Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
nope idris anajitahid labda ww unafaa kuchekeshwa na jiweBongo angalau joti !!ila sijui pilipili na idrisa hata wao wenyewe hawezi kucheka kwa vichekesho vyao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa wapo vizuri Sana wafuatilia utajuta kabisa kipindi kilikuwa kinarushwa East Africa tv sasa hivi wanarusha Wasafi tv kila siku alhamisi saa 3 usiku au nenda YouTube ya wasafi media utakuta wameweka hasa kesho utaona waneweka teyari.Hyo siikumbuki vzuri, walikua akina nan?
Acha mawazo ya kipuuzi.Wana push forward agenda ya ushoga indirectly
Jambo na Vijambo wapo vizuri SanaTutafika tu, changamoto wanayokutana nayo wasanii wa category hiyo haitofautiani sana na bongo movie.
Bongo movie nlishaacha kuangalia, tatizo lile lile no ubunifu ile movie ikifika nusu unaweza kupredict mwisho itakuaje pia nying zinafanana maudhui/story...Tutafika tu, changamoto wanayokutana nayo wasanii wa category hiyo haitofautiani sana na bongo movie.
Kumbe ni current, basi ntawafatilia nione.Hawa jamaa wapo vizuri Sana wafuatilia utajuta kabisa kipindi kilikuwa kinarushwa East Africa tv sasa hivi wanarusha Wasafi tv kila siku alhamisi saa 3 usiku au nenda YouTube ya wasafi media utakuta wameweka hasa kesho utaona waneweka teyari.
Jambo na Vijambo wapo vizuri Sana
ni kweli..Huwa nawashangaa sana wasanii wa vichekesho aka comedy.
Wanapokuwa wakiigiza kama wanawake! Hivi huwa wanajisikiaje? Inaamaana hakuna wanawake wanaoweza kumudu uhusika katika scene hizo?
Wanavaa madira, na kuweka makalio bandia na kujichetua kikekike! Khaaaa!
Kama mwanaume nashauri mshike nafasi zenu, kwani kama kipaji kipo kipo tu, tutacheka!
Kumbuka kuchukua tahadhali uwe salama hadi hili janga la COVID-19 lipite na tubaki salama.
Mungu ibariki Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua ana hisa nini pale WCBπWewe kila kitu cha WCB, Wasafi na Diamond huwa lazima ukisifu.
Hawa wanajitahidi, na Bwakila na mjomba wake
Itakua ana hisa nini pale WCBπ
Hahahahaa mkuu umenchekesha sana, et kusifu na kuabudu ππYuko kwenye kitengo cha kusifu na kuabudu mitandaoni cha WCB.
Hahahahaa mkuu umenchekesha sana, et kusifu na kuabudu ππ
Hua namuona post zake nying zinahusu pale wasafini, hadi hua nahisi ni mmoja wa wafanyakazi wa pale. Kama sio basi ni shabiki wa damu kabisaIangalie hiyo ID, halafu jaribu kupitia posts zake ndo utaelewa nini ninachomaanisha.
Hua namuona post zake nying zinahusu pale wasafini, hadi hua nahisi ni mmoja wa wafanyakazi wa pale. Kama sio basi ni shabiki wa damu kabisa
Na hua anapambana hasa, humwambii kitu kuhusu wasafi. Kama anapata mkwanja kupitia hyo basi well and good, ila kama ni ushabiki tu daah basi ni hatariLazima kuna namna anavyofaidika na kuipamba WCB humu, maana huwa kuna baadhi ya vitu anapamba ambavyo kwa akili ya kawaida tu unaona huyu siyo.
Na hua anapambana hasa, humwambii kitu kuhusu wasafi. Kama anapata mkwanja kupitia hyo basi well and good, ila kama ni ushabiki tu daah basi ni hatari