Compare & Contrast: Hotuba ya Jaji Warioba v/s Rais Kikwete!

Shujaa wa karne (warioba) v/s dhaifu jei kei?
Hapana pasco kajipange!
 
Kwa wenye kujua kuwa Mapinduzi ya Znz yalifanywa na Wazaramo, Wandengereko, Wamanyema wakishirikiana na ndugu zao wa unguja sina shaka kuwa wataungana nami nikisema WAPEMBA hawakuwahi kushiriki katika mapinduzi bali walitaarifiwa tu kuwa sasa sultan kashatimuliwa !!! ZNZ ni Sehemu ya Tanganyika! Waasisi wanatambua ukweli huu lakini wengi wako kimya hawataki kuwaambia ukweli wananchi kuwa chokochoko zote za kutaka kututenganisha chanzo chake ni wapemba wachache wasiojua chochote kuhusiana na historia ya nchi hii... the so called muafaka ndo chanzo cha matatizo yote haya....Mimi nasimama upande wa JK kuwa ZNZ ni sehemu ya Tanganyika serikali mbili zinatosha kwa sasa kuelekea serikali moja!!!
 
Presidente Kikwete es un cráneo de cabeza hueca que nunca han logrado que no sea hacer turismo por la world.You cualquier cosa que no se puede comparar no hacer nada Kikwete con una inteligente, patriota y Warioba.Kikwete trabajador es un traje vacío.
 
Ya Warioba ni maoni yetu wananchi,ya kikwete ni yake na mkewe.Hivyo wengi wape

Hapo ndipo unapokosea. Na ya Nyerere pia, na ya Pengo pia. Au Nyerere alikuwa na maoni tofauti na ya Kikwete na ya mkewe Kikwete? kuhusu Serikali mbili?

Wewe kweli bongolala.
 

Juez Warioba es más creíble y de confianza que Kikwete.Kikwete es un flojo-canon que nunca se puede confiar.
 

Kikwete kwenye hotuba yake, labda hukumsikiliza, karudia tena na tena na tena kusema kuwa kuwa kaisoma rasimu vizuri sana. Au hilo hulijuwi?

Jee, kilichokuudhi katika hotuba ya Kikwete ni kipi?
 
Hapo ndipo unapokosea. Na ya Nyerere pia, na ya Pengo pia. Au Nyerere alikuwa na maoni tofauti na ya Kikwete na ya mkewe Kikwete? kuhusu Serikali mbili?

Wewe kweli bongolala.
Musulmán terrorista Faiza, ¿Eres alrededor abuela? Muchos líderes islámicos con trasfondos resultó ser gran fracaso en este país y JK es un buen ejemplo de esa falta.
 

Warioba hajatoa hotuba, ni nani alikudanganya kuwa Warioba alienda kwenye bunge maalum la katiba kutoa hotuba?
 
Kikwete kwenye hotuba yake, labda hukumsikiliza, karudia tena na tena na tena kusema kuwa kuwa kaisoma rasimu vizuri sana. Au hilo hulijuwi?

Jee, kilichokuudhi katika hotuba ya Kikwete ni kipi?


Usimalize nguvu zako bure....

Hao unaobishana nao uwezo wao wa kufikiri haumzidi kuku....

Wanaandika wanachojua hawaandiki wanachoelewa wala kilichopo kwenye hoja...

Kama mtu anaweza kurubunika kwa siasa za kihuni za CDM si rahisi kuwa na ung'amuzi wa mambo ya msingi...

Alamsiki.....
 
Musulmán terrorista Faiza, ¿Eres alrededor abuela? Muchos líderes islámicos con trasfondos resultó ser gran fracaso en este país y JK es un buen ejemplo de esa falta.


Ni ishara ya woga...

ni dalili ya kuishiwa hoja na viashiria vya kuanza viroja..

code mixing and code switching hulenga kupunguza hadhira ambapo mzungumzaji ama ameshindwa kushawishi kwa hoja hivyo anaamua kuitenga kukimbia mjadala....

You are too low!!!
 
Hotuba ya Warioba haikuwa na mipasho, kebehi wala rusha roho. Aliongea ukweli mtupu

Nani aliokudanganya kuwa Warioba alienda kwenye bunge. Maalum kuhutubia?

Usiwe mjinga, Warioba alienda kuwasilisha rasimu aliyotumwa kuitengeneza na Kikwete. Na kabla ya kuiwasilisa bungeni, kwanza kabisa aliikabidhi kwa aliyemtuma.

Aliyehutubia ni Kikwete. Msidanganywe na porojo za Pasco.
 
Last edited by a moderator:
Jk alizungumza kama mwenyekiti wa ccm, warioba alizungumza kama mwenyekiti wa tume ya katiba! Binafsi naunga mkono hotuba ya warioba, maana ilijaa facts tupu! Ya jk ilijaa porojo na mipasho zaidi!
 
watu ni pro serikali 3 sababu ni maamuzi ya CDM,,,leo CDM ikisema tunasapoti serikali 2 mjadala utabadilikA humu ndani
 
Hii google translate ndio umeijuwa leo?
 

Uwezi kuwa mtanganyika alafu ukaunga mkono serekali mbili. Ngoja Tanganyika yetu irudi alafu ndio mtajua hatima yenu nyie wazanzibar mlio jisahau hapa Tanganyika
 
Hotuba Zote Mbili Zinathamani Kubwa Kwa Watanzania! Rais Kimsingi Alikuwa Anaelimisha Yaliyomo Ndani Ya Katiba Ivo Kufumbua Waliokuwa Wanaupeo Mdogo!

Kikwete alienda kufungua bunge kama Raisi wa nchi na ingeeleweka kama angeongelea faida na hasara za serekali tatu au mbili. lakini alichokifanya ni kuelezea misimamo ya CCM au Rasimu ya CCM kama yupo lumumba
 

ulichoandika ni pumba. Miaka 50 ya muungano huku mambo ya muungano yakizidi kuondolewa na katiba ya zanzibar alafu unasema tunaelekea serekali moja. Hao Wazaramo, Wandengereko na Wamanyema walio Unguja ni sawa na waangaza ambao wapo Rwanda na Tanzania. Kamwambie basi Kikwete aende akamjulie hali Kagame uone atakwambia kama wana undugu.
 
Mi nianze kwa kusikitika na pumba za jk, ukweli ubaki pale pale kuwa tunahitaji kilichopendekezwa na wanachi si kikwete
 
Mi nianze kwa kusikitika na pumba za jk, ukweli ubaki pale pale kuwa tunahitaji kilichopendekezwa na wanachi si kikwete

Yep ni kweli .......tunahitaji kilichopendekezwa na wananchi ..... ;hili ndio lapaswa kufanyiwa kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…