Collaboration kali zilizowahi kusumbua Bongo

Collaboration kali zilizowahi kusumbua Bongo

MIMI - Geez Mabovu, Jay Moe, Chidy Benz, Fid Q & Naakaya.

Dakika 0 - Geez, Ngwair, Dark Master, Jay Moe.

Chagua Moja - Fid Q, Adili, Langa, TID, Black Rhino.

Hapo Sawa Remix - Prof Jay, Mwana FA, Lord Eyes, Chidy Benz, Babuu wa Kitaa..
malizia na Kimbia ya Kingoko pamoja na wew ndo mchizi wangu rmx tufunge list😉
 
Abdul Kiba- ft Neiba & Ney- Huyo sio demu
Marlaw ft Kigwema- sitomsahau
Ferooz ft Prof J- Nikusaidieje
Z Antony Ft Pingu- B.Kiziwi
Matonya- fr Jay Dee- Anita
Ali kiba ft Hakeem- Nakshi Nakshi
Belle 9 ft Mr Blue- wewe Ni wangu rmx
Berry Black ft Sumalee- Nisamehe
 
Abdul Kiba- ft Neiba & Ney- Huyo sio demu
Marlaw ft Kigwema- sitomsahau
Ferooz ft Prof J- Nikusaidieje
Z Antony Ft Pingu- B.Kiziwi
Matonya- fr Jay Dee- Anita
Ali kiba ft Hakeem- Nakshi Nakshi
Belle 9 ft Mr Blue- wewe Ni wangu rmx
Berry Black ft Sumalee- Nisamehe
No 1 ni [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Usiende mbali nami Bushoke ft Juliana
Nivumilie Baraka ft Ruby
Umebadilika Nandy ft bright

Nipe ripoti Tundaman ft Spark
Ni hayo Tu Fid q Langa, Professor Jay
Joto hasira Jay Dee ft professor jay

Hawajui FA ft jay Dee
Kama vipi Mez b ft Ray c
Ingewezekana D knob ft Ray c

Sauti ya manka GK ft Pauline Zongo
Yote ni Maisha Madee ft Majani
Kiburi Mr. 2 sugu ft stra Thomas

Ila kubwa kuliko
Pressure Khafsa Kazinja ft Banana
 
Usiende mbali nami Bushoke ft Juliana
Nivumilie Baraka ft Ruby
Umebadilika Nandy ft bright

Nipe ripoti Tundaman ft Spark
Ni hayo Tu Fid q Langa, Professor Jay
Joto hasira Jay Dee ft professor jay

Hawajui FA ft jay Dee
Kama vipi Mez b ft Ray c
Ingewezekana D knob ft Ray c

Sauti ya manka GK ft Pauline Zongo
Yote ni Maisha Madee ft Majani
Kiburi Mr. 2 sugu ft stra Thomas

Ila kubwa kuliko
Pressure Khafsa Kazinja ft Banana
Pressure ilisumbua sana those days
 
Kwema wakuu,

Kwa wale wapenzi wa burudani hasa music wa hapa home sweet home (bongo flavor) wa kizazi cha kati na cha sasa, utakubaliana na mimi kwamba katika collabo zilizowahi kutokea na kusumbua bongo kila kona, katika nyingi zikitajwa basi hizi haziwezi kukosa kwenye list;

1. Dhahabu ya Dully ft Blue & Joslin

2. Nilikataa ya Top band ft Blue

3. Number One Remix ya Diamond ft Davido

4. Muziki Gani ya Ney ft Diamond

5. Kimya kimya ya Jay Moe ft Ngwea

6. Hawatuwezi ya N2N ft Enika

7. Nitoke Vipi ya Misosi ft Hardmad

9. Mchizi Wangu remix ya N2N ft All Stars

10. Namba 8 ya Daz Baba ft Fid Q

11. Starehe ya Ferooz ft Prof. Jay

12. Nikusaidiaje ya Jay ft Ferooz

13. Wife ya Daz Baba ft Ngwea

14. Latifa ya Mb Dogg ft Madee

15. Tabasamu ya Blue ft Q Chilla

16. Dar es Salaam Stand Up Chidi Benz ft Ditto

17. Maisha na Muziki ya Darasa ft Ben Pol

18. Inamana ya Mb Dogg ft Madee

19. Nipeni Dili ya Ngwea ft Dark Master

20. Tax Bubu ya Matonya ft Fid Q

Orodha ni ndefu, zingine utaongezea, Ila hizo ngoma zilisumbua sana wakati wake.

NB: Njiti moja ya kiberiti inaweza kuchoma msitu wa Amazon.

Naomba kuwasilisha. I'm out.
Collabo bora bila hizi nyimbo?
Niaje Nivipi
Kila Wakati
Higher
Hawatuwezi
 
Back
Top Bottom