Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
SADC hawapigani, wanalinda usalama. Ameuawa na FRDCKauawa na jeshi gani, la congo au sadc?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SADC hawapigani, wanalinda usalama. Ameuawa na FRDCKauawa na jeshi gani, la congo au sadc?
Imethibitisha kuwa Kagame hakusema ukweli alipotamka kuwa hakuna majeshi ya Rwanda ndani ya CongoSi kitu cha ajabu kufa vitani!
R.i.p kamanda karegire Kwa kuwapambania wa banyamulengeHabari za hivi punde ni kuuwawa kwa kiongozi wa mapambo wa jeshi la Rwanda nchi Congo.
Majeshi ya Rwanda yapo nchini Congo yakisaidiana na majeshi ya M23.
Mara kadhaa Paul Kagame amekuwa akikanusha kuhusika kwa nchi yake katika machafuko nchini Congo.
Kufuatia kifo cha Col Joseph Karegire ambaye alikuwa kiongozi mkuu wa operesheni nchini Congo sasa ni wazi tena pasipo shaka kabisa Jeshi la Rwanda limekuwa likishirikiana na M23 bega kwa bega.
Kwa miaka 30 Sasa wamekuwa wakifanya hivyo ila bado FDLR wapo tu.pia kuna wakati Rwanda waliruhusiwa kuingia DRC na kuwasaka Fdlr.
Mjue hatari ya FLDR na nani? Hatari yao hao kwenu ninyi watusi kwa kuwa mnajiona special person na mmeshindwa kukaa nao vizuri wanyarwanda wenzenu hao,, sisi wabongo wana hatari gani kwetu?Atakuwa ameuwawa na FLDR Sniper ndio mjue hatari ya FLDR ambao Kagame anasema ni lazima wamalizwe.
kuangalia team ya mpira TP mazembeAlienda kufanya nini DRC?
Risasi zilizomuua hazijaonyesha ni za jeshi la DRC au ni za SADCKauawa na jeshi gani, la congo au sadc?
Risasi zilizomuua hazijaonyesha ni za jeshi la DRC au ni za SADCKauawa na jeshi gani, la congo au sadc?
Risasi zilizomuua hazijaonyesha ni kutoka ktk bunduki za jeshi la DRC au za SADCKauawa na jeshi gani, la congo au sadc?
Sisi hatuna hatari nao, wakae nao vizuri waongee yaishe.Mjue hatari ya FLDR na nani? Hatari yao hao kwenu ninyi watusi kwa kuwa mnajiona special person na mmeshindwa kukaa nao vizuri wanyarwanda wenzenu hao,, sisi wabongo wana hatari gani kwetu?
Uyu awato muuwa mtu wao!!! Elewa ivo tu!!!
Kuvuna alizetiAlienda kufanya nini DRC?
Special gani wakati FLDR bado wana Idiolojia ya Hutu PowerMjue hatari ya FLDR na nani? Hatari yao hao kwenu ninyi watusi kwa kuwa mnajiona special person na mmeshindwa kukaa nao vizuri wanyarwanda wenzenu hao,, sisi wabongo wana hatari gani kwetu?
Waweke Silaha chini halafu warudi Rwanda kama raia.Waliozaliwa 1985/2007 hawakushiriki Genocide, aongee nao warudi kwao Rwanda na imiwezekana awaingize jeshini.
Leoo wameliwa wawili piaView attachment 3226426
Mwenye kofia nyekundu.
KudangaAlienda kufanya nini DRC?