Complete heart transplant; rethink your faith!

Complete heart transplant; rethink your faith!

Very interesting question.

Inawezekana kabisa kwamba kuna vilivyopo ambavyo hatuvioni.
Lakini kutoviona haifanyi kwamba visiwepo

After all, kabla ya scientific advancement hatukuweza kuona effects za radio waves, gamma rays etc. Mpaka tulipogundua sayansi za kuviona (indirectly)
Je science ya kuviona isingegunduliwa ungesema kwamba havipo?

Sasa tutajuaje kwamba kuna vitu ambavyo havionekani na hatujapata namna ya kuviona tu?

Na tutajuaje kwamba tunaendekeza hadithi tu kwa kufikiri kwamba kuna vitu visivyoonekana (kama mungu)?

Ni kwa uchunguzi na ugunduzi na utafiti na udadisi, polepole tutajua.
Umeuliza maswali nadhani na kujijibu vyema, kwa hilo jibu lako ulishafanya hayo juu ya Mungu?

Mimi siamini mungu wa Judeo Christian traditions kwanza kwa sababu ana an inherently self contradicting nature which makes him inconsistent in an ungodly way. By his own standards.

Basic stuff.
kwanza nilitaka kujua unaelewa nini maana ya Mungu? halafu je unaamni katika zile theory za Darwin?
 
Free ideas alileta mada wamempa kibano hajaonekana, sasa labda na huyu mwenzake sijui kama atahimili, hawa inawezekana wakawa wametoka kule kwa kina Gavana maana uwezo wao unatia shaka ngojea niendelee kumsoma CYBERTEQ labda anaweza akawa tofauti na mwenzake...

Kibano maana yake nn?
 
Last edited by a moderator:
1. You don't have to accommodate something which is not provable according to your fallacy, in contrast, now FAITH is PART OF SCIENCE.

2. How much Science is accommodating "GOD"?

3. The same issue of the "Negative God" now is "the opposite of faith". When will you stop copying from theists? Does, it means, without "theists" there is no "non theists"?

4. That is why Ishmael said Sayansi ni TEGEMZI. You have proved the words of Ishmaels as authentic.

1. Provability is relevant only in a certain framework. Ultimately, all provability is fallible and qualified. If you haven't grasped this in my previous writing, I doubt I can help you further.

2. What is "GOD"?

3. What is not "tegemezi"?
 
Hapana hii sio ligi ya kuonyeshana nani zaidi, ni hali ya kueleweshana mambo, CYBERTEQ ameanzisha mada yaani yeye ndio mwenye mada ila hilo swali limempiga chenga, ukitaka kuona ninachokwambia nenda jukwaa la dini uone Free ideas ameanzisha mada ya kwamba Yesu hakuwahi kuwepo kaangalie anavyojenga hoja unaweza ukashangaa, sasa kwa swali kama hili tukaonelea atleast wewe unaweza ukalijibu, lakini hao wenzako ni vichekesho...

Mbona unapiga majungu,ninachokiandika inawezekana ukachukua wiki mbili kukielewa kama ndugu yako Ishmael alivomaliza wiki mbili na jibu la maswali yake bila kujua kama kajibiwa tayar.Nilivomkumbusha na mkuletea akadai yaandikwe kwa namba.Mbona mi siwapigi majungu! Hizo tabia zinaendana na jinsia zenu kweli?.

Mada yangu ya JesUS! The Empty Cross-Hakuna Ushahidi Wa uwepo wake ,Mmeshindwa nyie ambao mpaka sasa hamjasema yesu alizaliwa wapi.Mjungu hayasaidii ,na wengi wenu siwajibu maana mntumia Id mbili kitu ambacho ni UNAFIKI
 
Last edited by a moderator:
Lakini kutoviona haifanyi kwamba visiwepo

Na pia, kutoviona haifanyi viwepo. La sivyo mimi kutoona dollar "zangu" za kufikirika trillioni trillioni kungefanya ziwepo.


Je science ya kuviona isingegunduliwa ungesema kwamba havipo?

Ningesema tutafute science ya kuviona. Kama ninavyokwambia nipe ushahidi kwamba mungu yupo.


Umeuliza maswali nadhani na kujijibu vyema, kwa hilo jibu lako ulishafanya hayo juu ya Mungu?

Nimeuiliza kufahamishwa kuhusu uwepo wa mungu na kutoa a way to give a satisfactory answer.


kwanza nilitaka kujua unaelewa nini maana ya Mungu? halafu je unaamni katika zile theory za Darwin?

Mimi sikubali kuwapo kwa supernatural powers zote, si mungu tu. Labda wanaoamini kuwepo kwa mungu ndio watuambie wanaposema mungu wanamaanisha nini.

Sitaki kuamini, nataka kujua.

Kuamini is not interesting at all to me.
 
Sasa mkuu hii mantiki yako itamtaka Mungu na yeye awe na muwekaji, kwa sababu inakana uwepo wa kitu chenye mpangilio bila kuwa na muwekaji.
Kwanini unafikiri hivyo?

Mkuu kwani Mungu ni kitu?
Kwa hiyo unakubali kuwa Mungu na yeye ana muwekaji?
Assumption at work ...

Hujaweza kuniuliza swali sahihi litakalokupa majibu unayotaka

Hivi unafikiri ni kwa mantiki ipi ambayo inakana binadamu kuwepo?
Na unadhani ni kwanini vitu ni lazima viwe ba muwekaji?
Swali hilo hapo juu
Limeshapewa jibu
Hapana mkuu, madaktari muda fulani si lazima wafuate kanuni za muwekaji,

Mf. Mtu akiwekewa vyuma badala ya mifupa, hapa kanuni ya muwekaji haijafuatwa
Huyo mtu anaewekewa vyuma atakuwa na afya kaya ya mwanzo?
Nimekujibu hapo juu
Bado hujaweza
Wa kuwashukuru wako wengi mkuu ndugu, jamaa, marafiki n.k
Hahahahahaaaa ......!!
Haya bana!
 
Mbona unapiga majungu,ninachokiandika inawezekana ukachukua wiki mbili kukielewa kama ndugu yako Ishmael alivomaliza wiki mbili na jibu la maswali yake bila kujua kama kajibiwa tayar.Nilivomkumbusha na mkuletea akadai yaandikwe kwa namba.Mbona mi siwapigi majungu! Hizo tabia zinaendana na jinsia zenu kweli?.
wewe unaelewa maana ya majungu kweli? sio majungu huo ni ukweli, ingekuwa majungu usingeitwa hapa, licha ya hivyo hata hicho unachokinadi hakuna ulichojibu , halafu kama nikikubaliana na wewe kwanini majibu yako yamchukue mtu week mbili kuelewa? kama ulichoandika sio pumba kwa muktadha huo?

Mada yangu ya JesUS! The Empty Cross-Hakuna Ushahidi Wa uwepo wake ,Mmeshindwa nyie ambao mpaka sasa hamjasema yesu alizaliwa wapi.Mjungu hayasaidii ,na wengi wenu siwajibu maana mntumia Id mbili kitu ambacho ni UNAFIKI
Check sasa mambo yako unaweza ukathibitisha kwamba Tunatumia id mbili? we umepewa majibu, au we unataka ujibiwe vipi? Halafu eti unahitimisha watu tunatumia id mbili halafu hapo hapo unaweza ukaja ukasema umethibitisha, licha ya hivyo hata kama id mbili zinatumika inakuzuia vipi wewe kutokujibu?
 
Very interesting question.

Inawezekana kabisa kwamba kuna vilivyopo ambavyo hatuvioni.

After all, kabla ya scientific advancement hatukuweza kuona effects za radio waves, gamma rays etc. Mpaka tulipogundua sayansi za kuviona (indirectly)
Asante kwa somo hilo hapo juu

Nimelipenda
Sasa tutajuaje kwamba kuna vitu ambavyo havionekani na hatujapata namna ya kuviona tu?

Na tutajuaje kwamba tunaendekeza hadithi tu kwa kufikiri kwamba kuna vitu visivyoonekana (kama mungu)?

Ni kwa uchunguzi na ugunduzi na utafiti na udadisi, polepole tutajua.
Mukulu,kabla ya kwenda kote huko,unaweza kutembea barabarani na ukaona "nyayo" na ukaanza kujiuliza "kuna nini kimepeta hapa"

Hilo aina la swali linaashiria kuwa "unadhani" kuna kilichopita hapo lakini bado hujajua ni nini

Sasa basi,duniani kuna uhai na viumbe hai ambavyo vina utaratibu na maumbile tofauti,kwa mantiki hiyo hapo juu ya "nyayo",huoni kwamba kuanza "kudhani" kuwa kuna aliyefanya haya yote ni sahihi kimantiki badala ya kuanza kudhani hakuna aliyefanya? [kabla hata ya kuamua kuwa aliyeyafanya haya ni Mungu]

Kwa nini usitumie Mantiki itakayokufanya udhani kuwa "nyayo" ni za "kitu" kilichopita hapa kwenye suala la kuonya "nyayo" kama binadamu,miti n.k kuwa ni alama ya uwepo muwekaji?
Mimi siamini mungu wa Judeo Christian traditions kwanza kwa sababu ana an inherently self contradicting nature which makes him inconsistent in an ungodly way. By his own standards.

Basic stuff.
Mukulu,unaamini leo tena?

Halafu kwanini unadhani kuna contradiction?

Basis za contradiction ambazo zinakufanya "uziamini" na kuzitumia kwenye mambo ya Mungu uliyoyasikia zimetoka wapi?
Kwanini hazibadiliki?

By the way,ni contradiction au hujaelewa?
 
Kwanini unafikiri hivyo?
Si mimi ambaye nimefikiri hivyo ila ni mantiki yako ambayo umeisema mwenyewe
Ulisema hivi,

Mantiki inakana kuwepo kitu chenye mpangilio kama binadamu bila kuwepo
muwekaji wake, hivyo mimi na mwingine yoyote anaetumia mantiki atakubali kuwa hata nyumba haiwezi kuibuka tu
bali lazima kuna mjenzi

Hayo ni maneno/assumption zako si mimi

Mkuu kwani Mungu ni kitu?

Unajua maana ya kitu mkuu?

Ngoja nikusaidie

1. An object that one can not or doesnot wish a specific name to....

2.An inanimate material object as distinct from a living being > a living creature or plant > a person or animal in terms of one's feeling of pity, approval etc

3. An action, activity, concept or thought > unspecified circumstances or matter etc.

Kwa hiyo mkuu, Mungu vyovyote alivyo bado ataingia kwenye mojawapo ya categories za kitu.

Assumption at work ...

Wewe ndo umeassume kwamba kila kitu lazima kiwe na muwekaji na mimi nimetumia assumption yako kukuuliza hayo maswali.

Narudia kukunukuu

Mantiki inakana kuwepo kitu chenye mpangilio kama binadamu bila kuwepo
muwekaji wake, hivyo mimi na mwingine yoyote anaetumia mantiki atakubali kuwa hata nyumba haiwezi kuibuka tu
bali lazima kuna mjenzi

That's your assmption mkuu not mine

Hujaweza kuniuliza swali sahihi litakalokupa majibu unayotaka

Maswali yangu yako wazi kabisa wewe tu ndo hajataka kunipa majibu

Hivi unafikiri ni kwa mantiki ipi ambayo inakana binadamu kuwepo?

Naona mkuu bado una usingizi, hakuna aliyesema kwamba kuna mantiki inakana binadamu kuwepo.

Bali wewe ulisema kuna mantiki inakana uwepo wa vitu vyenye mpangilio maalum bila kuwa na muwekaji.

Nakunukuu tena

Mantiki inakana kuwepo kitu chenye mpangilio kama binadamu bila kuwepo
muwekaji wake, hivyo mimi na mwingine yoyote anaetumia mantiki atakubali kuwa hata nyumba haiwezi kuibuka tu
bali lazima kuna mjenzi

Mwisho wa kunukuu

Na unadhani ni kwanini vitu ni lazima viwe ba muwekaji?

Naona umesahau mkuu, hiyo mantiki ya kila kitu kuwa na muwekaji umesema wewe na si mimi, ndo nikakuuliza kama mantiki yako inakana kitu kuwepo bila ya muwekaji, je na mungu ana muwekaji?

Huyo mtu anaewekewa vyuma atakuwa na afya kaya ya mwanzo?

Hawezi kuwa kama mwanzo, lakini ataendelea kuishi pamoja na kuvunja kanuni za muwekaji. Ingekuwa kanuni hizo hazivunjiki bas huyu angekufa na si kuendelea kuishi, mf. Gari la kutumia mafuta ukiweka maji haliwezi kutembea.

Kuna mifano mingi sana katika hili mkuu, mf. Wanaofanya plastic surgery anatoa breast tissue wanaweka breast implants n.k hapa bado wanavunja kanuni za muwekaji.


Bado hujaweza

Wewe ndo umeshindwa kuitetea mantiki yako mkuu ya kukana uwepo wa kitu bila muwekaji.
 
Lakini jamaa yeye hakuongelea ugonjwa ukiwa katika hatua mbalimbali, wewe hayo umetoa wapi?

jamaa hapo aliongelea wagonjwa wawili katika case moja hayo mambo ya maombi na kwenda kanisani hayakuwepo kwenye swali, wewe umeyatolea wapi?

Lakini jamaa katika swali lake hakuweka condition, wewe ulipewa swali ukashindwa kujibu ukaanza kuja na concept ambazo hazipo hata kwenye swali, licha ya hivyo jamaa ametoa jibu hapa chini je unakubaliana nae? check hapa chini



kwa hiyo kwa maana hiyo na wewe unatuambia unataka umweke ignore list? sasa hizo sababu zenu yaani mkishindwa kujadiliana na mtu mnamtupia ignore list!? kweli!? Halafu tutaamini vipi kama amekufuta inbox, licha ya hivyo kama amekwambia yeye ni mwana sayansi inabidi sasa mjadili kwa hoja mi nilidhani amekufuta inbox kukutukana kumbe hapana!

Mgonjwa A hawezi kuwa sawa na Mgonjwa B, utofauti wao ndiyo unasababisha kuongeza au kupunguza uwezekano wa kupona kama wakitumia dawa, hizo tofauti hautaki tuzijadili eeh?!....:A S-eek:
 
3. What is not "tegemezi"?

Sasa mkuu kama kutakuwa hakuna ambacho ni tegemezi maisha yataweza kuendeleaje na naona "kama haiwezekani" hivi,nasema hivyo kwa sababu kuwa HAIWEZEKANI KILA KIMOJA KIWE TEGEMEZI

Sisi binadamu ni tegemezi wa mazingira yanayotuzunguka,bila ardhi,maji n.k hatuwezi kuendelea kuwepo
Viume vingine navyo ni hivyo

Kwanini tutegemee mazingira na "sio kitu kingine"?

Inawezekanaje kila kimoja kiwe ni tegemezi halafu maisha yaendelee?

Huwezi kuona kuna uwezekano kuna ambacho ndio provider?
 
Mgonjwa A hawezi kuwa sawa na Mgonjwa B, utofauti wao ndiyo unasababisha kuongeza au kupunguza uwezekano wa kupona kama wakitumia dawa, hizo tofauti hautaki tuzijadili eeh?!....:A S-eek:
Hawezi kuwa sawa kivipi? wakati unaongelewa ule ule ugonjwa ambao upo sawa kwa wote...
 
Mgonjwa A hawezi kuwa sawa na Mgonjwa B, utofauti wao ndiyo unasababisha kuongeza au kupunguza uwezekano wa kupona kama wakitumia dawa, hizo tofauti hautaki tuzijadili eeh?!....:A S-eek:

Una uhakika au unadhani hawawezi kuwa sawa?

Na kama una uhakika toa sababu!
 
Na pia, kutoviona haifanyi viwepo. La sivyo mimi kutoona dollar "zangu" za kufikirika trillioni trillioni kungefanya ziwepo.




Ningesema tutafute science ya kuviona. Kama ninavyokwambia nipe ushahidi kwamba mungu yupo.




Nimeuiliza kufahamishwa kuhusu uwepo wa mungu na kutoa a way to give a satisfactory answer.




Mimi sikubali kuwapo kwa supernatural powers zote, si mungu tu. Labda wanaoamini kuwepo kwa mungu ndio watuambie wanaposema mungu wanamaanisha nini.

Sitaki kuamini, nataka kujua.

Kuamini is not interesting at all to me.
Haya maswali yanaweza yakajibiwa kwa concept hizi
Asante kwa somo hilo hapo juu

Nimelipenda

Mukulu,kabla ya kwenda kote huko,unaweza kutembea barabarani na ukaona "nyayo" na ukaanza kujiuliza "kuna nini kimepeta hapa"

Hilo aina la swali linaashiria kuwa "unadhani" kuna kilichopita hapo lakini bado hujajua ni nini

Sasa basi,duniani kuna uhai na viumbe hai ambavyo vina utaratibu na maumbile tofauti,kwa mantiki hiyo hapo juu ya "nyayo",huoni kwamba kuanza "kudhani" kuwa kuna aliyefanya haya yote ni sahihi kimantiki badala ya kuanza kudhani hakuna aliyefanya? [kabla hata ya kuamua kuwa aliyeyafanya haya ni Mungu]

Kwa nini usitumie Mantiki itakayokufanya udhani kuwa "nyayo" ni za "kitu" kilichopita hapa kwenye suala la kuonya "nyayo" kama binadamu,miti n.k kuwa ni alama ya uwepo muwekaji?

Mukulu,unaamini leo tena?

Halafu kwanini unadhani kuna contradiction?

Basis za contradiction ambazo zinakufanya "uziamini" na kuzitumia kwenye mambo ya Mungu uliyoyasikia zimetoka wapi?
Kwanini hazibadiliki?

By the way,ni contradiction au hujaelewa?
 
Si mimi ambaye nimefikiri hivyo ila ni mantiki yako ambayo umeisema mwenyewe
Ulisema hivi,
Hayo ni maneno/assumption zako si mimi
Mkuu,naomba unisome na kunielewa
Nilikuwekea hapo kuwa mantiki inakana vitu kuwepo bila muwekaji sijui hiyo inakuwaje ni assumption
Unajua maana ya kitu mkuu?
Ngoja nikusaidie

1. An object that one can not or doesnot wish a specific name to....

2.An inanimate material object as distinct from a living being > a living creature or plant > a person or animal in terms of one's feeling of pity, approval etc

3. An action, activity, concept or thought > unspecified circumstances or matter etc.

Kwa hiyo mkuu, Mungu vyovyote alivyo bado ataingia kwenye mojawapo ya categories za kitu.
Nithibitishie kuwa Mungu anafit kwenye hizo maana zako za kitu

Ukishindwa utakuwa ume assume tu na humjui Mungu ni nini
Wewe ndo umeassume kwamba kila kitu lazima kiwe na muwekaji na mimi nimetumia assumption yako kukuuliza hayo maswali.
Sijaasume bali hiyo ni kwa mujibu wa mantiki
Au unakana?
Narudia kukunukuu
That's your assmption mkuu not mine
Hapana siku assume bali nilikuambia kuwa kama tukianza kudhani nyumba inaweza kutokea bila mjengaji tutakuwa tuna violet kanuni ya mantiki,upo hapo?
Maswali yangu yako wazi kabisa wewe tu ndo hajataka kunipa majibu



Naona mkuu bado una usingizi, hakuna aliyesema kwamba kuna mantiki inakana binadamu kuwepo.

Bali wewe ulisema kuna mantiki inakana uwepo wa vitu vyenye mpangilio maalum bila kuwa na muwekaji.

Nakunukuu tena



Mwisho wa kunukuu
Bahati mbaya sana hukunielewa

Nilikuuliza kama unaweza kujua sababu ya kila kitu kuwa na muwekaji,hujaelewa kabisa hili
Lakini pia nilikuambia kuwa umeshindwa kuniuliza maswali ambayo yanaweza kukupa majibu sahihi kwakuwa kuna step umeiruka

Kabla ya kujadili au kurukia kuwa Mungu anaweza kuwa na muwekaji ni lazima kwanza ujue Mungu ni nani

Tunasema binadamu lazima awe na muwekaji la hawezi kuwepo tu kutokana vile ambavyo binadamu tunamuona na viungo vyake vilivyo na mpangilio,yaani ni kama nyumba yenye bafu,choo,jiko,chumba cha kulala n.k useme vyote hivyo vimetokea tu bahati mbaya hata kama umejua kuwa vyote hivyo vipo hapo kwa sababu maalum nayo ni atakaeingia humo atavihitaji

Labda nikuambie hivi;gari limewekewa break kwakuwa inahitajika kwenye matumizi na aliyiweka alijua hilo,leo binadamu anaonekana mkamilifu na hakuna kiungo ambacho kimekosekana kwenye hitaji lake,mfano kama angekuwa hana mkono mmoja na ikaonekana kwenye maisha yake ya kila siku anahitaji mkono mwingine hapo tungeweza kuona kirahisi sana kuwa amepungua,iweje aonekane hajapungua?

Sasa basi kwa mntiki hiyo ndipo tunasema kuwa binadamu aliwekwa na hakujiweka mwenyewe au kutokea tu

Kwenye ishu ya Mungu ni tofauti,hujui Mungu uwezo wake unakomea wapi,halafu kabla ya kwenda kote huko ni lazima kwanza tukubaliane kama yupo ili tuanze kujadili uwezo wake,hatuwezi kujadili uwezo wa gari wakati hatujui au mmoja haamini kama kuna gari
Naona umesahau mkuu, hiyo mantiki ya kila kitu kuwa na muwekaji umesema wewe na si mimi, ndo nikakuuliza kama mantiki yako inakana kitu kuwepo bila ya muwekaji, je na mungu ana muwekaji?
Soma hapo juu
Hawezi kuwa kama mwanzo, lakini ataendelea kuishi pamoja na kuvunja kanuni za muwekaji. Ingekuwa kanuni hizo hazivunjiki bas huyu angekufa na si kuendelea kuishi, mf. Gari la kutumia mafuta ukiweka maji haliwezi kutembea.
Kitendo cha huyo mtu kuwa na afya dhaifu tayari ni ishara ya uvunjifu wa kanuni,sijui kwanini huoni hili
Kuna mifano mingi sana katika hili mkuu, mf. Wanaofanya plastic surgery anatoa breast tissue wanaweka breast implants n.k hapa bado wanavunja kanuni za muwekaji.
Kama unajidai huoni na kusoma madhara yanayopatikana kwa hao kufanya hivyo sijui nitakusaidiaje
Wewe ndo umeshindwa kuitetea mantiki yako mkuu ya kukana uwepo wa kitu bila muwekaji.
Soma huko juu!
 
Huyo jamaa ni wa ajabu anaanza kudai watu tunatumia id mbili, aisee...

Mkuu,unaweza kujadili au ku debate jambo na mtu kisha ukapata faida ya kujua jambo lingine lakini kikubwa zaidi ni mtu yule kukufanya utafakari zaid na kuupa ubongo wako chakula

Hao jamaaku debate nao ni kama kupoteza wakati bure tu!
 
Mkuu,naomba unisome na kunielewa
Nilikuwekea hapo kuwa mantiki inakana vitu kuwepo bila muwekaji sijui hiyo inakuwaje ni assumption

Nasema ni assumption kwa sababu huwezi thibitisha kwamba vitu vyote vina muwekaji, mf Mungu muwekaji wake ni nani?

Nithibitishie kuwa Mungu anafit kwenye hizo maana zako za kitu

Mkuu hebu tuangalie maana ya Mungu.

Katika ukristo God is the
creator and ruler of the
universe and source of all
moral authority; the
supreme being.

Hiyo maana ya Mungu kwa mujibu wa ukristo inafall katika maana hii ya kitu

3. An action, activity, concept or thought
> unspecified circumstances or matter etc.

Nasema hivyo kwa sababu kwa maana ile pale juu Mungu amekuwa defined as a concept.

Pia kuna sifa nyingi sana za Mungu kama ifuatavyo; ambazo zote zinamdefine Mungu

Ni Mwenye nguvu, mtakatifu
(Mwanzo 1:1)

Ni Mwenye nguvu kupita wote na aonaye (Mwanzo 16:13)

Mungu ni wa milele, kumaanisha hakuwa na mwanzo na kuweko kwake
hakutakoma. Hafi na hamaliziki
(Kumbukumbu la torati 33:27, Zaburi 90:2; Timotheo wa kwanza 1:17).

Mpaka hapo nimekuonesha Mungu ni nini, na sifa zote hapo juu zinafall katika maana ya kitu niliyoweka hapo juu.


Ukishindwa utakuwa ume assume tu na humjui Mungu ni nini

Nimekujibu hapo juu maana ya Mungu kwa mujibu wa ukristo.

Pia kuhusu suala la Mungu bado ni assumptions kwa sababu hazijathibitika ingawa zinaaminika kuwa kweli.

Nasema hivyo kwa kuwa an assumption is a thing that is accepted as true or as certain to happen, without proof.


Sijaasume bali hiyo ni kwa mujibu wa mantiki
Au unakana?

Narudia tena hiyo mantiki yako bado ina utata, kama kila kitu kina muwekaji basi na Mungu naye ana muwekaji

Hapana siku assume bali nilikuambia kuwa kama tukianza kudhani nyumba inaweza kutokea bila mjengaji tutakuwa tuna violet kanuni ya mantiki,upo hapo?

Nakubali kabisa kwamba nyumba kutokea bila mjengaji tunaviolate kanuni,

Kama mkuu umeweza kusema nyumba haiwezi kutokea bila mjengaji, vipi kuhusu Mungu aliye mjengaji/muumbaji wa vyote kutokea bila mjengaji?

Hapa ndo kidogo mantiki inaleta utata.

Bahati mbaya sana hukunielewa

Nilikuuliza kama unaweza kujua sababu ya kila kitu kuwa na muwekaji,hujaelewa kabisa hili

Mkuu hiyo mantiki ya kila kitu kuwa na muwekaji umeileta wewe, na hizo sababu wewe ndo unatakiwa kuzijua na kuzitaja hapa ili kujustfy mantiki yako


Lakini pia nilikuambia kuwa umeshindwa kuniuliza maswali ambayo yanaweza kukupa majibu sahihi kwakuwa kuna step umeiruka

Step ipi hiyo nimeiruka? Kama ni kuhusu Mungu ni nini nimeshakujibu hapo juu

Kabla ya kujadili au kurukia kuwa Mungu anaweza kuwa na muwekaji ni lazima kwanza ujue Mungu ni nani

Unaposema ni nani, unamaanisha ni mtu?

Ukitumia neno 'nani/who' you refer to a person.

Kuhusu Mungu ni nani/nini nimeshakujibu hapo juu.

Tunasema binadamu lazima awe na muwekaji la hawezi kuwepo tu kutokana vile ambavyo binadamu tunamuona na viungo vyake vilivyo na mpangilio,yaani ni kama nyumba yenye bafu,choo,jiko,chumba cha kulala n.k useme vyote hivyo vimetokea tu bahati mbaya hata kama umejua kuwa vyote hivyo vipo hapo kwa sababu maalum nayo ni atakaeingia humo atavihitaji

Tunarudi palepale, vipi kuhusu Mungu aliyemuwekaji wa vyote, je unakubali kuwa yeye anaweza kutokea tu from nowhere? Au kuna muwekaji?


Labda nikuambie hivi;gari limewekewa break kwakuwa inahitajika kwenye matumizi na aliyiweka alijua hilo,leo binadamu anaonekana mkamilifu na hakuna kiungo ambacho kimekosekana kwenye hitaji lake,mfano kama angekuwa hana mkono mmoja na ikaonekana kwenye maisha yake ya kila siku anahitaji mkono mwingine hapo tungeweza kuona kirahisi sana kuwa amepungua,iweje aonekane hajapungua?

Bado narudia tena, vipi kuhusu Mungu aliye muwekaji wa vyote hivyo, je yeye anaweza kutokea tu from no where?

Halafu pia bado una assume tu kwamba ni Mungu ndiye muwekaji wa hivyo vyote kwa sababu huwezi kuthibitisha.

Hata mimi naweza kusema/kuassume muwekaji wa vyote hivyo ni babu yangu, nitakuwa sawa na wewe unayesema muwekaji ni Mungu, wote TUNASSUME

Sasa basi kwa mntiki hiyo ndipo tunasema kuwa binadamu aliwekwa na hakujiweka mwenyewe au kutokea tu

Pia kwa mantiki hiyo tutasema Mumgu naye aliwekwa hakujiweka mwenyewe.

Kwenye ishu ya Mungu ni tofauti,hujui Mungu uwezo wake unakomea wapi,halafu kabla ya kwenda kote huko ni lazima kwanza tukubaliane kama yupo ili tuanze kujadili uwezo wake,hatuwezi kujadili uwezo wa gari wakati hatujui au mmoja haamini kama kuna gari

Ni kweli labisa mkuu ili tuweze kujadili gari fulani ni lazima tujue lipo au halipo,

Sasa wewe ambaye unasema kuna gari(Mungu) naomba uthibitishe kwamba lipo, baada ya hapo tuanze kujadili.

Mimi siwezi kusema lipo au halipo, kwa sababu wewe ndo umekuja na wazo la gari kuwepo kwa hiyo naomba unithibitishie kwanza hilo gari, halafu ndo ntajua lipo au halipo

Kitendo cha huyo mtu kuwa na afya dhaifu tayari ni ishara ya uvunjifu wa kanuni,sijui kwanini huoni hili

Kama unajidai huoni na kusoma madhara yanayopatikana kwa hao kufanya hivyo sijui nitakusaidiaje

Labda nikuulize swali mkuu,
Mtu anapougua ugonjwa fulani mf malaria anakuwa amevunja kanuni?

Tuanzie hapo kwanza
 
Back
Top Bottom