DR VRM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 853
- 1,040
His doomsdays are very closeAnguko la slim shade liko mlangoni kwake uyu babylon puppet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
His doomsdays are very closeAnguko la slim shade liko mlangoni kwake uyu babylon puppet
Mr Tolu Slim Shade hajui hilo tena alivyo kibaraka wa US ukimgusa tu unashangaa umeshushiwa rungu hujamuona SA alichofanywa na Trump? Fall back zimekua nyingi sanaTuendelee kuhesabu siku
Time will tell!
Walimchelewesha
Kagame against the World😇His doomsays are very close
Kama hakuweka chanzo ina maana chanzo ni yeye mwenyewe.
... alikuwa anawadekea 'NEOCONS' waliomkosakosa Trump risasi, AJIANDAE!Mr Tolu Slim Shade hajui hilo tena alivyo kibaraka wa US ukimgusa tu unashangaa umeshushiwa rungu hujamuona SA alichofanywa na Trump? Fall back zimekua nyingi sana
🤣🤣🤣Kama hakuweka chanzo ina maana chanzo ni yeye mwenyewe.
Huelewi kuwa JF kuna vyanzo vingi vya habari? Au ulifikiri JF wote ni kama wewe?
Alikua anafanya nini na anopheles kadai wajeda wake hawapo huko?Atakuwa ameuwawa na FLDR Sniper ndio mjue hatari ya FLDR ambao Kagame anasema ni lazima wamalizwe.
Dah GT unamaswali ya interrogation ya hatarii maamaeeKauawa akiwa Goma au Bukavu? Je lilikuwa shambulizi la kuvizia au kafa vitani ?....kauawa na jeshi la Drc au maimai au FDLR au ....?
Kagame anawasaka wabaya wake FLDR na hilo mpaka uwe mtoto ndio hutalielewa.Alikua anafanya nini na anopheles kadai wajeda wake hawapo huko?
Kagame anawasaka wabaya wake FLDR na hilo mpaka uwe mtoto ndio hutalielewa.
Mfano hivi Leo Waasi wanaotaka kuangusha Serikali ya Dar wakijikusanya Kajiado Kenya halafu wawe wanasaidiwa na Rutto Tanzania pia itafungua proxy yeke huko Kajiado ili kupambana na Waasi wao na their backers.
Kwahiyo acha kuumiza kichwa Grow up!
Ni FDLR si FLDR! Kirefu chake kwa Kiingereza ni Democratic Forces for the Liberation of Rwanda. Kwa Kifaransa ni Forces Démocratiques pour la Libération du Rwanda (FDLR).Atakuwa ameuwawa na FLDR Sniper ndio mjue hatari ya FLDR ambao Kagame anasema ni lazima wamalizwe.
Alienda kucheza ngwasumaAlienda kufanya nini DRC?
Uyu awato muuwa mtu wao!!! Elewa ivo tu!!!Wangemuua col nanga
Waliozaliwa 1985/2007 hawakushiriki Genocide, aongee nao warudi kwao Rwanda na imiwezekana awaingize jeshini.Kagame anawasaka wabaya wake FLDR na hilo mpaka uwe mtoto ndio hutalielewa.
Mfano hivi Leo Waasi wanaotaka kuangusha Serikali ya Dar wakijikusanya Kajiado Kenya halafu wawe wanasaidiwa na Rutto Tanzania pia itafungua proxy yeke huko Kajiado ili kupambana na Waasi wao na their backers.
Kwahiyo acha kuumiza kichwa Grow up!