Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Israel Apoe sasa jamani maana atawamaliza aseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wanaouwawa ni machinga?Axis of evil au
Wanajeshi laki moja wa hizbullah
Watu 800 waliuawa, hizbullah hawazidi 30Kwani wanaouwawa ni machinga?
Hiyo mbinu ni kali sana maana inaua morali ya wapiganaji ....ukiwa unakula vichwa vya viongozi hawa wenye ulinzi mkali hawa chawa wanaingia mitini wanajua km kiongozi kaliwa kichwa fasta... mm mwajuma ndala ndefu si nitapakwa mafuta na P diddy 🤣🤣🤣🤣analamba lapa chap...Huwezi shinda vita kwa kuua generals
Ngoja tuoneHiyo mbinu ni kali sana maana inaua morali ya wapiganaji ....ukiwa unakula vichwa vya viongozi hawa wenye ulinzi mkali hawa chawa wanaingia mitini wanajua km kiongozi kaliwa kichwa fasta... mm mwajuma ndala ndefu si nitapakwa mafuta na P diddy 🤣🤣🤣🤣analamba lapa chap...
Kiuhalisia, ni Iran iliyo vitani dhidi ya Israeli nyuma ya pazia. Hezbollah, Hamas, Houthis na vikundi vingine vya kimgambo nchini Syria na Iraq hutumiwa tu na Iran kupambana na Israeli. Fedha, silaha na mafunzo yote ya mapambano hufadhiliwa na kusimamiwa na Ayatollah Khamenei.Wajuzi mtusaidie. Hezbollah kwa nini amenunua ugomvi wa Israel na Hamas ? Ana maslahi gani na kumsaidia Hamas ?