Combination ya Dr Kimei Waziri wa Fedha na Tarimba Abbas Waziri wa Viwanda na Biashara naikubali sana!

Combination ya Dr Kimei Waziri wa Fedha na Tarimba Abbas Waziri wa Viwanda na Biashara naikubali sana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Unajua dunia ya sasa inakwenda kasi sana ndio maana Tanzania japo tuna Bandari lakini wafanyabiashara wetu wanaenda kununua mzigo Uganda ambao unapita hapa hapa Dar es salaam.

Unapokuwa na viongozi wenye elimu ya kutosha ya vitabuni lakini wanaoijua dunia katika uhalisia wake linakuwa jambo jema sana.

Dr Kimei na Abbas Tarimba ni miongoni mwa wabunge ambao siyo " Chumia Tumbo ( CT)" wanaweza kutuvusha huko mbeleni kama sintofahamu ya bando itaende!ea.

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Unajua dunia ya sasa inakwenda kasi sana ndio maana Tanzania japo tuna Bandari lakini wafanyabiashara wetu wanaenda kununua mzigo Uganda ambao unapita hapa hapa Dar es salaam.

Unapokuwa na viongozi wenye elimu ya kutosha ya vitabuni lakini wanaoijua dunia katika uhalisia wake linakuwa jambo jema sana.

Dr Kimei na Abbas Tarimba ni miongoni mwa wabunge ambao siyo " Chumia Tumbo ( CT)" wanaweza kutuvusha huko mbeleni kama sintofahamu ya bando itaende!ea.

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!

Hamna kitu Bwasheee , Kimei alishindwa kutetea taaluma yake na kufuata mawazo ya MEKO na kupelekea kujenga CRDB chato ,Tarimba yeye ni dalali labda waanzishe wizara inayohusu udalali ndio apewe.
 
Hamna kitu Bwasheee , Kimei alishindwa kutetea taaluma yake na kufuata mawazo ya MEKO na kupelekea kujenga CRDB chato ,Tarimba yeye ni dalali labda waanzishe wizara inayohusu udalali ndio apewe.
Hahahaaaa........ Hii ni dunia ya " connection" bwashee!
 
Yaani umesikia Juma nne kuna uapisho mpya ndio unaanza kuwapigia chapuo mjomba na shemeji yako!

Hayo mawazo yako ungemshauri mwanakwenda ungekuwa umefanya jambo moja la mbolea sana.
Unajua dunia ya sasa inakwenda kasi sana ndio maana Tanzania japo tuna Bandari lakini wafanyabiashara wetu wanaenda kununua mzigo Uganda ambao unapita hapa hapa Dar es salaam.

Unapokuwa na viongozi wenye elimu ya kutosha ya vitabuni lakini wanaoijua dunia katika uhalisia wake linakuwa jambo jema sana.

Dr Kimei na Abbas Tarimba ni miongoni mwa wabunge ambao siyo " Chumia Tumbo ( CT)" wanaweza kutuvusha huko mbeleni kama sintofahamu ya bando itaende!ea.

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mbona uzi wa Kimei kupigiwa Waziri wa fedha zimezidi sana au kuna Vijana wako kazini!!!!
 
Tatizo la kimei ni ukabila tu.

Akipewa wizara ya fedha pale wizarani hadi wafanya usafi watakua wachaga.

Angalia alichokifanya crdb, 80% ya employees ni wachaga.

Akipewa wizara ya fedha atajaza wachaga bank kuu, TRA, sijui taasisi gani itakua shida tupu.
 
Unajua dunia ya sasa inakwenda kasi sana ndio maana Tanzania japo tuna Bandari lakini wafanyabiashara wetu wanaenda kununua mzigo Uganda ambao unapita hapa hapa Dar es salaam.

Unapokuwa na viongozi wenye elimu ya kutosha ya vitabuni lakini wanaoijua dunia katika uhalisia wake linakuwa jambo jema sana.

Dr Kimei na Abbas Tarimba ni miongoni mwa wabunge ambao siyo " Chumia Tumbo ( CT)" wanaweza kutuvusha huko mbeleni kama sintofahamu ya bando itaende!ea.

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!

Tafuta Serikali yako kisha ukishakuwa Rais utawateua hawa Watu wako katika Dockets zako mbili tajwa.

Eti akina Kimei na Abbas siyo Wachumia Tumbo. Hivi unayajua ya nyuma ( mabaya ) ya hawa Watajwa wako?

Unafaa sana kuwa Rais wa Wanafiki TZ.
 
Back
Top Bottom