UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Kujua ni ndoto ambayo mpaka sasa inafukuziwa.
Strictly speaking, hakuna yeyote anayejua chochote.
Ila kuna misingi ya kuviondoa vile ambavyo si tu havijulikani, bali pia haviyumkiniki. Kama vile kuwapo kwa mungu.
Mkuu maelezo yako hayajajibu maswali niliyokuuliza.