Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Acha uoga! Maandiko yanasema, msimuogope yule anayweza kuangamiza mwili kisha baada ya hapo hana cha kufanya. Bali muogopeni yule ambaye anaweza kuangamiza mwili na Roho. Yaani Mungu pekee.Naona unatafuta matatizo... Haya bana. Akishakamatwa maumivu utapata wewe na familia yako. Wewe furahisha tu jukwaa ila kumbuka hakuna hata member moja wa Jf atakuja kukuokoa
Haya weee! mtoto unalilia "panga" utapea soonMh. rais yupo likizo mbona sioni kashika ule msokoto wake wa bangi aliouzoea?
Sawa. Ila kumbuka pia maandiko yamesema tiini mamlaka zinazowaongoza kwa kuwa serikali zote duniani zinawekwa na Mungu.... Endeleeni tu!Acha uoga! Maandiko yanasema, msimuogope yule anayweza kuangamiza mwili kisha baada ya hapo hana cha kufanya. Bali muogopeni yule ambaye anaweza kuangamiza mwili na Roho. Yaani Mungu pekee.
Mbavu sinaUnamsingizia bure hichi kichwa ukikipa majani sijui kitakuwaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mhenga aliyesema bangi nibangue
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Duh! Hiyo kaitafute chooni.Naomba picha ya mhenga aliesema hasomeshi wazazi.
Duh! Hiyo kaitafute chooni.
Sent from my PHANTOM5 using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent from my ZUK Z2131 using JamiiForums mobile app
Bei yake kubwa? Wajanja wameshaniliza kakimeo kanguHasa kwenye chaji ni mwisho wa matatizo
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Hawa ndio wahenga waliosema ni thithi baba dhao kwa kina Mshana jr milimani
Sent from my itel it1505 using JamiiForums mobile app
Hivi hizi nyumba huwa wanaingia kwa ku croal au kwa kusota?
Napata funzo kuwa kumbe ipo cku nasi tutakuja kuzeeka km huyu jamaaMuhenga aliyesema unataka kula kula tu Bila wewe kuliwa
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
huyu muhenga wako kasemaje? au ndo yule wa 'kimya kingi kina mshindo mkubwa'
Hayo malapa balaaaàHawa ndio wahenga waliosema ni thithi baba dhao kwa kina Mshana jr milimani
Duh.
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app