balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Amani wakati mtu kauliwa,Acha basiiHabari njema hii kwa sisi wapenda amani,,, kagame sijui atasemaje maana ye hajui kama jeshi lake lipo kongo, labda huyu alienda picnic goma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amani wakati mtu kauliwa,Acha basiiHabari njema hii kwa sisi wapenda amani,,, kagame sijui atasemaje maana ye hajui kama jeshi lake lipo kongo, labda huyu alienda picnic goma.
Nilisoma naeView attachment 3226426
Mwenye kofia nyekundu.
Unapenda sana ugomvi wewe.Kauawa akiwa Goma au Bukavu? Je lilikuwa shambulizi la kuvizia au kafa vitani ?....kauawa na jeshi la Drc au maimai au FDLR au ....?
Fdlr wanataka kurudi kwao, kagame hataki,tangu 1994 huwafuata huko na kuwaua, waliokua askari 1994 aidha wamekufa au wazee,hawa waliopo huko wengi hata hawajui genocide,halafu si alisema jeshi lake halipo drc!!!Kagame anawasaka wabaya wake FLDR na hilo mpaka uwe mtoto ndio hutalielewa.
Mfano hivi Leo Waasi wanaotaka kuangusha Serikali ya Dar wakijikusanya Kajiado Kenya halafu wawe wanasaidiwa na Rutto Tanzania pia itafungua proxy yeke huko Kajiado ili kupambana na Waasi wao na their backers.
Kwahiyo acha kuumiza kichwa Grow up!
Waongee kwanza baada ya makubaliano ndio waweke Siraha chini. Kama alivyoshauri Kikwete .Waweke Silaha chini halafu warudi Rwanda kama raia.
Hiyo ideology ya hutu power ilianzishwa na glory kayibanda miaka ya 60s baada ya hao ndugu zako watusi kudekezwa tangu enzi ya mbelgiji na kujiona wao special people mbele ya wenzao wahutu,, kifupi watusi nyie wadwanzi tu.,, kongo kuna makabila si chini ya mia nne, makabila mengine hayajawahi kushika wadhifa hata wa mjumbe wa nyumba kumi na poa tu,, iweje nyie ndo mjione mnastahili kushika madaraka,, wadwanzi tu nyieSpecial gani wakati FLDR bado wana Idiolojia ya Hutu Power
Watutsi walikuwa ni Kings na Queens wa hilo eneo historical Rulers wa Rwanda Urundi nani kawadekeza?! Mzungu ndio kaja kuleta fitina na kuwachonganisha Waafrika.Hiyo ideology ya hutu power ilianzishwa na glory kayibanda miaka ya 60s baada ya hao ndugu watusi kudekezwa tangu enzi ya mbelgiji
Kurudi kwao na Bunduki?!Fdlr wanataka kurudi kwao,
Ndani yao bado kuna Interahamwe wanaotaka kumalizia kazi waiyoianza mwaka 94 Kagame hawezi kuongea na Interahamwe.Waongee kwanza baada ya makubaliano ndio waweke Siraha chini. Kama alivyoshauri Kikwete .
FDLR wengi ni watoto wa wakimbizi wa kihutu waliozaliwa huko Drc baada ya genocide hivyo hawafahamu lolote kuhusu hiloNdani yao bado kuna Interahamwe wanaotaka kumalizia kazi waiyoianza mwaka 94 Kagame hawezi kuongea na Interahamwe.
Ndani yao bado kuna Interahamwe wanaotaka kumalizia kazi waiyoianza mwaka 94 Kagame hawezi kuongea na Interahamwe.
Likija suala la Rwanda huwa unamahaba sana, kwamba hao ambao hawajui chochote kuhusu genocide nao in interahamwe. warudishen ndugu zenu Rwanda mjenge nchi yenu.Ndani yao bado kuna Interahamwe wanaotaka kumalizia kazi waiyoianza mwaka 94 Kagame hawezi kuongea na Interahamwe.
😀😀😀Alienda kukojoa kidogo hapo Congo
Watutsi waliishi Ukimbizini kwa miongo mingi Uganda Tanzania nk. Na walikuwa wakiomba kurudi Rwanda lakini walikuwa wakikataliwa kata kata hadi walipoamua kumsaidia Museveni hata baada ya hapo waliendea kumbembeleza Habyarimana ili awaruhusu kurejea nyumbani ikashindkana ndipo wakaamua kurudi kwa nguvu.Likija suala la Rwanda huwa unamahaba sana, kwamba hao ambao hawajui chochote kuhusu genocide nao in interahamwe. warudishen ndugu zenu Rwanda mjenge nchi yenu.
Hao FDLR waliozaliwa Drc baada ya genocide na ambao hawakuhusika na genocide wana haki ya kurejea kwao Rwanda.Watutsi waliishi Ukimbizini kwa miongo mingi Uganda Tanzania nk. Na walikuwa wakiomba kurudi Rwanda lakini walikuwa wakikataliwa kata kata hadi walipoamua kumsaidia Museveni hata baada ya hapo waliendea kumbembeleza Habyarimana ili awaruhusu kurejea nyumbani ikashindkana ndipo wakaamua kurudi kwa nguvu.
Hapa JF ukiongea ukweli unaambiwa una mahaba na Watutsi lakini sijawahi kusema fulani ana mahaba na Wahutu.
Nimekuelewa vizuri, kwahio nawahutu wakikaa ukimbizini miongo kadhaa sio vibaya hata kama hawakuhusika kwenye genocide. Na wao kama wataamua kurudi basi warudi kama watusi walivyorudi kwa njia ya mtutu, lakini sio kukaa nao kwenye meza ya mazungumzo.Watutsi waliishi Ukimbizini kwa miongo mingi Uganda Tanzania nk. Na walikuwa wakiomba kurudi Rwanda lakini walikuwa wakikataliwa kata kata hadi walipoamua kumsaidia Museveni hata baada ya hapo waliendea kumbembeleza Habyarimana ili awaruhusu kurejea nyumbani ikashindkana ndipo wakaamua kurudi kwa nguvu.
Hapa JF ukiongea ukweli unaambiwa una mahaba na Watutsi lakini sijawahi kusema fulani ana mahaba na Wahutu.
Na Hawa watutsi na wahutu .....ndugu kabisa wa damu moja....Likija suala la Rwanda huwa unamahaba sana, kwamba hao ambao hawajui chochote kuhusu genocide nao in interahamwe. warudishen ndugu zenu Rwanda mjenge nchi yenu.