Combination ya Dr Kimei Waziri wa Fedha na Tarimba Abbas Waziri wa Viwanda na Biashara naikubali sana!

Combination ya Dr Kimei Waziri wa Fedha na Tarimba Abbas Waziri wa Viwanda na Biashara naikubali sana!

Hawa uliowataja hawana uwezo wa kuongoza Wizara ya Fedha na kupata maendeleo.

Huyu Kimei, mfano mdogo tu ambayo unamtoa kwenye sifa ya kupewa Wizara muhimu kama ya Fedha, alikubali vipi kwenda kufungua Tawi kubwa kama lile Wilaya ya Chato, mji una watu laki tano unakwenda kuweka uwekezaji mkubwa wa benki kama ule wakati mawakala tu walikuwa wanatosha kuwapa huduma.

Tarimba, ni mtu wa kati tu kazi yake kubwa kuendesha bahati nasibu na mambo ya kamali sasa umpe wizara ya fedha kwa vigezo kama?

Mkuu kuwa na maisha mazuri hayana uhusiano kufanya kazi vizuri.
 
Mhhhh. Mji wa Chato una watu laki tano ? Uko serious kweli ? Hiyo Data umeipata wapi ? Una maana ni wilaya ya Chato au mji wa Chato ? Maana hata wilaya ya Chato yenyewe haijafikisha watu laki tano. Tujifunze kufanya utafiti kabla ya kuandika.
Hawa uliowataja hawana uwezo wa kuongoza Wizara ya Fedha na kupata maendeleo.

Huyu Kimei, mfano mdogo tu ambayo unamtoa kwenye sifa ya kupewa Wizara muhimu kama ya Fedha, alikubali vipi kwenda kufungua Tawi kubwa kama lile Wilaya ya Chato, mji una watu laki tano unakwenda kuweka uwekezaji mkubwa wa benki kama ule wakati mawakala tu walikuwa wanatosha kuwapa huduma.

Tarimba, ni mtu wa kati tu kazi yake kubwa kuendesha bahati nasibu na mambo ya kamali sasa umpe wizara ya fedha kwa vigezo kama?

Mkuu kuwa na maisha mazuri hayana uhusiano kufanya kazi vizuri.
 
Hawa uliowataja hawana uwezo wa kuongoza Wizara ya Fedha na kupata maendeleo.

Huyu Kimei, mfano mdogo tu ambayo unamtoa kwenye sifa ya kupewa Wizara muhimu kama ya Fedha, alikubali vipi kwenda kufungua Tawi kubwa kama lile Wilaya ya Chato, mji una watu laki tano unakwenda kuweka uwekezaji mkubwa wa benki kama ule wakati mawakala tu walikuwa wanatosha kuwapa huduma.

Tarimba, ni mtu wa kati tu kazi yake kubwa kuendesha bahati nasibu na mambo ya kamali sasa umpe wizara ya fedha kwa vigezo kama?

Mkuu kuwa na maisha mazuri hayana uhusiano kufanya kazi vizuri.
Wewe ungekuwa Crdb ungekataa kufungua tawi Chato?
 
Unajua dunia ya sasa inakwenda kasi sana ndio maana Tanzania japo tuna Bandari lakini wafanyabiashara wetu wanaenda kununua mzigo Uganda ambao unapita hapa hapa Dar es salaam.

Unapokuwa na viongozi wenye elimu ya kutosha ya vitabuni lakini wanaoijua dunia katika uhalisia wake linakuwa jambo jema sana.

Dr Kimei na Abbas Tarimba ni miongoni mwa wabunge ambao siyo " Chumia Tumbo ( CT)" wanaweza kutuvusha huko mbeleni kama sintofahamu ya bando itaende!ea.

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Hata kama umetumwa, ongeza na zako !!!
Tarimba awe waziri ?? Phew
 
Tafuta Serikali yako kisha ukishakuwa Rais utawateua hawa Watu wako katika Dockets zako mbili tajwa.

Eti akina Kimei na Abbas siyo Wachumia Tumbo. Hivi unayajua ya nyuma ( mabaya ) ya hawa Watajwa wako?

Unafaa sana kuwa Rais wa Wanafiki TZ.
Bwashee huyo ni mataga mwenzio ujue
 
Mhhhh. Mji wa Chato una watu laki tano ? Uko serious kweli ? Hiyo Data umeipata wapi ? Una maana ni wilaya ya Chato au mji wa Chato ? Maana hata wilaya ya Chato yenyewe haijafikisha watu laki tano. Tujifunze kufanya utafiti kabla ya kuandika.
Nani kasema mji?? Wewe ambao upo serious tutajie Wilaya ya Chato ina watu wangapi tuanzie hapo.
 
Unajua dunia ya sasa inakwenda kasi sana ndio maana Tanzania japo tuna Bandari lakini wafanyabiashara wetu wanaenda kununua mzigo Uganda ambao unapita hapa hapa Dar es salaam.

Unapokuwa na viongozi wenye elimu ya kutosha ya vitabuni lakini wanaoijua dunia katika uhalisia wake linakuwa jambo jema sana.

Dr Kimei na Abbas Tarimba ni miongoni mwa wabunge ambao siyo " Chumia Tumbo ( CT)" wanaweza kutuvusha huko mbeleni kama sintofahamu ya bando itaende!ea.

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Haitakaa itokee
 
Tarimba na Kimei ni wachumbia tumbo na wasaka tonge kama walivyo wabunge wote wa JMT

Tarimba ni dalali mzoefu na huyu asisogee karibu na Wizara yoyote
 
Unajua dunia ya sasa inakwenda kasi sana ndio maana Tanzania japo tuna Bandari lakini wafanyabiashara wetu wanaenda kununua mzigo Uganda ambao unapita hapa hapa Dar es salaam.

Unapokuwa na viongozi wenye elimu ya kutosha ya vitabuni lakini wanaoijua dunia katika uhalisia wake linakuwa jambo jema sana.

Dr Kimei na Abbas Tarimba ni miongoni mwa wabunge ambao siyo " Chumia Tumbo ( CT)" wanaweza kutuvusha huko mbeleni kama sintofahamu ya bando itaende!ea.

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Well said
 
Kama crdb imejaa wachaga huyu ni mkabila na mbinafsi hatutaki upuuuzi huo kimei awe mbunge awakilishe ndugu zake inatosha
 
Back
Top Bottom