Ulishawahi kumuona baba yako amevaa kama mwanamke?
Au baba yako atafurahi akikuona umevaa kama mwanamke?
Kwani baba yake anafanya kazi za Sanaa? au hao wanaigiza Kama wanamke unazani hawana familia? Na unazani awajui kwamba mzee yupo kazini? Acha kuforce vitu ambavyo havipo au una access na huo ushoga maana unavyon'gan'gania unanishangaza Sana.
mtoto wako wa kiume akivaa kama mwanamke utakenua meno kuchekelea???Watu kama nyie kwenye Mada hizi huku ndo mnapokimbiliaga, mnaanza kuuliza vitu binafsi ili hapa nikikujibu "ndio" uanze kubwabwaja matusi. Hapa tunaongelea comedians baba kaingiaje?
Hivi Joti si anaigiza Uzee je akili zake ni za kizee? Kuna muda Dulivani anaigizaga kama mtoto mbona hamsemagi Ana akili za kitoto? Ila akiigiza kama mwanamke ndo anakuwa shoga. Yaaani mna double standards za ajabu Sana. Punguza wivu mkuu na uondoe Hiyo "Toxic Masculinity" attitude uliyokuwa nayo.
sawa mkuu sikupangii kazi ya kufanya, endelea kuvaa kama mwanamke.Acha wivu na kazi za watu mbona wewe ujapangiwa kazi yakufanya
Ungekaa nalo moyoni mwako, huo ndio wivu tuWe jamaa hivi unajielewa?? Mimi nimejiongelea mimi hanichekeshi ndio maana siangalii tena comedy zake.
Sasa kama hanichekeshi mimi kwani dunia nzima wana interests kama zangu?? Kuna watu wanapenda pigo za kike kike kama WEWE inawezekana mko wengi..
Personal opinion yangu sio ya Taifa wala dunia na sijamshawishi mtu asiangalie .
Wanachefua sanaComedians wa bongo wamezidi kwa hili, nahisi ubunifu ni zero.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ona hili tikiti maji.. hapa tunaongelea mijengo au kuchekesha..
Kwa hizi akili sidhani kama form 4 ulimaliza
Duuu!Zikikuchefua yeye zinampunguzia nn huyo Comedian?, Huenda hata hakujui. Kila mtu ashinde mechi zake. Mjini hapa tusipangiane namna ya kutafuta hela.
Vipi ukimkuta mwanao wa kiume btn 4-10yrs anaigiza kama binti utajiakiaje? Sema kweli mkuuIla wabongo kwa kujifanyaga "watakatifu" huku mitandaoni. I know people like you mnaanzisha nyuzi kama hizi ili kutengeza image flani ya uanaume au "righteousness" na kupata "popular opinion" kutoka kwa public.
Yaaani mtu kaamua mwenyewe Kucheza km demu na siyo demu kweli in fact Unakuta Ana mke wake ameoa kabisa ila wewe inakuuma kweli yaaani. Sasa si Maisha yake wewe inakuuma Nini? [emoji23][emoji23] Kama ingekuwa haikuumi ungeignore tu usingekuja Kufungua Uzi hapa.
Calm down. Usijisahaulishe dhambi zako kwa matendo ya mtu Mwingine na nikukumbushe tu don't judge what you don't know.
Mkuu sijataja ushoga nadhani. Au ndio biashara yako? Maadili yanaharibika kutokana na mambo kama hayo.Waambie jamaa wa aina ya mtoa mada wanakera ile mbaya kuigaza kwake Kama mwanamke wewe inakukera Nini Kama anapata ugali wa kill siku kupitia hiyo style we ninani mpaka umpangie.Neno ushoga limewakaa kichwani mpaka wanashindwa kufikiri.
By the way no body knows me here, kwanini nitafute publicity? Au public support?Mkuu Hawa wanatafuta Public Support tu mkuu hawana lolote. Ni wivu na kujifanya wao ndo wanayajua Sana Maisha.
Mawazo ya ajabu ajabu Sana ndo yametawala kwenye Vichwa Vyao.
Asante sana mkuuUnaongelea fasihi ya form two kumbe mkuu, mi nikadhani unauelewa mkubwa kuhusu alichokiandika jamaa, sasa kama wote wakiigiza ukike inamaana kuwa fasihi unayoizungumzia wewe ina portray content za wanawake tu?
Au uniqueness ya msanii mmoja na mwingine ni IPI, au akina Charlie champilin na Mr Bean sio wanafasihi?
Mkuu ikiwa utamkuta mwanao mdogo kati ya umri wa miaka 5-10 anajifanya mwanamke utajiskiaje?Bora uwe masikini wa fedha kuliko kuwa masikini wa kifikra huyo jamaa ana umasikini wa kifikra ndo maana anawaza mambo mabaya huyo Hana tofauti na wale ambao ukiwa tajili basi wewe Freemason au una uza madawa ya kulevya
Angalia performance zao, appearance zao on stage halafu chukua na akina dulivan wa bongo utaelewa kwanini wabongo wanachefuaLabda za Wabongo useme hupendezwi na content zao, lakini sanaa na umuhimu wake kwa jamii unabaki palepale.
Nimekuwekea hao wachache kati ya wengi wanaofanya makubwa na sanaa zao, hapo kuna Tyler Perry, Eddy Murphy na Martin Lawrence.
View attachment 1428325