Comedians mnafeli wapi?

Ulishawahi kumuona baba yako amevaa kama mwanamke?

Au baba yako atafurahi akikuona umevaa kama mwanamke?

Watu kama nyie kwenye Mada hizi huku ndo mnapokimbiliaga, mnaanza kuuliza vitu binafsi ili hapa nikikujibu "ndio" uanze kubwabwaja matusi. Hapa tunaongelea comedians baba kaingiaje?

Hivi Joti si anaigiza Uzee je akili zake ni za kizee? Kuna muda Dulivani anaigizaga kama mtoto mbona hamsemagi Ana akili za kitoto? Ila akiigiza kama mwanamke ndo anakuwa shoga. Yaaani mna double standards za ajabu Sana. Punguza wivu mkuu na uondoe Hiyo "Toxic Masculinity" attitude uliyokuwa nayo.
 
Kwani baba yake anafanya kazi za Sanaa? au hao wanaigiza Kama wanamke unazani hawana familia? Na unazani awajui kwamba mzee yupo kazini? Acha kuforce vitu ambavyo havipo au una access na huo ushoga maana unavyon'gan'gania unanishangaza Sana.

😂😂😂😂 Jamaa kakang'ania kweli
 
Unachokikataa kwako wenzio wanakikeshea....kuna watu ndo aina ya comedy wanapenda so usiangalie tu kwa upande wako
 
mtoto wako wa kiume akivaa kama mwanamke utakenua meno kuchekelea???
 
Ungekaa nalo moyoni mwako, huo ndio wivu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi ukimkuta mwanao wa kiume btn 4-10yrs anaigiza kama binti utajiakiaje? Sema kweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waambie jamaa wa aina ya mtoa mada wanakera ile mbaya kuigaza kwake Kama mwanamke wewe inakukera Nini Kama anapata ugali wa kill siku kupitia hiyo style we ninani mpaka umpangie.Neno ushoga limewakaa kichwani mpaka wanashindwa kufikiri.
Mkuu sijataja ushoga nadhani. Au ndio biashara yako? Maadili yanaharibika kutokana na mambo kama hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora uwe masikini wa fedha kuliko kuwa masikini wa kifikra huyo jamaa ana umasikini wa kifikra ndo maana anawaza mambo mabaya huyo Hana tofauti na wale ambao ukiwa tajili basi wewe Freemason au una uza madawa ya kulevya
Mkuu ikiwa utamkuta mwanao mdogo kati ya umri wa miaka 5-10 anajifanya mwanamke utajiskiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia performance zao, appearance zao on stage halafu chukua na akina dulivan wa bongo utaelewa kwanini wabongo wanachefua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…