Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Kwa bongo nilikua napenda sana Ze comedy, yale maigizo yao. Bt since wamesambaratika hamna comedian ananifrahisha.
Bora uwe masikini wa fedha kuliko kuwa masikini wa kifikra huyo jamaa ana umasikini wa kifikra ndo maana anawaza mambo mabaya huyo Hana tofauti na wale ambao ukiwa tajili basi wewe Freemason au una uza madawa ya kulevya
Zilikua hazinivutii, kitendo cha mwanaume kuact kama mwanamke hua sifurahishwi nacho ila nlikua naangalia sababu kipindi ndo nishakipendaKwenye Ze Comedy, Joti na Wakuvanga walikuwa baadhi ya segments wanaigiza kama wanawake, ulikuwa unazikubali au unazikataa?
Zilikua hazinivutii, kitendo cha mwanaume kuact kama mwanamke hua sifurahishwi nacho ila nlikua naangalia sababu kipindi ndo nishakipenda
Hua napenda vipindi vya comedy kama kile kinaitwa Bamba live na baadhi ya comedian nikikutana na vichekesho vyao nacheka siku zinasonga ila kusema kua huyu ni my fav, sina kwakwel.Okay, nimekuelewa.
So, kwa hapa sasa hivi huna comedian unayependa kazi zake?
Kwa East Africa je?
Hua napenda vipindi vya comedy kama kile kinaitwa Bamba live na baadhi ya comedian nikikutana na vichekesho vyao nacheka siku zinasonga ila kusema kua huyu ni my fav, sina kwakwel.
Kwa Kenya nampenda sana Eric Omondi na yule anajiita Nicki bigfish, Ug namkubali Kansiime. Hao hua nawafatilia
Kenya kuna wa kuitwa Mamito kwenye churchil show, mfuatilie lazima utamkubali.Hua napenda vipindi vya comedy kama kile kinaitwa Bamba live na baadhi ya comedian nikikutana na vichekesho vyao nacheka siku zinasonga ila kusema kua huyu ni my fav, sina kwakwel.
Kwa Kenya nampenda sana Eric Omondi na yule anajiita Nicki bigfish, Ug namkubali Kansiime. Hao hua nawafatilia
Mpka wavae kama wanawake haoHuwa nawashangaa sana wasanii wa vichekesho aka comedy.
Wanapokuwa wakiigiza kama wanawake! Hivi huwa wanajisikiaje? Inaamaana hakuna wanawake wanaoweza kumudu uhusika katika scene hizo?
Wanavaa madira, na kuweka makalio bandia na kujichetua kikekike! Khaaaa!
Kama mwanaume nashauri mshike nafasi zenu, kwani kama kipaji kipo kipo tu, tutacheka!
Kumbuka kuchukua tahadhali uwe salama hadi hili janga la COVID-19 lipite na tubaki salama.
Mungu ibariki Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je vipi comedy ya Jambo na Vijambo?Hua napenda vipindi vya comedy kama kile kinaitwa Bamba live na baadhi ya comedian nikikutana na vichekesho vyao nacheka siku zinasonga ila kusema kua huyu ni my fav, sina kwakwel.
Kwa Kenya nampenda sana Eric Omondi na yule anajiita Nicki bigfish, Ug namkubali Kansiime. Hao hua nawafatilia
Yes directors wa maana na pia hao wasanii wawe wabunifu. Sio lazima wavae ovyo/kama wanawake ndio wakachekesha. They can do comedy hata wakiwa ndani ya suit na watu wakacheka wakamake moneyEric na Kansiime tuko pamoja.
Sasa hivi kwa Tanzania nafikiri hii industry bado iko kwenye changamoto sana.
Nafikiri tunahitaji kuwa na directors wa kueleweka ili kuinyanyua hii sekta.
Jambo na Vijambo mbona wapo vizuri Sana.Eric na Kansiime tuko pamoja.
Sasa hivi kwa Tanzania nafikiri hii industry bado iko kwenye changamoto sana.
Nafikiri tunahitaji kuwa na directors wa kueleweka ili kuinyanyua hii sekta.
Yes directors wa maana na pia hao wasanii wawe wabunifu. Sio lazima wavae ovyo/kama wanawake ndio wakachekesha. They can do comedy hata wakiwa ndani ya suit na watu wakacheka wakamake money
Eeh churchil show, my fav kipindi. Natamani wasanii wetu waige japo mfano kwa majirani zetu hapo.Kenya kuna wa kuitwa mamito kwenye churchil show, mfuatilie lazima utamkubali.
Na vichekesho vyake vinachekesha hasa.I am ver sure talents are there, muhimu ni kupata watu sahihi wa kuwapa mentorships na directives sahihi.
Huwa nikipata muda namwangalia Kevin Hart, sijawahi kumwona akivaa nguo za kike.
Tunaweza kufika juu.
Wana push forward agenda ya ushoga indirectlyHuwa nawashangaa sana wasanii wa vichekesho aka comedy.
Wanapokuwa wakiigiza kama wanawake! Hivi huwa wanajisikiaje? Inaamaana hakuna wanawake wanaoweza kumudu uhusika katika scene hizo?
Wanavaa madira, na kuweka makalio bandia na kujichetua kikekike! Khaaaa!
Kama mwanaume nashauri mshike nafasi zenu, kwani kama kipaji kipo kipo tu, tutacheka!
Kumbuka kuchukua tahadhali uwe salama hadi hili janga la COVID-19 lipite na tubaki salama.
Mungu ibariki Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo siikumbuki vzuri, walikua akina nan?Je vipi comedy ya Jambo na Vijambo?
Na vichekesho vyake vinachekesha hasa.
Vipaji vipo vingi na vizuri, tatzo bongo ndo hvyo madirector, wanaoandika script na waigizaji ndo haohao😂😂 sasa hapo unategemea nini