Mtu alishakuwa anaandika "mala nyi gi" kqanza kabisa napata wasiwasi na elimu yake.
Inaonekana Kiswahili tu shida.
Sasa kujibu maswali kwa logic ya Bertrand Russell tutaelewana?
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote ilikuwaje akaumba ulimwengu ambao shetani anawezekana kuwapo wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao shetani hawezekani kuwapo?
kiranga tunakuelewesha huelewi kiranga...MUNGU umekazania kumuhoji kwa sifa zake mbili tu,tumekupa sifa zake zingine ukakazia kwamba sifa moja tu yatosha kumueleza anavyo jipinga...tunajiuliza labda humjui vizuri tukakupa logic yake jinsi anavyozionesha sifa zake kwenye maandakio na relevance kwenye dunia yetu...unakataa unaziita imani zakufikirika,za uongo
umeng'ang'ania kujua kwanini ulimwengu usiwe hivi na usiwe hivi...tunakuelewesha jaman hayo nimaamuzi yake kwani anauwezo wakufanya chochote hata ww ungekua nyani sahii au husinge kuepo kabsa duniani...lkn huelewi unaama sifa ya uwezo unarudi kwenye upendo..tukiulrzea upendo wake unazichangamana zote tatu uwezo wote,upendo wote,ujuzi wote..ilimradi tu usionekane kama hujaelewa....
swali lina baki sifa tatu tu ambazo huzijui zinaunganishwaje na zinafafanuliwaje unaziweka kama kigezo chakumpinga uwepo wake....uwezo wote,upendo wote,ujuzi wote......kama amekufanya mwanaume huo ni uwezo wake,kama unapumzi huo ni upendo wake,jinsi ulivyo ni ujuzi wake......ila neno wote unataka lirudi tena kama gezo.........
hakika unayetaka kumchunguza humjui..je utamchunguza vipi na kumuelewa kisawasawa....kiranga huna MUNGU...wala MUNGU hayupo kwako...humjui...husiangaike na mtu ambaye humjui........kwako MUNGU hayupo,basi unajua ulikotoka na unajua uendako kilalakheri...inusuru rohoo yako kwa uwezo wako utaheshimika.kila lakheri....
ila husitake kutuendesha kwenye ndege inayo paa kisa rubani humuoni na wala hunacheti cha urubani na wala sisi hatujui ndege umejifunzia wapi..tuache tuamini yupo...nawe ambaye hauna MUNGU basi amini hivo...
kwenye methali,tumefundishwa husimuelimishe mpumbavu maana hatakusikiliza....
YESU alitufundisha..wanamasikio lkn hawasikii wanamacho lkn hawaoni....
kwenye UFUNUO
tunahaswa tuwewavumilivi maana washindi wanatuzo lao..nawale wamkanao wanatuzo lao...
Mm siwezi mtendea yote,wala kumjibia yote,..alitufanya tuwe mashaidi wake kwa wale wasio muamini....
Basi yangu nimemaliza,.namuachia mwenyeuwezo MUNGU wangu anijibie.....
ahsante....