Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kwahiyo mitihani ni kwa faida ya mwalimu au mwanafunzi mwenyewe?
Mtihani unaweza kuwa na faida kwa wote, mwalimu na mwanafunzi.
Utawasaidia wote kujua mwanafunzi anajua nini na hajui nini.
Bila mtihani wanaweza wasijue mwanafunzi anajua nini na hajui nini.
Sasa mungu anayejua yote mtihani unamsaidia nini?
Na kama nia yake ni kumsaidia mtu, kwa nini ahitaji mtihani wakati yeye mungu anajua yote na anaweza kufabya mambi bila kihitaji mtihani wa mabaya ya dunia?