Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Umemsahau Noorah a.k.a baba styleskama vipi ,ya ray c na mez b ni fire ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsahau Noorah a.k.a baba styleskama vipi ,ya ray c na mez b ni fire ....
[emoji3][emoji3]Wewe ni muongo na mjinga!
Hiyo walikua wamesha tengana.
Wimbo waliotoa unaitwa Na wewe tu.
Gitaa za Pauline zongo enzi hizoFA ft. Noorah & Pauline Zongo - Unanitega
Moja ya collabo bora kabisa kupata kutokea kwenye ulimwengu wa bongofleva
Huu wimbo naupenda sn, yn hd leo nikiusikiliza bdo naona ni km mpya.
Mwana fa alifunikwa japo wimbo ulikua wake.FA ft. Noorah & Pauline Zongo - Unanitega
Moja ya collabo bora kabisa kupata kutokea kwenye ulimwengu wa bongofleva
Unajua maana ya uhasimu kwenye fani dogo?Acha uongo!
Nature na Haroun hawakuwahi kuwa mahasimu...
Noorah alikuaga balaa na rap katuni zake aiseeMwana fa alifunikwa japo wimbo ulikua wake.
Huyo hajui anachokisemaUnajua maana ya uhasimu kwenye fani dogo?
Nimeishi nao Temeke enzi hizo so najua ninachomaanisha wakati huo wewe labda upo kwenu huko madongo kuinama unachunga ndama
Ali k
Acheni ushamba nyie!
Wangekua mahasimu wasingeunda kundi moja Wanaume Halisi (ndege tunduni)Unajua maana ya uhasimu kwenye fani dogo?
Nimeishi nao Temeke enzi hizo so najua ninachomaanisha wakati huo wewe labda upo kwenu huko madongo kuinama unachunga ndama
Ali kibakuli na domo hawajawahi kugombana binafsi ila fani inawafanya kuwa mahasimu wakubwa
Fid Q na Joh Makini hawajawahi kugombana lakini fani inawafanya kuwa mahasimu
Inspct na Nature enzi hizo waliwagawa mashabiki wa uswahili kila mtu akidai anayempenda ndio bora
Kiroboto akiwa na KR Mura wakatoa Mzee wa busara baadae Majani akawakutanisha na verse ya Kr ikatolewa ikaingizwa ya Inspct
Kila mtu hakuamini inakuaje Nature na Haroon ndani ya track moja?
Ni kama leo usikie Domo na kibakuli wametoa kolabo
Wanaume Halisi si imekuja baadaye? Basi unajiona mjanja mwenyewe [emoji3]Acheni ushamba nyie!
Mahasimu gani wanakua kundi moja, rejea kundi la TMK Wanaume Halisi.
Nmemix mkuu ni fod qMkuu hiyo ngoma ya Report za mtaani si ya Fid q ft zahir zorro kweli.
Ndio maana nakwambia ulikua kijijini kwenu huko unawinda ndege na kuchunga watoto wa mbuziWangekua mahasimu wasingeunda kundi moja Wanaume Halisi (ndege tunduni)
Sana yaniNoorah alikuaga balaa na rap katuni zake aisee
Alitambaa vizuri sana kwenye unanitega
Ni kweli ile ngoma kali sanaGNako ft Niki wa Pili - Bado Ngware.
A very conscious song.
Me nataka kuwa na wewe tuuBerry Black& Berry white walitoa ngoma Kali siikumbuki jina..