Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi walisema wanataka kurudi na bunduki?!Kurudi kwao na Bunduki?!
Siyo kabila mojaNa Hawa watutsi na wahutu .....ndugu kabisa wa damu moja....
Wote kabila moja.
Nini kinachowazuia mbona wenzao wamerudi.Wapi walisema wanataka kurudi na bunduki?!
Wenzao wapi hao?...bado Rwanda ina wakimbizi wengi mno wanaoishi uhamishoni, wengi wao wakiwa wakimbizi wa kisiasa.Nini kinachowazuia mbona wenzao wamerudi.
Hawa jamaa kinachowafanya kuwa wa makabila tofauti nini?......Siyo kabila moja
Wale Wakimbizi waliokimbilia Benako Ngara walisharudi kwao hata wale waliokimbilia Goma wengi wamerudi kwenda kulijenga taifa lao la Rwanda.Wenzao wapi hao?...bado Rwanda ina wakimbizi wengi mno wanaoishi uhamishoni, wengi wao wakiwa wakimbizi wa kisiasa.
Wale Wakimbizi waliokimbilia Benako Ngara walisharudi kwao hata wale waliokimbilia Goma wengi wamerudi kwenda kulijenga taifa lao la Rwanda.
Slim ajitokeze hadharani kutoa tamkoMara kadhaa Paul Kagame amekuwa akikanusha kuhusika kwa nchi yake katika machafuko nchini Congo.
Kufuatia kifo cha Col Joseph Karegire ambaye alikuwa kiongozi mkuu wa operesheni nchini Congo sasa ni wazi tena pasipo shaka kabisa Jeshi la Rwanda limekuwa likishirikiana na M23 bega kwa bega.
M23 waliweka silaha chini kilichofuata Tshesekedi akawafanyia genocide, never again..Rwanda inapaswa kufanya maridhiano na raia wake walioko DRC ili waweze kurudi nyumbani.
..DRC inapaswa kuyafanyia kazi madai ya uraia wa Banyamulenge na kuyapatia suluhisho la kudumu.
..M23 wanatakiwa kuweka silaha chini na kuwa chama cha siasa na kutafuta uongozi kupitia uchaguzi huru, wa haki, anaoaminika.
Hilo la PK kushiriki Congo mbona lipo wazi hata mtoto aliyezaliwa jana anajuaHabari za hivi punde ni kuuwawa kwa kiongozi wa mapambo wa jeshi la Rwanda nchi Congo.
Majeshi ya Rwanda yapo nchini Congo yakisaidiana na majeshi ya M23.
Mara kadhaa Paul Kagame amekuwa akikanusha kuhusika kwa nchi yake katika machafuko nchini Congo.
Kufuatia kifo cha Col Joseph Karegire ambaye alikuwa kiongozi mkuu wa operesheni nchini Congo sasa ni wazi tena pasipo shaka kabisa Jeshi la Rwanda limekuwa likishirikiana na M23 bega kwa bega.
Inafahamika kuwa kifo cha hawala/mchepuko hakina karanga wala rambirambi........imhotep anakuambia majeshi ya Rwanda hayapo Congo, hu utakua uzushi.
Lini kawafanyia genocide?M23 waliweka silaha chini kilichofuata Tshesekedi akawafanyia genocide, never again
M23 waliweka silaha chini kilichofuata Tshesekedi akawafanyia genocide, never again
Na m23 wafanye hivyo na si kuilazimisha Kinshasa iongee na WABAYA wake wakti Kigari haitaki kusikia ushauri huo.Waweke Silaha chini halafu warudi Rwanda kama raia.
Genocide ni neno ambalo wanyarwanda wanafichama na kudekea Ili wahalalishe uhuni wao...genocide ni madai mazito sana.
..kila upande unaoshiriki vita ya Drc unaulaumu upande mwingine kwa genocide.
..wananchi wa kawaida wanatumika ktk mauaji na uharibifu ili kutetea madaraka na utajiri wa magenge fulani.
..kama vita haijaleta matokeo mazuri, ya maana, tangu mwaka 1998/99, ni vizuri wananchi wa DRC wakatumia njia za amani kumaliza tofauti zao.
Issue ya M23 ni tofauti kabisa na Issue ya FLDR.Na m23 wafanye hivyo na si kuilazimisha Kinshasa iongee na WABAYA wake wakti Kigari haitaki kusikia ushauri huo.
Natambua.Issue ya M23 ni tofauti kabisa na Issue ya FLDR.