Community airline owner ni huyo mhe diallo,,huyu jamaa chizi hana lolote zaidi ya kuwa ana ex-prerience kwenye airline inasemekana ndie aliekuwa manager wa atc kule south africa wakamtimua baada ya kukuta amefungua acc yake binafsi anaingiza pesa za mauzo za atc then letter anapeleka kwenye acc,,ni mtoto wa mjini na pengine huyu mhe amwangalie sana ,,anapenda sana shortcurt ,,asije kumliza kaka wawatu kamake akaamua kukodisha kandege chake,,,
2)Swala la huduma ni kweli kuna wagiriki wamo mule ndani,,ukilease ndege sehemu yoyote unaitaji kuwa na macrew wenye rate licence za kuruka kama b737-200/800,,kwakuwa hii ni kampuni mpya na hapa walipata licence ya 200,inabidi waruke kwa kumix,,means lazima wawepo wenye rate ya 732/800,,ndio ndege inaruhusiwa kuruka,,
kwa hiyo hapa ninavyongea vijana wengi hawakuwahi kufanya kwenye ndege hivyo wanaitaji kupata experience then waweze kuendeklea kufanya ruccurent ya 800,,
HUDUMA BORA
Hili sio siri huyu bwana inabidi awe makini sana sana hasa hapo mwanza kuna watu experince naona wanajitahidi ila kuna ndugu wengi not proffessional,,labda kuwafukuza ni dhambi tunaomba awasaidie hata kuwapiga vijikoz vya airline na cut servc wapate viaidia kidogo hata jinsi ya kujibu watu
II))Kuhusu huduma mue ndani labda kwa kuwaweka sawa hata hiyo kupewa hizo juice na bites ni kumshukuru mungu,,kwa waliosafiri nje kuna kitu kinaitwa "CHEAP AIRLINES"hizi ni esp kwa ajili ya wanyonge....
Ticket ni verycheap ukiingia unakwenda kukkaa kwenye kiti chako ukitaka kitu unaita mfanyakazi ndani anakuja unapewa price list na menu iliopo unaambiwa unaitaji ya sh ngapi,,=unanunua kama ukimiingia na maji kama mimi una biscuit zako haa raha mstarehe,,mfano botswana kuna airline inaitwa wtalaona,,na south africa KALULU AIRLINE,,kwanza wafanyakazi wa community wanapendeza kidogo,,hao wa kalulu wanakula shat na jinsi na kofia,,,
iii))Namshauri vyakula anavyonunua dar awe muangalifu kunawakati majuzi wamekula watu toka dar kwenda mwanza uko ndani watu wamearisha sana na haijapita hata wiki,,,hivyo awe nayo makini sana kwa hili
IV))Mheshimiwa diallo wambie viongozi wako waache kuwanyanyasa mademu zetu kwa kuwalazimisha mapenzi kisa wameshika mpini,,chizi unalifahamu hili wanagpi wameliwa na wanazidi kugwana kama njugu,,ile ni mili ya binadamu jamani hata kama wanashida msiwanyanyase kwa hivyo,,,akikupa no p,,kulazimisha noma tutakapasua kagari chako kwa style hii
nawatkia mafanikio mema na all the best jitahdini kuweka vyakula bomba