Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukasema wewe na nani? Hebu edit post yako alafu weka hizo nilizotaja hapo
Yaani kwangwaru haipo ? Na hata starehe ya ferooz hamna , We jamaa wewe utakuwa mvuta bangiKwema wakuu,
Kwa wale wapenzi wa burudani hasa music wa hapa home sweet home (bongo flavor) wa kizazi cha kati na cha sasa, utakubaliana na mimi kwamba katika collabo zilizowahi kutokea na kusumbua bongo kila kona, katika nyingi zikitajwa basi hizi haziwezi kukosa kwenye list;
1. Dhahabu ya Dully ft Blue & Joslin
2. Nilikataa ya Top band ft Blue
3. Number One Remix ya Diamond ft Davido
4. Muziki Gani ya Ney ft Diamond
5. Kimya kimya ya Jay Moe ft Ngwea
6. Hawatuwezi ya N2N ft Enika
7. Nitoke Vipi ya Misosi ft Hardmad
9. Mchizi Wangu remix ya N2N ft All Stars
10. Namba 8 ya Daz Baba ft Fid Q
11. Starehe ya Ferooz ft Prof. Jay
12. Nikusaidiaje ya Jay ft Ferooz
13. Wife ya Daz Baba ft Ngwea
14. Latifa ya Mb Dogg ft Madee
15. Tabasamu ya Blue ft Q Chilla
16. Dar es Salaam Stand Up Chidi Benz ft Ditto
17. Maisha na Muziki ya Darasa ft Ben Pol
18. Inamana ya Mb Dogg ft Madee
19. Nipeni Dili ya Ngwea ft Dark Master
20. Tax Bubu ya Matonya ft Fid Q
Orodha ni ndefu, zingine utaongezea, Ila hizo ngoma zilisumbua sana wakati wake.
NB: Njiti moja ya kiberiti inaweza kuchoma msitu wa Amazon.
Naomba kuwasilisha. I'm out.
Mkuu starehe hujaiona? Isije ikawa wewe tu mla wida [emoji1787]Yaani kwangwaru haipo ? Na hata starehe ya ferooz hamna , We jamaa wewe utakuwa mvuta bangi
Mzee wa Busara -Juma Nature ft Inspector Haroun
Kama Unataka Demu -Jay Moe ft Q Chillah
Ndiyo Mzee- Prof Jay ft Juma Nature
Nitoke Vipi- Bwana Misosi ft Hard Mad
2 Berry ft Shirko - Na Wewe Tu
Hii Leo - GK ft AY&FA
NakubaliAfande Sele Ft Daz baba mkuki moyoni
Afande Sele Ft Solo Thang and prof Jay Mtazamo
Mh Temba Ft Ray C Nipe Mimi
NimekasirikaNyandu toz ft blue, g nako _26 Number
Unaogopa nini?Ngoma yangu kali iliyotoka miaka hii ni ile ya naogopa marioo &harmonize huu wimbo siuchoki kabisa
WaTeule - MselaMsela - gwair ft j nature and KR
😆 Vipaji zamani asee sikuhizi amapiano tu UJUMBE utaukuta kwenye magitaa ya umeme na vinandaBoss,Feruzi,Solo thang na Nature