Commander mkuu wa Hezbollah kikosi Cha drone auawa

Commander mkuu wa Hezbollah kikosi Cha drone auawa

Wakati huo huo Yahya Sinwar na Hamas yake.
Screenshot_2024-09-25-10-18-50-850_com.mi.globalbrowser-edit.jpg
Wanajisemea kwani kuna aliewalazimisha kujumuika?
 
Wajuzi mtusaidie. Hezbollah kwa nini amenunua ugomvi wa Israel na Hamas ? Ana maslahi gani na kumsaidia Hamas ?
Hamas, Hezbollah, Iran na makundi mengine hapo Syria, Iraq na Yemen wanatengeneza kitu kinaitwa Axis of Evil.

Mkakati wa Iran ni kuwapa silaha na mafunzo maadui wote wa Israel ili ikifikia hatua Israel inapigana na Iran basi makundi mengine yaisaidie Iran. Lengo ni Israel awe na fronts nyingi, mpaka wa Kusini anapigana na huyu, mpaka wa Kaskazini huyu, reserve yote iitwe na wanajeshi wazidiwe majukumu.
Hayo makundi yananunua ugomvi wa Israel na Iran yakimtegemea boss wao Iran atawatetea wakipigwa. Iran naye anawategea anawatumia kwa mahesabu.

Serikali ya Bashar al Assad wa Syria nayo ilisaidiwa mno na Hezbollah kwenye kupigana na waasi na kundi la ISIS. Lengo ni kwa kuwa Syria ni adui wa Israel hivyo muda muafaka naye angeisaidia Hezbollah. Badala yake mataifa haya yanaogopa yameufyata.

Hamas imeanza mbwembwe zikiwa nyingi (haikuwashirikisha wenzie ili shambulizi liwe la siri). Na kwa sasa nimeelewa approach ya Hamas ilikuwa sahihi, wao wana usiri kwao kuliko Hezbollah ilivyokuwa infiltrated na Israel intelligency. Usiri wa Hamas ukafanya waanze vizuri mwanzoni, baadae walitakiwa waingie Hezbollah na Iran ila sasa kila siku wakawa wanasema onyo la mwisho Israel ikiingia Gaza, Israel inaingia. Onyo la mwisho ikiingia kambi fulani, inaingia. Onyo la mwisho kufika Khan Younis, Israel inafika. Mpaka Hamas imechakaa bila washirika kuingilia kusaidia.

Sasa Hezbollah inashambuliwa Hamas hawana nguvu tena. Iran ndio anatakiwa aingie ila hesabu za Rais mpya zinakataa, aliyekuwepo angalau angefanya kitu ila ndio alikufa kwa "helikopta kuanguka kwenye ukungu".
 
Mazayuni yamekaa kwenye dashboard yalishafanya analysisi ya kutosha ya movements za Hizbullah.Yanaamua tu yupi ana madhara akaangwe!
Wamesogeza jeshi la ardhini mpakani na lebanon,ngoja tushuhudie timbwili
 
Hamas, Hezbollah, Iran na makundi mengine hapo Syria, Iraq na Yemen wanatengeneza kitu kinaitwa Axis of Evil.

Mkakati wa Iran ni kuwapa silaha na mafunzo maadui wote wa Israel ili ikifikia hatua Israel inapigana na Iran basi makundi mengine yaisaidie Iran. Lengo ni Israel awe na fronts nyingi, mpaka wa Kusini anapigana na huyu, mpaka wa Kaskazini huyu, reserve yote iitwe na wanajeshi wazidiwe majukumu.
Hayo makundi yananunua ugomvi wa Israel na Iran yakimtegemea boss wao Iran atawatetea wakipigwa. Iran naye anawategea anawatumia kwa mahesabu.

Serikali ya Bashar al Assad wa Syria nayo ilisaidiwa mno na Hezbollah kwenye kupigana na waasi na kundi la ISIS. Lengo ni kwa kuwa Syria ni adui wa Israel hivyo muda muafaka naye angeisaidia Hezbollah. Badala yake mataifa haya yanaogopa yameufyata.

Hamas imeanza mbwembwe zikiwa nyingi (haikuwashirikisha wenzie ili shambulizi liwe la siri). Na kwa sasa nimeelewa approach ya Hamas ilikuwa sahihi, wao wana usiri kwao kuliko Hezbollah ilivyokuwa infiltrated na Israel intelligency. Usiri wa Hamas ukafanya waanze vizuri mwanzoni, baadae walitakiwa waingie Hezbollah na Iran ila sasa kila siku wakawa wanasema onyo la mwisho Israel ikiingia Gaza, Israel inaingia. Onyo la mwisho ikiingia kambi fulani, inaingia. Onyo la mwisho kufika Khan Younis, Israel inafika. Mpaka Hamas imechakaa bila washirika kuingilia kusaidia.

Sasa Hezbollah inashambuliwa Hamas hawana nguvu tena. Iran ndio anatakiwa aingie ila hesabu za Rais mpya zinakataa, aliyekuwepo angalau angefanya kitu ila ndio alikufa kwa "helikopta kuanguka kwenye ukungu".
Kwa nchi ya iran anayeamua waingie kwenye vita au wasiingie ni ayatollah na sio rais wa Iran
 
Hamas, Hezbollah, Iran na makundi mengine hapo Syria, Iraq na Yemen wanatengeneza kitu kinaitwa Axis of Evil.

Mkakati wa Iran ni kuwapa silaha na mafunzo maadui wote wa Israel ili ikifikia hatua Israel inapigana na Iran basi makundi mengine yaisaidie Iran. Lengo ni Israel awe na fronts nyingi, mpaka wa Kusini anapigana na huyu, mpaka wa Kaskazini huyu, reserve yote iitwe na wanajeshi wazidiwe majukumu.
Hayo makundi yananunua ugomvi wa Israel na Iran yakimtegemea boss wao Iran atawatetea wakipigwa. Iran naye anawategea anawatumia kwa mahesabu.

Serikali ya Bashar al Assad wa Syria nayo ilisaidiwa mno na Hezbollah kwenye kupigana na waasi na kundi la ISIS. Lengo ni kwa kuwa Syria ni adui wa Israel hivyo muda muafaka naye angeisaidia Hezbollah. Badala yake mataifa haya yanaogopa yameufyata.

Hamas imeanza mbwembwe zikiwa nyingi (haikuwashirikisha wenzie ili shambulizi liwe la siri). Na kwa sasa nimeelewa approach ya Hamas ilikuwa sahihi, wao wana usiri kwao kuliko Hezbollah ilivyokuwa infiltrated na Israel intelligency. Usiri wa Hamas ukafanya waanze vizuri mwanzoni, baadae walitakiwa waingie Hezbollah na Iran ila sasa kila siku wakawa wanasema onyo la mwisho Israel ikiingia Gaza, Israel inaingia. Onyo la mwisho ikiingia kambi fulani, inaingia. Onyo la mwisho kufika Khan Younis, Israel inafika. Mpaka Hamas imechakaa bila washirika kuingilia kusaidia.

Sasa Hezbollah inashambuliwa Hamas hawana nguvu tena. Iran ndio anatakiwa aingie ila hesabu za Rais mpya zinakataa, aliyekuwepo angalau angefanya kitu ila ndio alikufa kwa "helikopta kuanguka kwenye ukungu".
Axis of evil au
Ulipendelea wawaue akina nani?
Wanajeshi laki moja wa hizbullah
 
Kwa nchi ya iran anayeamua waingie kwenye vita au wasiingie ni ayatollah na sio rais wa Iran
Rais wa Iran anamshawishi Ayatollah. Mwenendo mzima wa msimamo wa kimataifa unaongozwa na Rais na Waziri wake wa Mambo ya Nje. Ayatollah ni kama Mfalme wa Uingereza anayetoa declaration of war ila haongozi vita bali inaongozwa na Waziri Mkuu.

Ayatollah anaambiwa kitu, anashauriwa na wataalam hatua za kuchukua kisha anaridhia. Iran inatazamwa kimataifa kutokana na Marais, Ahmadnejad alikuwa mkali na mkorofi, Rouhani akaja na mtazamo mwingine. Ayatollah yuleyule
 
Mazayuni yamekaa kwenye dashboard yalishafanya analysisi ya kutosha ya movements za Hizbullah.Yanaamua tu yupi ana madhara akaangwe!
Unamuua mtu ambaye tayari keshamaliza kazi!?
Huyu aliyeuawa wapo kama mia huko Yemeni wenye uwezo kama yeye.
Kama ingekua kuua makamanda kuna impact kubwa hadi sasa hao waarabu wangeshasalimu amri.
 
Back
Top Bottom