COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

kiranga ujuzi wote,uwezo wote,upendo wote ndo sifa pekee za MUNGU wetu, tokea umeanza kumsikia?....

Swali siyo sifa pekee, swali ni, je hizi ni sifa zake?

Hata kama si sifa pekee, kama sifa hizi ni sifa zake, na zinaleta mgogoro wa idea ya mungu wenu kuwapo kujipinga na tunachokiona duniani, ukweli kwamba sifa hizi si za pekee haumalizi mgogoro huu.

Mungu wetu anaweza kusemwa kuwa na sifa ya kuwa katika kila punje ya mchanga.

Lakini sihitaji kuitaja sifa hii kama haina relevance to my argument.

Umeelewa somo?

One mention only the things that are relevant to the case, if you bring something that is not relevant to the case you are wasting everybody's time.

And I am not about wasting time.

Maswali kama haya yananionesha vitu kadhaa.

1. Hujaweza kuuliza maswali mazuri zaidi yanayohusiana na hoja.
2. Hujaweza kufikiri kwa kina kuelewa maswali mazuri zaidi yanayohusiana na hoja ni yapi.
3. Hujaweza kufikiri kwa kina kuelewa pa kuanzia kunipinga ni wapi, ila unauliza maswali tu kwa kutapatapa
4. Hujaweza kuelewa kwamba nikiuhoji uwepo wa mungu kwa sababu tabia yake moja inaleta contradiction kati ya yeye kuwepo na ulimwengu tunaouona, hata kama ana tabia nyingi sana nyingine, kama hii moja haijamalizwa hiyo contradiction yake na kuwa cleared, hizo nyingine zote zinakuwa hazina maana. Kwa maana mungu wenu anatakiwa awe thoroughly perfect.Huwezi kusema "Huyu mungu yuko bomba kwenye tabia zake 999, hii ya elfu moja tu kachemsha tumuachie, tusihoji hii moja".

Huyo atakuwa mungu au katuni wa mungu?
 
Swali siyo sifa pekee, swali ni, je hizi ni sifa zake?

Hata kama si sifa pekee, kama sifa hizi ni sifa zake, na zinaleta mgogoro wa idea ya mungu wenu kuwapo kujipinga na tunachokiona duniani, ukweli kwamba sifa hizi si za pekee haumalizi mgogoro huu.

Mungu wetu anaweza kusemwa kuwa na sifa ya kuwa katika kila punje ya mchanga.

Lakini sihitaji kuitaja sifa hii kama haina relevance to my argument.

Umeelewa somo?

One mention only the things that are relevant to the case, if you bring something that is not relevant to the case you are wasting everybody's time.

And I am not about wasting time.

Maswali kama haya yananionesha vitu kadhaa.

1. Hujaweza kuuliza maswali mazuri zaidi yanayohusiana na hoja.
2. Hujaweza kufikiri kwa kina kuelewa maswali mazuri zaidi yanayohusiana na hoja ni yapi.
3. Hujaweza kufikiri kwa kina kuelewa pa kuanzia kunipinga ni wapi, ila unauliza maswali tu kwa kutapatapa
4. Hujaweza kuelewa kwamba nikiuhoji uwepo wa mungu kwa sababu tabia yake moja inaleta contradiction kati ya yeye kuwepo na ulimwengu tunaouona, hata kama ana tabia nyingi sana nyingine, kama hii moja haijamalizwa hiyo contradiction yake na kuwa cleared, hizo nyingine zote zinakuwa hazina maana. Kwa maana mungu wenu anatakiwa awe thoroughly perfect.Huwezi kusema "Huyu mungu yuko bomba kwenye tabia zake 999, hii ya elfu moja tu kachemsha tumuachie, tusihoji hii moja".

Huyo atakuwa mungu au katuni wa mungu?

Kitu perfect nikitu ambacho kimejitosheleza sindio?..
huwezi kuchukua matairi ya gari afu ukaanza kujudge kama kuna gari mbona haya matairi haya simami yamelala...

Anyway point yako ya sifa zake kujipinga..anaupendo afu kaacha mabaya kuwepo,..anauwezo afu ajayaondoa mabaya duniani...matetemeko,vimbunga,mafuriko yote ni sehemu ya maisha yetu..

tabu,kifo,shida, vyote ni sehemu ya maisha yetu...je kunge kua naraha tele apa duniani,hali shwari amna shida yeyote...socrate,plato,newton,einsten,billigate,steven jobs,e.t.c....wangetokea?wangekua nafaida gani kuepo?...maendeleo hapa duniani yange kuepo?tungeishi ilikufanya nini?

kama aliruhusu njaa na akakupa uwezo wakutafuta chakula,sio kujipinga ni makusudi yake...

hajajipinga hatajambo moja bali kwa kusudio lake.....

Kama hayupo unaweza kuniambia kwanini dunia inaelea..? hili linathibitisha yupo? lina thibitisha hayupo?..

kila uthibitisho umeshindwa kujieleza....
tuangalie mantiki
1.dunia inaelea =MUNGU YUPO
2.dunia inaelea=MUNGU HAYUPO..

utetezi wa hoja
1.MUNGU YUPO
kudhihirisha ukubwa wa uwezo wake
kumuonesha mwanadamu maarifa aliyo nayo
kuonesha mamlaka ya kufanya atakalo
kuonesha akili ya binadamu c kitu kwake.....

tetea na yako.......
 
Kitu perfect nikitu ambacho kimejitosheleza sindio?..
huwezi kuchukua matairi ya gari afu ukaanza kujudge kama kuna gari mbona haya matairi haya simami yamelala...

Anyway point yako ya sifa zake kujipinga..anaupendo afu kaacha mabaya kuwepo,..anauwezo afu ajayaondoa mabaya duniani...matetemeko,vimbunga,mafuriko yote ni sehemu ya maisha yetu..

tabu,kifo,shida, vyote ni sehemu ya maisha yetu...je kunge kua naraha tele apa duniani,hali shwari amna shida yeyote...socrate,plato,newton,einsten,billigate,steven jobs,e.t.c....wangetokea?wangekua nafaida gani kuepo?...maendeleo hapa duniani yange kuepo?tungeishi ilikufanya nini?

kama aliruhusu njaa na akakupa uwezo wakutafuta chakula,sio kujipinga ni makusudi yake...

hajajipinga hatajambo moja bali kwa kusudio lake.....

Kama hayupo unaweza kuniambia kwanini dunia inaelea..? hili linathibitisha yupo? lina thibitisha hayupo?..

kila uthibitisho umeshindwa kujieleza....
tuangalie mantiki
1.dunia inaelea =MUNGU YUPO
2.dunia inaelea=MUNGU HAYUPO..

utetezi wa hoja
1.MUNGU YUPO
kudhihirisha ukubwa wa uwezo wake
kumuonesha mwanadamu maarifa aliyo nayo
kuonesha mamlaka ya kufanya atakalo
kuonesha akili ya binadamu c kitu kwake.....

tetea na yako.......

Nimekuuliza, kabla ya maisha yetu, mungu alipokuwa anaumba ulimwengu, alikuwa na uwezo wa kuunba ulimwengu ambao hauna uwezekano wa mabaya kuwezekana.

Kwa nini hakuumba ulimwengu huo ambao mabaya hayawezekanu, akaamua kuumba huu ambao mabaya yanawezekana?

Alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Kwa nini hakuuumba hivyo?

Jibu lako, unaniambia "haya ni maisha yetu".

You are clearly out of your waters.
 
Nimekuuliza, kabla ya maisha yetu, mungu alipokuwa anaumba ulimwengu, alikuwa na uwezo wa kuunba ulimwengu ambao hauna uwezekano wa mabaya kuwezekana.

Kwa nini hakuumba ulimwengu huo ambao mabaya hayawezekanu, akaamua kuumba huu ambao mabaya yanawezekana?

Alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Kwa nini hakuuumba hivyo?

Jibu lako, unaniambia "haya ni maisha yetu".

You are clearly out of your waters.

hiyo kwann utaipata kwenye biblia, ndio theory,ndio law,ndio prove......lkn hiyo kwann haiwezi ikamfanya hasiwepo...kwa mantiki ipi hasa....

unajua kabisa bakharesa kabla ya kutengeneza AZAM FC alikua na uwezo wakutengeneza team ya basketball,..hiyo haimanishi bakharesa hayupo kisa hakutengeneza kitu ulicho tarajia,..hata kama basketball team ndio ingemuingizia kipato kikubwa zaidi....

kwann ulimwengu huu upo hivi,umeandikiwa theory nyingi sana na vitabu vyake ni vikubwa vikubwa...je unaweza kunambia hiyo theory ya MUNGU kutokuepo..ni nani kapata kuandika vitu vyenye ushawishi hasa nasi tuamini hayupo,..je ni kiranga awezaye kueleza sababu zipi zina pelekea kutokuepo kwa MUNGU au sababu ndo hiyoyo yy kushindwa kuumba mawazo ya kiranga...

Tueleze basi angalau mistari kumi isiyo na swali tupate kujua MUNGU hayupo....je utaeleza MUNGU hayupo sababu kashindwa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekaniki,wakati unajua ana uwezo wote,upendo wote....

natamani haya zako chache kuprove MUNGU hayupo,.kama bado upo kwenye utafiti kwann uconclude...kama upo kwenye hypotheses kwann jibu lako lakuguess lipinge majibu ya wengine...ni sayansi gani unatumia...

kupinga theory ya mwenyezi MUNGU sio kuuliza maswali,tengua kila kilicho andikwa andika chako na kisimame....

fanya experiment kwanza kwa kusoma vitabu vya dini kisha tueleze udhaifu wake kumshuhudia MUNGU yupo,kisha eleza kwann hayupo..iliumfanye hata bakheresa anayeishi kwa rahaa hasiende msikitini tena.....
 
Swali lako limejibiwa, tatizo tunarudi kule kule, ukiwa huna the basic prerequisites za kujadili hili suala, hata mtu akikujibu na kukuwekea jibu chini ya pua yako huwezi kuliona.

In the abundance of water, the fool is thirsty.

Niambie wapi unaona kuna utata?

Hivi kwa nini unaamini kuwa watu hawakuelewi wewe tu?
Maana wengine utasema hawakuelewi kwa sababu hawana elimu lakini hata wenye elimu pia unaona hawakuelewi.

Kwa sababu upo kiubishi basi kwako kuwaaminisha watu kuwa mie sio muelewa ni jambo la maana sana kwako,kwa sababu unapata sifa.

Wote humu tumezaliwa na kukuta watu wenye kuamini kuwepo kwa Mungu na wenye kuamini kuwa hakuna mungu. Kwahiyo wote hapa kila mtu amefikiri na kufuata palipo na hoja ambazo ameona zinaleta maana.

Wewe unaamini kuwa hakuna Mungu (na kuona imani ya mungu ina utata) japo imani yako hiyo ina utata sana. Na baadhi ya utata ni kutokuwa na majibu ya kwanini tupu hapa,ulimwengu umepatikana vp na chanzo binadamu?
Japo unasema kuwa bado mnatafuta chanzo cha binadamu na ulimwengu,lakini hali hiyo inawafanya kuwa watu ambao mnaishi tu bila kujua kwanini mnaishi. Lakini pamoja na hayo ila wewe ukaamua uamini hakuna mungu.

Sasa swali langu au hoja yangu, ni kwamba kuna mambo ambayo yapo kwn vitabu vya dini(maneno ya mungu) ambayo yalielezwa kuwa yatatokea na kweli yametokea, na kuna mambo ambayo ni ya kisayansi ila leo hii wanasayansi ndiyo wanakuja kuyagundua. je. Mnayaelezea vp jambo hilo?


Nimefafanua swali langu.
 
Kuwa mpole tukupe elim haya mambo kijana.

Laiti wasioamini mungu wangekuwa wanatoa elimu basi wangewapata watu wengi. Ila wanachokifanya ni kupinga na kuuliza maswali,sasa sijui unaitaje hiyo ni elimu.

Watu tunajaribu kuweka huu mjadala kuwa huru ila watu wamejielekeza kwn ubishi,ila wewe huwezi kuona hivyo we unaona ni elimu. Kuwa katikati kwn huu mjadala ndiyo utaweza kuelewa nachokisema.

Hata hivyo naona unanichosha kujibizana na wewe,upeo wako unakunyima fursa ya kuchangia huu mjadala.

Na sijui kama umenielewa.
 
Swali siyo sifa pekee, swali ni, je hizi ni sifa zake?

Hata kama si sifa pekee, kama sifa hizi ni sifa zake, na zinaleta mgogoro wa idea ya mungu wenu kuwapo kujipinga na tunachokiona duniani, ukweli kwamba sifa hizi si za pekee haumalizi mgogoro huu.

Mungu wetu anaweza kusemwa kuwa na sifa ya kuwa katika kila punje ya mchanga.

Lakini sihitaji kuitaja sifa hii kama haina relevance to my argument.

Umeelewa somo?

One mention only the things that are relevant to the case, if you bring something that is not relevant to the case you are wasting everybody's time.

And I am not about wasting time.

Maswali kama haya yananionesha vitu kadhaa.

1. Hujaweza kuuliza maswali mazuri zaidi yanayohusiana na hoja.
2. Hujaweza kufikiri kwa kina kuelewa maswali mazuri zaidi yanayohusiana na hoja ni yapi.
3. Hujaweza kufikiri kwa kina kuelewa pa kuanzia kunipinga ni wapi, ila unauliza maswali tu kwa kutapatapa
4. Hujaweza kuelewa kwamba nikiuhoji uwepo wa mungu kwa sababu tabia yake moja inaleta contradiction kati ya yeye kuwepo na ulimwengu tunaouona, hata kama ana tabia nyingi sana nyingine, kama hii moja haijamalizwa hiyo contradiction yake na kuwa cleared, hizo nyingine zote zinakuwa hazina maana. Kwa maana mungu wenu anatakiwa awe thoroughly perfect.Huwezi kusema "Huyu mungu yuko bomba kwenye tabia zake 999, hii ya elfu moja tu kachemsha tumuachie, tusihoji hii moja".

Huyo atakuwa mungu au katuni wa mungu?

Hujajibu swali unaleta maneno mengi tu au pengine hata huelewi.

Kuna baadhi ya sifa za Mungu zenye kueleza ukali wake na zipo zenye kuonesha upendo wake,na zengine nyingi. Ndiyo maana nakwambi wewe upo kiubish tu.
Ungekuwa unahitaji ukweli basi ungetaka kujua kwanza lengo la mungu kuumba binadumu lengo la uwepo wa binadamu,ila wewe umendandia kusema tu hakuna mungu et kwa sababu ya haya matatizo ya kidunia,halafu et kisa mungu kasema anaupendo.

Huitaji kujua huo upendo wa mungu unapatikana vp, ila wewe kwa sababu kasema anaupendo basi ndiyo umepashikilia. Sifa nyengine ya mungu ni Mwenye kuhuisha, mwenye kuvipa viumbe uhai. Je,hapo utasemaje?

Ungeuliza upendo wa mungu unapatikaje lingekuwa swali la zuri. Maana Mungu hakuahidi maisha hayo unayoyafikiri.
 
Laiti wasioamini mungu wangekuwa wanatoa elimu basi wangewapata watu wengi. Ila wanachokifanya ni kupinga na kuuliza maswali,sasa sijui unaitaje hiyo ni elimu.

Watu tunajaribu kuweka huu mjadala kuwa huru ila watu wamejielekeza kwn ubishi,ila wewe huwezi kuona hivyo we unaona ni elimu. Kuwa katikati kwn huu mjadala ndiyo utaweza kuelewa nachokisema.

Hata hivyo naona unanichosha kujibizana na wewe,upeo wako unakunyima fursa ya kuchangia huu mjadala.

Na sijui kama umenielewa.

Upeo gani unamaanisha?,mimi sifutati mkumbi kama wewe kwamba kwa kuwa ukizaliwa ukakuta wanasema mungu yupo basi nawe umeamua kufuata hivyo bila kuhoji na uliambiwa kuhoji ni dhambi.Mimi siamini katika chochote kisemekanacho kisichoonekana wa kupimika ama kuelezeka kwa namna ya kueleweka,Nadhani unafahamu hilo,nilishayliza maswali humu wewe na wenzako hamkuambilia ama kwa sasa umesahau?,.Kama ukitaka kujua nina upeo wa kutosha kwa haya nikwambiayo fuatilia thread zangu SOMEthing from nothing , GOD's Delution na Ninavyoijua FREE mason na zingine nyingi.

Karibu
 
Last edited by a moderator:
Upeo gani unamaanisha?,mimi sifutati mkumbi kama wewe kwamba kwa kuwa ukizaliwa ukakuta wanasema mungu yupo basi nawe umeamua kufuata hivyo bila kuhoji na uliambiwa kuhoji ni dhambi.Mimi siamini katika chochote kisemekanacho kisichoonekana wa kupimika ama kuelezeka kwa namna ya kueleweka,Nadhani unafahamu hilo,nilishayliza maswali humu wewe na wenzako hamkuambilia ama kwa sasa umesahau?,.Kama ukitaka kujua nina upeo wa kutosha kwa haya nikwambiayo fuatilia thread zangu SOMEthing from nothing , GOD's Delution na Ninavyoijua FREE mason na zingine nyingi.

Karibu

Upeo haupimwi kwa mambo mengi mliyoyakariri. Na ndiyo maana mie siwahoji kwa hayo mliyoyakariri.

Sasa mie nataka ututhibitishie kuwa wewe kweli si mfuata mkumbo kama ulivyosema ni mtu wa kuhoji.

Sasa mie nataka unieleze kwanini mnapinga mazingaombwe?
 
Last edited by a moderator:
hiyo kwann utaipata kwenye biblia, ndio theory,ndio law,ndio prove......lkn hiyo kwann haiwezi ikamfanya hasiwepo...kwa mantiki ipi hasa....

unajua kabisa bakharesa kabla ya kutengeneza AZAM FC alikua na uwezo wakutengeneza team ya basketball,..hiyo haimanishi bakharesa hayupo kisa hakutengeneza kitu ulicho tarajia,..hata kama basketball team ndio ingemuingizia kipato kikubwa zaidi....

kwann ulimwengu huu upo hivi,umeandikiwa theory nyingi sana na vitabu vyake ni vikubwa vikubwa...je unaweza kunambia hiyo theory ya MUNGU kutokuepo..ni nani kapata kuandika vitu vyenye ushawishi hasa nasi tuamini hayupo,..je ni kiranga awezaye kueleza sababu zipi zina pelekea kutokuepo kwa MUNGU au sababu ndo hiyoyo yy kushindwa kuumba mawazo ya kiranga...

Tueleze basi angalau mistari kumi isiyo na swali tupate kujua MUNGU hayupo....je utaeleza MUNGU hayupo sababu kashindwa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekaniki,wakati unajua ana uwezo wote,upendo wote....

natamani haya zako chache kuprove MUNGU hayupo,.kama bado upo kwenye utafiti kwann uconclude...kama upo kwenye hypotheses kwann jibu lako lakuguess lipinge majibu ya wengine...ni sayansi gani unatumia...

kupinga theory ya mwenyezi MUNGU sio kuuliza maswali,tengua kila kilicho andikwa andika chako na kisimame....

fanya experiment kwanza kwa kusoma vitabu vya dini kisha tueleze udhaifu wake kumshuhudia MUNGU yupo,kisha eleza kwann hayupo..iliumfanye hata bakheresa anayeishi kwa rahaa hasiende msikitini tena.....

First thing first.

Wewe si ndiye unaiamini biblia?

Sasa kwa nini unaniambia mimi jibu nitalipata kwenye biblia wakati biblia ndiyo iliyonipa hilo swali, na nineisoma sijapata jibu.

Kama una jibu linaloondoa contradiction hiyo kutoka kwenye biblia naomba uliweke hapa.

Specifics please.

Kichaa yeyote anaweza kusema biblianina majibu yote.

It takes skills to argue your case with specifics.
 
Hivi kwa nini unaamini kuwa watu hawakuelewi wewe tu?
Maana wengine utasema hawakuelewi kwa sababu hawana elimu lakini hata wenye elimu pia unaona hawakuelewi.

Kwa sababu upo kiubishi basi kwako kuwaaminisha watu kuwa mie sio muelewa ni jambo la maana sana kwako,kwa sababu unapata sifa.

Wote humu tumezaliwa na kukuta watu wenye kuamini kuwepo kwa Mungu na wenye kuamini kuwa hakuna mungu. Kwahiyo wote hapa kila mtu amefikiri na kufuata palipo na hoja ambazo ameona zinaleta maana.

Wewe unaamini kuwa hakuna Mungu (na kuona imani ya mungu ina utata) japo imani yako hiyo ina utata sana. Na baadhi ya utata ni kutokuwa na majibu ya kwanini tupu hapa,ulimwengu umepatikana vp na chanzo binadamu?
Japo unasema kuwa bado mnatafuta chanzo cha binadamu na ulimwengu,lakini hali hiyo inawafanya kuwa watu ambao mnaishi tu bila kujua kwanini mnaishi. Lakini pamoja na hayo ila wewe ukaamua uamini hakuna mungu.

Sasa swali langu au hoja yangu, ni kwamba kuna mambo ambayo yapo kwn vitabu vya dini(maneno ya mungu) ambayo yalielezwa kuwa yatatokea na kweli yametokea, na kuna mambo ambayo ni ya kisayansi ila leo hii wanasayansi ndiyo wanakuja kuyagundua. je. Mnayaelezea vp jambo hilo?


Nimefafanua swali langu.

Nimekupa logic rahisi sana hapa.

Ama huielewi, ama unaielewa unaipuuza tu. Vyote kwangu sawa.

Wenye upendo hawawaachi wanaowapenda wapate shida kama wana uwezo wa kuwasaidia.

Mungu wenu mnasema ana upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote.

Lakini mnasema kaumba ulimwengu wenye kuwezekana kuwa na matatizo mengi sana kwa viunbe wake, ingawa alikuwa na uwezo wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na matatizo.

This is a contradiction.

Hujaiondoa hii contradiction.
 
Eeh Mungu uliyeumba mbingu na nchi, kwanini unawaachia hawa kina Kiranga wanakudhihaki namna hii? Jionyeshe baba ili wajue uwepo wako na kulitaja kina lako.

Huyo mungu mbona nilishasema anipige radi nige kama kweli yupo, na sijaona chochote kikitokea.
 
Last edited by a moderator:
Nimekupa logic rahisi sana hapa.

Ama huielewi, ama unaielewa unaipuuza tu. Vyote kwangu sawa.

Wenye upendo hawawaachi wanaowapenda wapate shida kama wana uwezo wa kuwasaidia.

Mungu wenu mnasema ana upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote.

Lakini mnasema kaumba ulimwengu wenye kuwezekana kuwa na matatizo mengi sana kwa viunbe wake, ingawa alikuwa na uwezo wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na matatizo.

This is a contradiction.

Hujaiondoa hii contradiction.

Yani maelezo yako hayajagusa hata kidogo swali langu.

Mwanzo ulisema ushalijibu hilo ila mie ndiyo sina uwezo wa kukuelewa umejitamba sana,ila mie nikaamua nichambue swali kiasi cha uelewa wako. Matokeo yake unakuja kusema kwamba sijaondoa contradiction,tafsiri yake haujaelewa tena swali(sitaki kuamini hivyo) Au nimeuliza kitu ambacho hata wewe kinakutatiza.
Na hapo ndiyo napowashangaa mnaposema mna uhuru wa mawazo.

Kila mara nasema kupinga ni kazi rahisi sana hasa huo upingaji wenu.

Bora useme huwezi kujibu hilo swali kuliko.
 
First thing first.

Wewe si ndiye unaiamini biblia?

Sasa kwa nini unaniambia mimi jibu nitalipata kwenye biblia wakati biblia ndiyo iliyonipa hilo swali, na nineisoma sijapata jibu.

Kama una jibu linaloondoa contradiction hiyo kutoka kwenye biblia naomba uliweke hapa.

Specifics please.

Kichaa yeyote anaweza kusema biblianina majibu yote.

It takes skills to argue your case with specifics.

Soma kwanza wimbo huu wa MUSA kisha nakuandikia comment..

Bwana MUNGU mwenye nguvu matendo yako ni makuu na ya ajabu mno..
Ewe mfalme wa mataifa njia zako ni za kweli na za haki.bwana ni nani asiye kucha ww?
ni nani asiye litukuza jina lako..?
ww pekeyako ni mtakatifu
mataifa yote yatakujia na kukuabudu
maana matendo yako ya haki ya medhihirishwa....
 
Soma kwanza wimbo huu wa MUSA kisha nakuandikia comment..

Bwana MUNGU mwenye nguvu matendo yako ni makuu na ya ajabu mno..
Ewe mfalme wa mataifa njia zako ni za kweli na za haki.bwana ni nani asiye kucha ww?
ni nani asiye litukuza jina lako..?
ww pekeyako ni mtakatifu
mataifa yote yatakujia na kukuabudu
maana matendo yako ya haki ya medhihirishwa....

Sijaomba nyimbo, nimekutaka utoe jibu kwenye biblia.

Biblia yako ni kitabu cha nyimbo zisizo majibu?
 
Yani maelezo yako hayajagusa hata kidogo swali langu.

Mwanzo ulisema ushalijibu hilo ila mie ndiyo sina uwezo wa kukuelewa umejitamba sana,ila mie nikaamua nichambue swali kiasi cha uelewa wako. Matokeo yake unakuja kusema kwamba sijaondoa contradiction,tafsiri yake haujaelewa tena swali(sitaki kuamini hivyo) Au nimeuliza kitu ambacho hata wewe kinakutatiza.
Na hapo ndiyo napowashangaa mnaposema mna uhuru wa mawazo.

Kila mara nasema kupinga ni kazi rahisi sana hasa huo upingaji wenu.

Bora useme huwezi kujibu hilo swali kuliko.

Mambo gani hayo yaliyotabiriwa na yakatokea?

Na mtu kutabiri kitu kwenye kitabu halafu kikatokea ni uthibitisho kwamba hicho ni kitabu cha mungu?

Ukiambiwa Isaya alimtabiri masiha kuzaliwa miaka 3,000 iliyopita, halafu Yesu akausoma utabiri huo na kujifanya yeye ndiye masiha wakati si masiha, na wala hakuna masiha, utasema kwamba Isaya alitabiri kweli na biblia ni kitabu cha mungu?

Kama ni utabiri tu mbona hata Nostradamus katabiri, kitabu cha utabiri wa Nostradamus ni cha mungu? Nostradamus ni mungu?

Naweza kuwa nauliza haya maswali mtu mwenyewe hata Nostradamus hujawahi kumsikia, judding by your posts here.
 
Sijaomba nyimbo, nimekutaka utoe jibu kwenye biblia.

Biblia yako ni kitabu cha nyimbo zisizo majibu?

UFUNUO 16:8
kisha malaika wanne akamwaga bakuli lake juu ya jua.jua likapewa nguvu ya kuwachoma watu kwa moto wake.basi watu wakaunguzwa vibaya sana.wakamtukana Mungu aliye na uwezo juu ya mabaa hayo..lkn hawakutubu na kumtukuza MUNGU.

KIRANGA JE BIBLIA IJAKUANDIKA WW HAPO..ILIJUA UTAKUEPO SIO MANENO HAYO UMEABDIKIWA WEWE? WALIKUA WANAKUJUA?...

itakayo fata.
 
Back
Top Bottom