Record Man
JF-Expert Member
- May 25, 2023
- 525
- 876
- Thread starter
-
- #41
Bro Kuna taarifa niliona juzi inasema Hezbollah wameomba Iran iishambulie Israel ila Iran ijajibu mpk sasa, wapo kimya.Sasa Hezbollah inashambuliwa Hamas hawana nguvu tena. Iran ndio anatakiwa aingie ila hesabu za Rais mpya zinakataa, aliyekuwepo angalau angefanya kitu ila ndio alikufa kwa "helikopta kuanguka kwenye ukungu"
Haya sio mapenzi, haya ni mahaba. Yaani vita inaendelea mwanajeshi ameshamaliza kazi hata akiuwawa sawa tu?Unamuua mtu ambaye tayari keshamaliza kazi!?
Huyu aliyeuawa wapo kama mia huko Yemeni wenye uwezo kama yeye.
Kama ingekua kuua makamanda kuna impact kubwa hadi sasa hao waarabu wangeshasalimu amri.
Wote ni Watoto wa MnyaziMungu.Wajuzi mtusaidie. Hezbollah kwa nini amenunua ugomvi wa Israel na Hamas ? Ana maslahi gani na kumsaidia Hamas ?
Ee ee haa kumbe wapo wengi, washughulikiwe haraka iwezekanavyo.Unamuua mtu ambaye tayari keshamaliza kazi!?
Huyu aliyeuawa wapo kama mia huko Yemeni wenye uwezo kama yeye.
Kama ingekua kuua makamanda kuna impact kubwa hadi sasa hao waarabu wangeshasalimu amri.
Hizbullah wanapigania haki gani iliyo yao?Bora hao wanakufa wakipigania haki yao juzi kuna jamaa kajinyonga kisa kachapiwa.
Hezbollah ni chama cha waislam wa Shia wenye siasa kali, wanashirikiana na magaidi wenzao Hamas kumtoa Israel kwenye kile wanachoamini ni ardhi takatifu.Wajuzi mtusaidie. Hezbollah kwa nini amenunua ugomvi wa Israel na Hamas ? Ana maslahi gani na kumsaidia Hamas ?
Wana mikakati ya kulikomboa eneo la shebaa farm linaloshikiliwa na Israel kinyamela.Hizbullah wanapigania haki gani iliyo yao?
Mbona unaongea out of context bro!??Haya sio mapenzi, haya ni mahaba. Yaani vita inaendelea mwanajeshi ameshamaliza kazi hata akiuwawa sawa tu?
Muda huu familia yake inaombeleza wewe nyuma ya keyboard unaona poa tu.
Hao hawamuwezi Israel ndio maana anaua makamanda wakubwa kirahisi rahisi Kila siku mzee hamna kitu hao magaidi hawawezi vita na huyo myahudi haiwezekani Kila siku makamanda wa kubwa ndio watangulizwe akhera tu hapo hamna kitu Israel ni mbabe waoUnamuua mtu ambaye tayari keshamaliza kazi!?
Huyu aliyeuawa wapo kama mia huko Yemeni wenye uwezo kama yeye.
Kama ingekua kuua makamanda kuna impact kubwa hadi sasa hao waarabu wangeshasalimu amri.
Wapi kina rits malaria webabu na kobaz wengineAnaitwa Mohammed hussain srur, chief commander wa drone wa Hezbollah.
Kauwawa na jeshi la anga la Israel.
View: https://youtu.be/NLnHLkpYehk?si=IK1JJeqw15j168Px
Israel yafanya mashambulizi mapya nchini Lebanon – DW – 27.09.2024
Serikali ya Israel imetupilia mbali pendekezo la kusitisha mapigano kwa siku 21 nchini Lebanon, na kuahidi kuendelea kupambana na wanamgambo wa Hezbollah hadi watakapopata ushindi kamili.www.dw.com
View: https://youtu.be/eoHMlraouQ0?si=izqhjMv6KF2h5drt
Hawataki kuua raia wengi wasio nahatia kama magaidi wanavyouaHao hawamuwezi Israel ndio maana anaua makamanda wakubwa kirahisi rahisi Kila siku mzee hamna kitu hao magaidi hawawezi vita na huyo myahudi haiwezekani Kila siku makamanda wa kubwa ndio watangulizwe akhera tu hapo hamna kitu Israel ni mbabe wao
Iran joka la kibisaHamas, Hezbollah, Iran na makundi mengine hapo Syria, Iraq na Yemen wanatengeneza kitu kinaitwa Axis of Evil.
Mkakati wa Iran ni kuwapa silaha na mafunzo maadui wote wa Israel ili ikifikia hatua Israel inapigana na Iran basi makundi mengine yaisaidie Iran. Lengo ni Israel awe na fronts nyingi, mpaka wa Kusini anapigana na huyu, mpaka wa Kaskazini huyu, reserve yote iitwe na wanajeshi wazidiwe majukumu.
Hayo makundi yananunua ugomvi wa Israel na Iran yakimtegemea boss wao Iran atawatetea wakipigwa. Iran naye anawategea anawatumia kwa mahesabu.
Serikali ya Bashar al Assad wa Syria nayo ilisaidiwa mno na Hezbollah kwenye kupigana na waasi na kundi la ISIS. Lengo ni kwa kuwa Syria ni adui wa Israel hivyo muda muafaka naye angeisaidia Hezbollah. Badala yake mataifa haya yanaogopa yameufyata.
Hamas imeanza mbwembwe zikiwa nyingi (haikuwashirikisha wenzie ili shambulizi liwe la siri). Na kwa sasa nimeelewa approach ya Hamas ilikuwa sahihi, wao wana usiri kwao kuliko Hezbollah ilivyokuwa infiltrated na Israel intelligency. Usiri wa Hamas ukafanya waanze vizuri mwanzoni, baadae walitakiwa waingie Hezbollah na Iran ila sasa kila siku wakawa wanasema onyo la mwisho Israel ikiingia Gaza, Israel inaingia. Onyo la mwisho ikiingia kambi fulani, inaingia. Onyo la mwisho kufika Khan Younis, Israel inafika. Mpaka Hamas imechakaa bila washirika kuingilia kusaidia.
Sasa Hezbollah inashambuliwa Hamas hawana nguvu tena. Iran ndio anatakiwa aingie ila hesabu za Rais mpya zinakataa, aliyekuwepo angalau angefanya kitu ila ndio alikufa kwa "helikopta kuanguka kwenye ukungu".
Joka la kibisa nilimsikia Cypriani musiba.Iran joka la kibisa
Anaitwa Mohammed hussain srur, chief commander wa drone wa Hezbollah.
Kauwawa na jeshi la anga la Israel.
View: https://youtu.be/NLnHLkpYehk?si=IK1JJeqw15j168Px
Israel yafanya mashambulizi mapya nchini Lebanon – DW – 27.09.2024
Serikali ya Israel imetupilia mbali pendekezo la kusitisha mapigano kwa siku 21 nchini Lebanon, na kuahidi kuendelea kupambana na wanamgambo wa Hezbollah hadi watakapopata ushindi kamili.www.dw.com
[URL unfurl="true" media="youtube:eoHMl
Hilo ni kosa kubwa sana wanalofanya Hizbollah, hiyo ni nchi yao ya ahadi waliyopewa na Mungu, umtoe aende wapi? wajiandae ni mwendo wa kichapo tu.Hezbollah ni chama cha waislam wa Shia wenye siasa kali, wanashirikiana na magaidi wenzao Hamas kumtoa Israel kwenye kile wanachoamini ni ardhi takatifu.
Ni maslahi ya kiimani zaidi
Jamani haya mambo mbkna yapo mtandaoni someni,hakuna mtu chizi anaweza pigana na mtu bila sababu.Hizbullah wanapigania haki gani iliyo yao?