Naona unabwabwaja bila ya uelewa.
Mimi ni Mtangayika tena wa ukweli kabisa, nilizaliwa Tanganyika mara nikastukia nimebadilishwa Uraia naitwa Mtanzania (jina alilotoa Mhindi wa Tanga).
Nikiuliza Tanganyika yangu iko wapi? naambiwa Nyerere ndiyo aliiuwa Tanganyika.
Tume ya Warioba walikusanya maoni ya wananchi, wakafanya uchambuzi, wakafanya utafiti, wakarefer historia ndio wakaja na hiyo rasimu,Warioba hakutoa hotuba, Warioba amewasilisha rasimu ya katiba ya tume aliyoiongoza.
Kikwete ametoa hotuba murua kabisa na ni hotuba ya karne.
Warioba hakutoa hotuba, Warioba amewasilisha rasimu ya katiba ya tume aliyoiongoza.
Kikwete ametoa hotuba murua kabisa na ni hotuba ya karne.
Wanabodi,
Naona mpaka sasa hizi hotuba mbili, zimeleta changamoto ya aina yake kwenye mjadala wa katiba mpya!.
Naomba kuwauliza wale wenye uwezo wa "to read in between the lines", kwa ku compare and contrast hizi hotuba mbili, ya Jaji Warioba akiwasilisha rasimu, na ya Rais Jakaya Kikwete akilizindua Bunge hilo Maalum, ipi ndio hatuba ya maana zaidi?!. Jaji Warioba kawasilisha rasimu ya serikali 3, Rais Kikwete akaiponda hiyo rasimu na kuweka mwelekeo wa serikali mbili!.
Jaji Warioba ametoa sababu za kufikia serikali tatu, jee sababu hizo ni credible?, ni justified?, zinatekelezeka?!.
Rais JK hakuzipangua, bali ametoa angalizo jinsi zisivyotekelezeka!. Jee kati wawili hawa, nani ni mtu credible wa kumuaminia, isije ikawa ni blah blah tuu?!.
Is Jaji Warioba credible?, is he the man of integrity?, ushauri wake wa serikali tatu kuwa utapunguza keri za muungano unaweza kuwa ni kweli?!, au nao ni blah blah za kisiasa?!.
Rais wetu Kipenzi, Mhe. Dokta (msomi wa Ph.D), Jakaya Mrisho Kikwete, is he credible?!, is he the man of integrity?!
Hilo pendekezo lake la kuendelea na serikali mbili kuwa licha ya kushindwa kutatua kero za muungano kwa miaka 50!, tukiendelea na serikali mbili, sasa ndio tutazitatua hizo kero inaweza kuwa kweli au ni blah blah tuu?!.
Pasco
Mbaya zaidi, katumia takwimu za tume kupinga matokeo yaliyowasilishwa bila ya kujua kwa kufanya hivyo, mathematics of probability zimembeba warioba; unampinga mtu kwa kuja na alternative approach ambayo iliyo scientific;
Hotuba ya Warioba haikuwa na mipasho, kebehi wala rusha roho. Aliongea ukweli mtupu
Samahani ningependa kujua msimamo wako ni upi kati ya serikali mbili, tatu na moja. Mwanzo umesema Kikwete alitoa hotuba murua ukilinganisha na Warioba ila hapa ni kama hukubaliani na walioipoteza Tanganyika.Kama upo upande wa Kikwete, Je unadhani Tanganyika inaweza kurudi katika mfumo wa serikali mbili?
Hotuba ya Warioba haikuwa na mipasho, kebehi wala rusha roho. Aliongea ukweli mtupu