Tetesi: Col Joseph Karegire wa Jeshi la Rwanda auawa huko DRC Congo

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Habari za hivi punde ni kuuwawa kwa kiongozi wa mapambo wa jeshi la Rwanda nchi Congo.

Majeshi ya Rwanda yapo nchini Congo yakisaidiana na majeshi ya M23.

Mara kadhaa Paul Kagame amekuwa akikanusha kuhusika kwa nchi yake katika machafuko nchini Congo.

Kufuatia kifo cha Col Joseph Karegire ambaye alikuwa kiongozi mkuu wa operesheni nchini Congo sasa ni wazi tena pasipo shaka kabisa Jeshi la Rwanda limekuwa likishirikiana na M23 bega kwa bega.



 
Weka Chanzo cha habari Sasa.


Tresor Mandala imhotep
 

Alienda kufanya nini DRC?
Kazi maalum hiyo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…