Combination ya Dr Kimei Waziri wa Fedha na Tarimba Abbas Waziri wa Viwanda na Biashara naikubali sana!

Mlimuharibia kazi kocha Kaze wa timu ya wananchi kwa kumpangia wachezaji,naye akawafuata ninyi mashabiki mlivyotaka,matokeo yake sare na kufungwa juu.

Sasa mnataka kuhamia kwa Rais mwenye mamlaka ya kikatiba kumpangia mawaziri ,

Mshindwe na mlegee.
Mungu ibariki Tanzania
 
Hamna kitu Bwasheee , Kimei alishindwa kutetea taaluma yake na kufuata mawazo ya MEKO na kupelekea kujenga CRDB chato ,Tarimba yeye ni dalali labda waanzishe wizara inayohusu udalali ndio apewe.
hahhahahahaha
 
Kimeii..?????? ptuuuuuuuuhhhhhh ptuuuuhh
 
Kwabahati mbaya nchi haijui hadi leo kwanini hatuendelei...ni kwa sababu ya kutowashirukisha lile kabila nguli wa uchumi kwenye uongozi wa nchi, bonge la mistake!
 
Kwabahati mbaya nchi haijui hadi leo kwanini hatuendelei...ni kwa sababu ya kutowashirukisha lile kabila nguli wa uchumi kwenye uongozi wa nchi, bonge la mistake!
Kabila la vifutu?
 
Upuuzi mtupu! Huyo Kimei alishindwa nini kuendelea kukaa CRDB hadi aje kwenye million 13 za kila mwez kwa kugonga meza na kusema ndio bila hata tija yoyote ?

Alishindwa nini kumshauri jiwe kutokana na sera mbovu za ukusanyaji kodi na ukwapuaji wa pesa za watu kwenye account bila utaratibu?

Alishindwa nini kumshauri jiwe kutojenga branch ya CRDB kubwa huko chato vijijini ambapo hakuna mtu mwenye akili timamu ataamini mzunguko wa pesa ni wa juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…