Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
Wabongo wanapenda picha, so wape picha. Ndio maana wanafunga safari kwenda kupiga picha Mlimani City na Quality Centre kisha wanarudi kwao Buguruni Mnyamani, Tandale Mtogole au Manzese kwa Mfuga Mbwa na ku-chilll tu wala hawawi-inspired! Business as usual. Na serikali inalijua hilo vizuri sana.
Tunataka vitu halisi na sio mapicha picha tuuuu.
Ni kweli. Hatuna imani tena na serekali, full stop! Which is very very bad!Ivi imekuwaje kila kitu mkiambiwa hamuamini yaani mumekosa imani na serikali yenu kiasi hicho
Ni mpango mzuri all the best for the planners and those in the project team to make it real
Nchi yetu imejaa wezi sana, naona sasa umezuka ufisadi wa aina mpya wa kutuchorea picha/city plans na kupiga hela za walipa kodi. Ukiuliza ni TZS ngap zimetumika katika kudevelop hiyo plan unaweza ukazimia. Kama kweli serikali imedhamiria kuendeleza nchi, kwanini isimalize plan ambayo tayari ipo???? Au kigamboni project imeshaisha???? Pia hiyo ni mbinu tu ya kutuibia lile eneo maana bila mapichapicha ya hivi pale hapaingiliki.
Kama nguvu ya kuendeleza eneo hilo ipo, pls tumalizieni kwanza Kigamboni project kisha tuamie Kawe. Hizi ni namna ya kutuibia hela kwa kujifanya wamelipa mabilioni kwa hao wanaodevelop hizo plan. Wiiiiizi mtupu. Hii serikali ilishajitoaga kwenye uwekezaji, kiherehere tena cha nn kwenye kugharamia maplan ya mabilion haya??? Wapelekeeni madawa na maendeleo bibi zangu vijijini.
Watu waliokuwa wamevamia au kuishi eneo la mradi wameanza kuvunjiwa!Naomba niwe wa mwisho kuamini kama hii project itafanikiwa nukta
Naambiwa eneo lenyewe limeanza kusafishwa tangu Agosti 10. Bado unaamini ni ndoto?Naomba niwe wa mwisho kuamini kama hii project itafanikiwa nukta