Commander mkuu wa Hezbollah kikosi Cha drone auawa

Commander mkuu wa Hezbollah kikosi Cha drone auawa

Sasa Hezbollah inashambuliwa Hamas hawana nguvu tena. Iran ndio anatakiwa aingie ila hesabu za Rais mpya zinakataa, aliyekuwepo angalau angefanya kitu ila ndio alikufa kwa "helikopta kuanguka kwenye ukungu"
Bro Kuna taarifa niliona juzi inasema Hezbollah wameomba Iran iishambulie Israel ila Iran ijajibu mpk sasa, wapo kimya.

Inawezekana walishamjua rais wa Iran yule kuwa anamaamuzi magumu nafikili waliamua kumuwahi mapema kwenye helicopter ya USA.
 
Unamuua mtu ambaye tayari keshamaliza kazi!?
Huyu aliyeuawa wapo kama mia huko Yemeni wenye uwezo kama yeye.
Kama ingekua kuua makamanda kuna impact kubwa hadi sasa hao waarabu wangeshasalimu amri.
Haya sio mapenzi, haya ni mahaba. Yaani vita inaendelea mwanajeshi ameshamaliza kazi hata akiuwawa sawa tu?

Muda huu familia yake inaombeleza wewe nyuma ya keyboard unaona poa tu.
 
Unamuua mtu ambaye tayari keshamaliza kazi!?
Huyu aliyeuawa wapo kama mia huko Yemeni wenye uwezo kama yeye.
Kama ingekua kuua makamanda kuna impact kubwa hadi sasa hao waarabu wangeshasalimu amri.
Ee ee haa kumbe wapo wengi, washughulikiwe haraka iwezekanavyo.
 
Haya sio mapenzi, haya ni mahaba. Yaani vita inaendelea mwanajeshi ameshamaliza kazi hata akiuwawa sawa tu?

Muda huu familia yake inaombeleza wewe nyuma ya keyboard unaona poa tu.
Mbona unaongea out of context bro!??
Embu rudi katika mada husika.
Kwani mimi nimesema ni sawa askari kufa!??
Tunachoongelea hapa ni impact ya kumdhoofisha Hizbollah kwa kuua makamanda wake.
 
Unamuua mtu ambaye tayari keshamaliza kazi!?
Huyu aliyeuawa wapo kama mia huko Yemeni wenye uwezo kama yeye.
Kama ingekua kuua makamanda kuna impact kubwa hadi sasa hao waarabu wangeshasalimu amri.
Hao hawamuwezi Israel ndio maana anaua makamanda wakubwa kirahisi rahisi Kila siku mzee hamna kitu hao magaidi hawawezi vita na huyo myahudi haiwezekani Kila siku makamanda wa kubwa ndio watangulizwe akhera tu hapo hamna kitu Israel ni mbabe wao
 
Anaitwa Mohammed hussain srur, chief commander wa drone wa Hezbollah.
Kauwawa na jeshi la anga la Israel.


View: https://youtu.be/NLnHLkpYehk?si=IK1JJeqw15j168Px




View: https://youtu.be/eoHMlraouQ0?si=izqhjMv6KF2h5drt

Wapi kina rits malaria webabu na kobaz wengine
 
Hao hawamuwezi Israel ndio maana anaua makamanda wakubwa kirahisi rahisi Kila siku mzee hamna kitu hao magaidi hawawezi vita na huyo myahudi haiwezekani Kila siku makamanda wa kubwa ndio watangulizwe akhera tu hapo hamna kitu Israel ni mbabe wao
Hawataki kuua raia wengi wasio nahatia kama magaidi wanavyoua
 
Dah sisi wapinga Israel tunapitia wakati mgumu sana

1000012671.jpg
 
Hamas, Hezbollah, Iran na makundi mengine hapo Syria, Iraq na Yemen wanatengeneza kitu kinaitwa Axis of Evil.

Mkakati wa Iran ni kuwapa silaha na mafunzo maadui wote wa Israel ili ikifikia hatua Israel inapigana na Iran basi makundi mengine yaisaidie Iran. Lengo ni Israel awe na fronts nyingi, mpaka wa Kusini anapigana na huyu, mpaka wa Kaskazini huyu, reserve yote iitwe na wanajeshi wazidiwe majukumu.
Hayo makundi yananunua ugomvi wa Israel na Iran yakimtegemea boss wao Iran atawatetea wakipigwa. Iran naye anawategea anawatumia kwa mahesabu.

Serikali ya Bashar al Assad wa Syria nayo ilisaidiwa mno na Hezbollah kwenye kupigana na waasi na kundi la ISIS. Lengo ni kwa kuwa Syria ni adui wa Israel hivyo muda muafaka naye angeisaidia Hezbollah. Badala yake mataifa haya yanaogopa yameufyata.

Hamas imeanza mbwembwe zikiwa nyingi (haikuwashirikisha wenzie ili shambulizi liwe la siri). Na kwa sasa nimeelewa approach ya Hamas ilikuwa sahihi, wao wana usiri kwao kuliko Hezbollah ilivyokuwa infiltrated na Israel intelligency. Usiri wa Hamas ukafanya waanze vizuri mwanzoni, baadae walitakiwa waingie Hezbollah na Iran ila sasa kila siku wakawa wanasema onyo la mwisho Israel ikiingia Gaza, Israel inaingia. Onyo la mwisho ikiingia kambi fulani, inaingia. Onyo la mwisho kufika Khan Younis, Israel inafika. Mpaka Hamas imechakaa bila washirika kuingilia kusaidia.

Sasa Hezbollah inashambuliwa Hamas hawana nguvu tena. Iran ndio anatakiwa aingie ila hesabu za Rais mpya zinakataa, aliyekuwepo angalau angefanya kitu ila ndio alikufa kwa "helikopta kuanguka kwenye ukungu".
Iran joka la kibisa
 
Anaitwa Mohammed hussain srur, chief commander wa drone wa Hezbollah.
Kauwawa na jeshi la anga la Israel.


View: https://youtu.be/NLnHLkpYehk?si=IK1JJeqw15j168Px



[URL unfurl="true" media="youtube:eoHMl


View: https://m.youtube.com/watch?v=T-SKgD3SJ48
 
Hezbollah ni chama cha waislam wa Shia wenye siasa kali, wanashirikiana na magaidi wenzao Hamas kumtoa Israel kwenye kile wanachoamini ni ardhi takatifu.
Ni maslahi ya kiimani zaidi
Hilo ni kosa kubwa sana wanalofanya Hizbollah, hiyo ni nchi yao ya ahadi waliyopewa na Mungu, umtoe aende wapi? wajiandae ni mwendo wa kichapo tu.
 
Back
Top Bottom