COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

Ukiniambia wewe tajiri, mkarimu, una hekima, huna hasira, msafi, imetembea dunia nzima..

Nikikuomba hela kwa sababu wewe ni tajiri na mkarimu sijatambua sifa zako nyingine?

Far from kitotambua sifa zake nyingine, nazitambua sifa hizo.

Tatizo hata sifa mbili tu zikipingana, mungu wenu kashapata contradiction no matter hizo sifa nyingine zinasema nini.

Tukiambiwa mungu wenu ni mpenda haki upande mmoja, halafu upande mwingine tukaambiwa anahukumu watoto na vitukuu kwa makosa ya mababu zao, hapo tayari huyu mungu kashajipinga mwenye?

Which is which?

Ni mungu moenda haki au hajali haki anahukumu watoto, wajukuu na vitukuu kwa makisa ya mababu zao?

Nikikuuliza swali hili huwezi kumtetea mungu kwa kusema ana sifa nyingine nzuri, sifa nyingine nzuri zinaondoaje hii contradiction?

Mfano wako wa TzMbongo kiwa mwanajeshi na mpole haukidhi kanuni ya kulinganisha vinavyolingana. Hakuna contradiction kati ya mtu kuwa mpole na mwanajeshi, kina contradiction katika mungu mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wote kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Huwezi kulinganisha kisicho na contradiction na kilicho na contradiction.

Siga zinazohusika hapa ni, kwa upande mmoja, mungu kuwa mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wote na kwa upande mwingine, mungu kuwa muumba wa ulimwengu huu.

Hizi ndizo sifa "material" to my argument.

Kama mungu anazungumza na Putin kwa simu maalum kila Jumanne jioni, sihutaji kuizungumzia sifa hiyo kwenye argument yangu kwa sababu ni immaterial to my argument.

Hizo sifa material to my argument unazikubali?

Unakubali kwamba mungu ni mjuzi wa yote, muweza yote na mwenye upendo wa yote na pia kaumba huu ulimwengu?

Nimekwambia tuzijadili kwanza sifa za Mungu kabla ya kuzungumzia mambo ya huu ulimwengu,mambo ya dini yako ya zamani kwamba "ana hukumu watoto na vitu kuu kwa makosa ya mababu zao" hii sio sifa ya Mungu. Sijakwambia uanze kuelezea matukio kwanza.

Kwahiyo tuanze kujadili sifa zake kwanza kwa ujumla wake na utoe tafsiri ya kujipinga.

Twende taratibu tu mkuu.
 
Nimekwambia tuzijadili kwanza sifa za Mungu kabla ya kuzungumzia mambo ya huu ulimwengu,mambo ya dini yako ya zamani kwamba "ana hukumu watoto na vitu kuu kwa makosa ya mababu zao" hii sio sifa ya Mungu. Sijakwambia uanze kuelezea matukio kwanza.

Kwahiyo tuanze kujadili sifa zake kwanza kwa ujumla wake na utoe tafsiri ya kujipinga.

Twende taratibu tu mkuu.

Tukio litatokeaje bila kuruhusiwa na sifa ya mungu?
 
Ndiyo maana mie nataka tujadili kwanza sifa na maana ya kujipinga.

Kujipinga maana yake ni kitu kimoja kuwa na mielekeo miwili tofauti.

Kama vile kuambiwa "mungu ni mwenye rehema isiyo na mwisho" halafu hapo hapo ukaambiwa "hasira ya mungu isiyo kifani itawawakia watenda dhambi".

Au kuambuwa mungu kwa asili ni kilele cha uzuri, halafu akaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Nishakueleza kuhusu sifa za mungu na zinavyojipinga hapo.

Imekuwaje mungu ambaye ni kilele cha uzuri akaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Inawezekanaje mungu mwenye rehema isiyo na mwisho aumbe viumbe ambao atawachoma katika moto wa milele?

Hususan kama hizo akiki za kujua mema na mabaya wanazotakiwa wazitumie kumjua mungu kawapa mungu yeye mwenyewe?

Mtu akishindwa kumjua mungu kwa akiki ambazo ukomo wake umepangwa na mungu, huyu mtu ana makosa ya kutomjua mungu au mungu ndiye ana makosa kwa kumpa huyu mtu akiki ndogi ambayo imeshindwa kumjua mungu?
 
Kujipinga maana yake ni kitu kimoja kuwa na mielekeo miwili tofauti.

Kama vile kuambiwa "mungu ni mwenye rehema isiyo na mwisho" halafu hapo hapo ukaambiwa "hasira ya mungu isiyo kifani itawawakia watenda dhambi".

Au kuambuwa mungu kwa asili ni kilele cha uzuri, halafu akaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana.

Nishakueleza kuhusu sifa za mungu na zinavyojipinga hapo.

Imekuwaje mungu ambaye ni kilele cha uzuri akaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Inawezekanaje mungu mwenye rehema isiyo na mwisho aumbe viumbe ambao atawachoma katika moto wa milele?

Hususan kama hizo akiki za kujua mema na mabaya wanazotakiwa wazitumie kumjua mungu kawapa mungu yeye mwenyewe?

Mtu akishindwa kumjua mungu kwa akiki ambazo ukomo wake umepangwa na mungu, huyu mtu ana makosa ya kutomjua mungu au mungu ndiye ana makosa kwa kumpa huyu mtu akiki ndogi ambayo imeshindwa kumjua mungu?

Twende taratibu.

Umesema kuwa Kujipinga ni kitu kimoja kuwa na mielekeo miwili tofauti,sasa mie kwanza kabisa nianze kujadili hitimisho unalotumia kutokana tafsiri hiyo.

Hicho kitu kuwa na mielekeo miwili tofauti inakuwaje ndiyo iwe sababu ya kutokuwepo hicho kitu?
 
Twende taratibu.

Umesema kuwa Kujipinga ni kitu kimoja kuwa na mielekeo miwili tofauti,sasa mie kwanza kabisa nianze kujadili hitimisho unalotumia kutokana tafsiri hiyo.

Hicho kitu kuwa na mielekeo miwili tofauti inakuwaje ndiyo iwe sababu ya kutokuwepo hicho kitu?

Kwa sababu kinakosa logical consistency.

Nimetoa mfano katika Euclidean geometry hakuna "pembetatu duara".

Kwa sababu kitu kimoja hakiwezi juwa pembetatu halafu kikawa duara hapohapo.

Pembatatu duara haiwezi kuwapo, kwa sababu kabla sijaipinga kuwepo, yenyewe inajipinga. Pembetatu haiwezi kuwa duara na duara haliwezi kuwa pembetatu.

Mungu wako anajipinga kama "pembetatu duara" inavyojipinga katika Euclidean geometry.

Kwa sababu ana sifa zinazom contradict yeye mwenyewe kuwepo kama sifa za "pembetatu duara" zinavyo contradict kuwepo kwake.
 
Nimekua nikijaribu kutafuta details ndogo ndogo kujaribu kuja na hitimisho langu kuwa kweli Mungu yupo.

Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu ni hili la Coincidence.

Kutokana na kukosa maana sahihi ya neno coincidence nitatumia neno lingine linalofanana kwa maana na hili, ili kuweza kuwapa kuelewa kusudio la bandiko hili.

Neno coincidence linalandana kwa maana na neno, accident, luck , fate.

Accident = Ajali, luck = bahati , fate = majaliwa.

Matokeo ya hayo niliyoyataja hapo juu ni kutokana na nguvu za ziada zilizo nje ya uwezo wa mwanadamu.

Mfano; AJALI;

Umeamka asubuhi unachukua gari yako kufika barabarani unagonga mtu anakufa!

Kama ungekuua na uwezo wa kugundua kama siku hiyo ungegonga mtu akafa, ungeweza kuchukua maamuzi sahihi ili ajali hiyo isitikee, lakini kwakua jambo hilo lipo nje ya uwezo wako huwezi kulizuia au kuliahirisha.

Bahati:

Imetokea ajali wakafa abiria wengine lakini kwa "bahati" wewe pekee ndie uliyepona. mazingira ya ajali yanaonesha kwamba ilistahili abiria wote wasiwe hai lakini kwa ajabu la wengi wewe pekee umepona. Tunaita hiyo ni "bahati"

Majaliwa;

Unapangilia kuwa daktari lakini , jitihada zako zote hazipelekei wewe kuwa daktari na badala yake unaishia kua mwanasheria. hapa uanasheria unaonekana kua ndio yalikua majaliwa yako, na udaktari ulikua unalazimisha tu.

Tukiangalia tafsiri ya neno majaliwa au fate katika lugha ya kingereza mtu ataona kwamba ili majaliwa yawepo basi kuna kuwa na nguvu za ziada zinazopelekea hayo kuwepo, tuangalie;

FATE:


(i) The supposed force, principle, or power that predetermines events:

(ii) The inevitable events predestined by this force

(iii) A final result or consequence; an outcome.



(iv) An unfavorable outcome in life.

Uchanganuzi huo unaonesha kwamba neno MAJALIWA au fate, ni zao la nguvu zinazotabiri matukio.

Nguvu hizo ni zipi?? Nguvu hizo zinatoka wapi?? nguvu hizo zinazuilika??

Mfano: je unaweza tambua siku yako ya kufa?? je unajua nani anayechukua roho yako?? je unaweza zuia kifo?? Hilo ni jambo gumu kidogo, tujaribu mfano mwepesi kidogo.

Je umeshiriki kwa asilimia ngapi katika kutengeneza matukio katika maisha yako, au kuyazuia au hata kuweza kuyabadilisha??

Jibu ni hakuna.

Kwa hiyo kama kwa kiasi kikubwa hukuweza kuzuia mengi ya matukio katika maisha yako au kuyabadili, hapo tunapata jibu kwamba lazima kutakua na nguvu ya ziada iliyopelekea jambo hilo kutokea.

Sayansi haibishi kwamba hakuna nguvu bila kuwa na chanzo hizo, hakuna ubishi kwamba nguvu zinzzopelekea kutokea kwa hayo mambo zina chanzo chake.

Kuna weza tokea ubishi wa hicho chanzo cha hizo nguvu, lakini kwa imani yangu naamini kwamba chanzo cha nguvu hizo ni MUNGU.

Kufupisha maelezo, jambo lililopelekea mimi kuandika mada hii ndefu, ni hili dogo tu.

" kuna jirani yangu ninaishi nae mtaa mmoja, tunakuja nyumbani nyakati tofauti, tunalala nyakati tofauti, na tunaamka nyakati tofauti, lakini kila asubuhi lazima tukutane barabarani muda ule ule"

Hii ina maanisha nini??

Kama tunatofautiana muda wa kurudi nyumbani, muda wa kulala, muda wa kuamka, inakuwaje lazima kila siku muda ule ule tukutane barabarani??

Is this fate?? accident?? Luck?? au tunapanga tukutane muda huo???

I rest my case with a conclusion kwamba , Mungu yupo na yeye ndie hupanga maisha yetu. Our life is planned hata kabla hatujazaliwa.

Wherever there Is doubt, there is existence og something.
 
Kwa sababu kinakosa logical consistency.

Nimetoa mfano katika Euclidean geometry hakuna "pembetatu duara".

Kwa sababu kitu kimoja hakiwezi juwa pembetatu halafu kikawa duara hapohapo.

Pembatatu duara haiwezi kuwapo, kwa sababu kabla sijaipinga kuwepo, yenyewe inajipinga. Pembetatu haiwezi kuwa duara na duara haliwezi kuwa pembetatu.

Mungu wako anajipinga kama "pembetatu duara" inavyojipinga katika Euclidean geometry.

Kwa sababu ana sifa zinazom contradict yeye mwenyewe kuwepo kama sifa za "pembetatu duara" zinavyo contradict kuwepo kwake.

Labda nitoe mfano,tufanye mimi Tz mbongo niseme kuwa mimi ni mpole,mkorofi na mgomvi. Tukitazama hayo niliyoeleza kuhusu mimi ni kama yanatofautiana kwa maana kwamba mpole hawezi tena kuwa mkorofi au mgomvi kuwa mpole, ndiyo inavyoeleweka hivyo. Lakini kwa hayo niliyoyaeleza kuhusu mimi Tz mbongo ambayo yanaonekana hayaendani ndiyo je,ndiyo huniondolea mie uwepo wangu?
 
Labda nitoe mfano,tufanye mimi Tz mbongo niseme kuwa mimi ni mpole,mkorofi na mgomvi. Tukitazama hayo niliyoeleza kuhusu mimi ni kama yanatofautiana kwa maana kwamba mpole hawezi tena kuwa mkorofi au mgomvi kuwa mpole, ndiyo inavyoeleweka hivyo. Lakini kwa hayo niliyoyaeleza kuhusu mimi Tz mbongo ambayo yanaonekana hayaendani ndiyo je,ndiyo huniondolea mie uwepo wangu?

Wewe TzMbongo "mpole, mkorofi na mgomvi" ni kitu cha kufikirika. Haupo.

Kwa maana ukiwa mpole huwezi kuwa mgomvi na ukiwa mgomvi huwezi kuwa mpole.

Huwezi kuwepo TzMbongo "mpole, mkorofi na mgomvi" kama "pembetatu duara" isivyoweza kuwepo.

Kwa sababu hamna logical consistency katika kuwepo huko.
 
Wewe TzMbongo "mpole, mkorofi na mgomvi" ni kitu cha kufikirika. Haupo.

Kwa maana ukiwa mpole huwezi kuwa mgomvi na ukiwa mgomvi huwezi kuwa mpole.

Huwezi kuwepo TzMbongo "mpole, mkorofi na mgomvi" kama "pembetatu duara" isivyoweza kuwepo.

Kwa sababu hamna logical consistency katika kuwepo huko.

Sasa sipo mimi au haiwezekani kuwa na hizo sifa kwa wakati mmoja?
 
Wewe nani?

Tuende poloepole, hatua kwa hatua.

Wewe mwenye sifa hizo zote kwa pamoja haupo, unakubali au unakataa?

Sasa sipo mimi au haiwezekani mimi kuwa na hizo sifa kwa wakati mmoja?

Swali linaeleweka kabisa.
 
Hapa ndipo tunapopishana kuelewana.

Kama huwezi kuelewa sentensi rahisi ya kiswahili siwezi kuwa na hakika unaweza kuelewa nuanced philosophical arguments

Kwanza kabisa, wapi nimekubali kushindwa kuthibitisha suala la udakuzi wa Marekani na uwepo wa jini?

Unafahamu tofauti ya mtu ku dismiss swali kwamba ni irrelevant to the topic na immaterial to the logic of examination at hand na mtu kushindwa kujibu swa



Sasa utajuaje kisichothibitika hiki kipo, na kisichothibitika hiki hakipo?


1.Swali nililokuuliza ulitakiwa kulijibu kwasababu majibu yake yalikuwa mawili.uthibitishe au ufanye vyovyote ambavyo tafsiri yake itakuwa umeshindwa kujibu lakini Jinni yupo na huo udakuzi unafanyika.
2.Ukumbuke tangia mwanzo unahitaji uthibitishiwe uwepo wa Mungu.
Lakini ukumbuke Mungu ninaemtaja mimi ni kama muislam ni MUNGU WA GHAIBU.
Sasa nakushangaa unaponambia kwamba umedismiss swali kwasababu swali langu liko irrelevant to the topic.

Mimi nimekuuli vitu ambavyo wewe kwako ni GHAIBU VILEVILE.Labda uje s
 
1.Swali nililokuuliza ulitakiwa kulijibu kwasababu majibu yake yalikuwa mawili.uthibitishe au ufanye vyovyote ambavyo tafsiri yake itakuwa umeshindwa kujibu lakini Jinni yupo na huo udakuzi unafanyika.
2.Ukumbuke tangia mwanzo unahitaji uthibitishiwe uwepo wa Mungu.
Lakini ukumbuke Mungu ninaemtaja mimi ni kama muislam ni MUNGU WA GHAIBU.
Sasa nakushangaa unaponambia kwamba umedismiss swali kwasababu swali langu liko irrelevant to the topic.

Mimi nimekuuli vitu ambavyo wewe kwako ni GHAIBU VILEVILE.Labda uje s

Inaonekana kama umepost kwa bahati mbaya ulikuwa hujamaliza kuandika vile.
 
Kiranga

Labda uje useme kwamba jinni haumjui wala udakuzi haujawahi kuusikia maishani mwako.
Lakini kama hivyo vitu umewahi kuvisikia unatakiwa unithibitishie uwepo wake.
 
Last edited by a moderator:
apart from merely dreaming that he does not exist, by just saying that he does not because one says that he does and you don't approve his proof, does not make one the fact that he does not exist.

You might rely on this general rule on the burden of proof that " one who alleges must prove"

But every general rule has exceptions;

Come to this one,

" I SAY GOD EXIST" its a general rule, and you say " GOD DOES NOT EXIST" and i have given proof in my content that he does, yet you don't approve that.

It seems that you have proof that, he does not exist,

One among the exception to the general rule, shifts the burden of proof to the one who has specific knowledge of the alleged facts, because you have proof that he does not exist , why don't you come out and give us your proof??

Another exception to to the general rule of the burden of proof, shifts the burden to the person who alleges that there is no relationship as alleged.

I have come up with a situation which proves that there is a relationship between the creator and the creature, but you disprove of that content.

Now it is your burden to prove otherwise.

I shall await.


Asante kwa hii Elimu. Umekwenda vyema kweli. Ha ha ha haaa nimefurahi sana kusoma comment yako Mkuu. Very wise.
 
Labda nitoe mfano,tufanye mimi Tz mbongo niseme kuwa mimi ni mpole,mkorofi na mgomvi. Tukitazama hayo niliyoeleza kuhusu mimi ni kama yanatofautiana kwa maana kwamba mpole hawezi tena kuwa mkorofi au mgomvi kuwa mpole, ndiyo inavyoeleweka hivyo. Lakini kwa hayo niliyoyaeleza kuhusu mimi Tz mbongo ambayo yanaonekana hayaendani ndiyo je,ndiyo huniondolea mie uwepo wangu?

Wewe TzMbongo "mpole, mkorofi na mgomvi" ni kitu cha kufikirika. Haupo.

Kwa maana ukiwa mpole huwezi kuwa mgomvi na ukiwa mgomvi huwezi kuwa mpole.

Huwezi kuwepo TzMbongo "mpole, mkorofi na mgomvi" kama "pembetatu duara" isivyoweza kuwepo.

Kwa sababu hamna logical consistency katika kuwepo huko.

Sasa sipo mimi au haiwezekani kuwa na hizo sifa kwa wakati mmoja?

Wewe nani?

Tuende poloepole, hatua kwa hatua.

Wewe mwenye sifa hizo zote kwa pamoja haupo, unakubali au unakataa?

Sasa sipo mimi au haiwezekani mimi kuwa na hizo sifa kwa wakati mmoja?

Swali linaeleweka kabisa.

Wewe mwenye sifa hizo haupo, unaelewa hilo maana yake?

Maana yake Tz mbongo kama Tz mbongo nitaendelea kuwepo ila haiwezekani nikawa na sifa hizo kwa pamoja??



Haya ni Matokeo ya kitu nakiita. CHOICE. after receiving the Knowledge, You weigh n pick Sides. Kisha unatumia elimu yako, iloyokupelekea kuwa na uwezo ulio nao kufanya Argument against the Existence of GOD Or His Absence.

Hakuna kati yenu mwenye uwezo wa kumridhisha mwenzake maana kila swali unalouliza kuna namna unataka ndio ujibiwe, ukijibiwa otherwise unajenga hoja yako hapo. Tambueni kuwa, katika kuwaza kwenu, pia upo uwezekano mkawa mnatumika vibaya na Shetani kwa wanao amini uwepo wake, lakini pia kwa Asie amini uwepo wake atapuuza uwepo wake na wa shetani, lakini kupinga huko hakumaanishi yupo, lakini pia hakumaanishi hayupo. Tukubaliane kwamba sisi ni matokeo ya ELIMU tuliyonayo juu ya mambo haya Mawili.

MIMI NAAMINI MUNGU YUPO. Wewe usie Amini usinifuate mimi ninae amini yupo uniambie ETI MUNGU HAYUPO. Kwanza hiyo ni Civil Case, NENDA KWA WENZIO WASIO AMINI UWEPO WAKE MKAENDELEE KUJIBISHANA NA KUONGEZEANA UDHIBITISHO KWAMBA HAYUPO. KAMA AMBAVYO NA SISI TUTAKAVYOKUTANA NA TUNAONAMINI TUKAENDELEA KUSHUHUDIANA NA KUJIONGEZEA ELIMU ZAIDI YA UWEPO WA MUNGU HASA KATIKA KIZAZI ENDELEVU KAMA HIKI NA KIJACHO.. Pia Nafasi ya Shetani katika Elimu tunazopata, namna ambavyo anaweza cheza na akili za wachapaji/waelimishaji na hao wenye mamlaka yakutoa machapisho, ama elimu juu ya Jambo Fulani.

We Must be Careful.
 
Haya ni Matokeo ya kitu nakiita. CHOICE. after receiving the Knowledge, You weigh n pick Sides. Kisha unatumia elimu yako, iloyokupelekea kuwa na uwezo ulio nao kufanya Argument against the Existence of GOD Or His Absence.

Hakuna kati yenu mwenye uwezo wa kumridhisha mwenzake maana kila swali unalouliza kuna namna unataka ndio ujibiwe, ukijibiwa otherwise unajenga hoja yako hapo. Tambueni kuwa, katika kuwaza kwenu, pia upo uwezekano mkawa mnatumika vibaya na Shetani kwa wanao amini uwepo wake, lakini pia kwa Asie amini uwepo wake atapuuza uwepo wake na wa shetani, lakini kupinga huko hakumaanishi yupo, lakini pia hakumaanishi hayupo. Tukubaliane kwamba sisi ni matokeo ya ELIMU tuliyonayo juu ya mambo haya Mawili.

MIMI NAAMINI MUNGU YUPO. Wewe usie Amini usinifuate mimi ninae amini yupo uniambie ETI MUNGU HAYUPO. Kwanza hiyo ni Civil Case, NENDA KWA WENZIO WASIO AMINI UWEPO WAKE MKAENDELEE KUJIBISHANA NA KUONGEZEANA UDHIBITISHO KWAMBA HAYUPO. KAMA AMBAVYO NA SISI TUTAKAVYOKUTANA NA TUNAONAMINI TUKAENDELEA KUSHUHUDIANA NA KUJIONGEZEA ELIMU ZAIDI YA UWEPO WA MUNGU HASA KATIKA KIZAZI ENDELEVU KAMA HIKI NA KIJACHO.. Pia Nafasi ya Shetani katika Elimu tunazopata, namna ambavyo anaweza cheza na akili za wachapaji/waelimishaji na hao wenye mamlaka yakutoa machapisho, ama elimu juu ya Jambo Fulani.

We Must be Careful.

Swali uliloulizwa hujalijibu, ulilolijibu hujaulizwa.

Choice inekuja baada ya mungu kuanua kuumba ulimwengu huu, na choice itakuwapo, na choice hiyo itakuwa na mipaka gani, hivyo ndivyo maandiko yanavyosema.

Kwamba ulimwengu na misingi yake vimeumbwa na mungu.

Swali langu halihusiani na kutaka kujua kwa nini kuna manaya katika ulimwengu huu, lingekuwa swali ni hilo, ungeweza kunijibu kwamba, kuna mabaya kwa sababu watu wamepewa uwezo wa kuchagua mema na mabaya nao wanachagua mabaya.

Swali langu ni tofauti, na hujalijibu.

Swali langu ni, mungu huyu mnayemsema ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, ukiwamo uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani kabisaaa, kwa nini hakuumba ulimwengu huo ambao mabaya hayawezekani?

Ni kweli alikuwa ana uwezo wa kuuumba ukimwengu huo lakini hakutaka tu?

Kama ni hivyo hana upendo qote basi, maana mqwnye upendo hawezi kuumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana wakati ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani.

Au, alitaka sana kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, lakini akashindwa tu?

Kama ni hivyo basi hawezi yote, maana alitaka kuumba ulimwengu usiowezekabika kuwa na mabaya lakini akashindwa.
 
Back
Top Bottom