu ziwasaidie kuishi. Mtu akiona radi anakwambia sauti ya mungu hiyo, anajificha. Si sauti ya mungu, lakini akijificha anajiepusha na kupigwa na radi. It works. Watu hawauani ovyo kama wanyama etc.

Sasa leo, tumneweza kujua radi ni nini, inatokeaje na hatuhitaji mungu kuielezea radi, kwa nini tunamg'ang'ania mungu?

Leo kuna watu hawaamini katika kuwapo kwa mungu wanaishi maisha moral kuliko wanaoamini kuwepo kwa mungu walio Vatican City na Mecca, kwa nini tunamhitaji mungu?

Mungu kwangu naona ni kama mtumbwi uliotusaidia kutoka Kivukoni kwenda Kigamboni katika safari yetu ya kwenda Mjimwema. Sasa tumeshavuka Kivukoni, tumefika Kigamboni, hatuhitaji mtumbwi, lakini kwa woga wetu tunang'ang'ania tuubebe mtumbwi mpaka Mjimwema.

Utatuchosha bure.

Mungu angekuwapo tungekuwa na uhakika kuliko tulio nao sasa, maana ni tabia mbaya mungu kujificha wakati ana kila sababu na uwezo wa kujidhihirisha kwa namna ambayo haipingiki.
 
Back
Top Bottom