Complete heart transplant; rethink your faith!

Complete heart transplant; rethink your faith!

Hakuna kipya hapa!,Nitaujibu huu uzi kwa kifupi ka ifuatavyo.
1.Kwanza kuwepo kwa neno"IN GOD WE TRUST",katika noti ya marekani halisababishi mimi(Atheist )nisiitumie.Kwanza lazima ujue Atheism sio DINI,ukishajua hivyo hutauliz aswali kama hilo.

Hapa namaanisha kwamba mfano,mwislam niarufuku kwenda kanisani na kusali ama mkrito kwenda mskitin kusali.Sisi hatuko hivyo .Atheism IS THE COMMON SENSE.

2.Kutumika kwa bandiko lile halituondolei chohote maana sisi sio dini na hatuko kurumbana ama kugombea kitu(afuasi wala maslahi,We are the best thinkers).Na ndio maana 96% ya kila kitu duniani tunaendesha sisi(scientists ).

3.Ukitaka tusitumie dola ya marekani eti kwa sababj ina neno,"IN GOD WE TRUST",Basi mwambie Papa(baba yenu mtakatifu) atoe zile mike zote pale Vatican,na pia atumie majani ya migomba kuhifadhi Documents zake badala ya Laptops ambayo ni kazi ya scientists mnaowapinga.Kisha mwambie akitaka kwenda kwao Argentina ama popote katika safari ya kikazi asitumie ndege bali aende kwa miguu ama ngamia au mwanapunda.

Pia mwambie shekhe mkuu wa pale mecca ama medina,awe anatumia ngamia kwenda misri sio ndege!.
Mbona mnataka kukata tawi mlilokalia? Nyie wazima kweli?

Kuna siku niliwauliza swali kwba mnbie matatizoatatu ambayo dini imeyatatua mapaka sasa hakuna aliyenijibu zaidi ya blah blah!!,
 
A type of God who cares about sinn!,a god who care about what i Free ideas do!.Such a god who created us with his love but planing to burn us!.Hii aina gani ya mungu huyu,""Ninachojua mimi,kama kuna mungu basi sio huyo mnaemtambulisha nyie,mungu wa Waislamu,wakristo,ma-budha,Hindu na kadhalika.""
Kama kuna mungu hakuna anayemjua na hakuna anayeweza kumuelezea! Na hawezi kamwe kuwa na sifa hizi mnazompa kila siku hapa.Huyu mnaekesha kumuelezea humu.
Nontheism Lies, Misconception, Misrepresenting BUSTED AND DEBUNKED

NON THEISTS COMMON ARGUMENT
By Kiranga
Kabla ya kuniambia mungu ananipenda, tafadhali thibitisha kwamba yupo.

HERE IS THE ANSWER FROM THE SAME PERSON
By Kiranga
Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.


ANOTHER REPLY FROM A NON THEIST
By Free ideas
God is a complicated entity which requires a much more certificated explanation ..........
It can't be better than this.


ARGUMENT THAT NON THEISTS DON'T APPLY FAITH IN THEIR LIFE
By Kiranga

Sitaki kuamini, nataka kujua.

Sijashindwa kuthibitisha uwepo wangu, wewe ndiye umeshindwa kutaja framework na margin of error.

Uthibitisho wowote ambao hauna defined domain/ framework and margin of error ni ubatili.

HAPA SASA ANAONYESHA KUKUBALI IMANI KWA KUPINGA MADAI YAKE YA AWALI
By Kiranga
I can barely tolerate it for practical reasons linked to it's current inescapable nature as pointed above. That is, in order to eradicate it, one has to barely accommodate it, and converge towards it's gradual eradication methodically.

Experimentation, peer review and observation in a corrective and critically reflective culture (the opposite of faith) would eventually converge towards less belief and more knowledge.

That is how science advances.



HAPA ANASEMA KUWA YUPO ALLERGIC NA BELIEF
By Kiranga
I am allergic to belief.

I would rather know, thank you very much.
HUYOOOOO kesha anza kuonyesha tatizo katika UONGO WAKE WA ALLERGY

HAPA CHINI ANAFANYA FLIP FLOP NA KUKUBALI FAITH
By Kiranga
Inherently I do not have a problem with faith.

....

Here is where some choose to have total faith in an invisible god while others choose to have only a minimal amountn of faith based on.rationality and gradually converge towards knowledge.

NDUGU ZANGUNI,

Mimi sina la zaidi au la kuongeza, leo mmesha muelewa kuwa jamaa ni FLIP FLOP na SI MALI KITU, Ndio maana anatumia IGNORE LIST katika Debate.

Majibu mmesha yapata kuwa huyo Non Theist si Mali kitu
 
Hakuna kipya hapa!,Nitaujibu huu uzi kwa kifupi ka ifuatavyo.
1.Kwanza kuwepo kwa neno"IN GOD WE TRUST",katika noti ya marekani halisababishi mimi(Atheist )nisiitumie.Kwanza lazima ujue Atheism sio DINI,ukishajua hivyo hutauliz aswali kama hilo.
Kuitumia kwako ni kukiri kuwa unakubali kuwa IN GOD WE TRUST na hauna jinsia bali kuendelea kukubali kufuata MFUMO KRISTO. Kwa taarifa yako vilevile UKRISTO SIO DINI. Sasa niulize Ukristo ni nini? Maaa wewe umejaa assumptions na huwezi kuzisaida kwa verifiables facts.


Hapa namaanisha kwamba mfano,mwislam niarufuku kwenda kanisani na kusali ama mkrito kwenda mskitin kusali.Sisi hatuko hivyo .Atheism IS THE COMMON SENSE.
Pole sana kwa kuendelea kujidanganya. Nyie mnaenda kanisani kama sie, labda wewe ni mpagani wa ki non theist. Hili hapa ni kanisa lenu. Sina haja ya kuandikaia mate wakati wino upo.


2.Kutumika kwa bandiko lile halituondolei chohote maana sisi sio dini na hatuko kurumbana ama kugombea kitu(afuasi wala maslahi,We are the best thinkers).Na ndio maana 96% ya kila kitu duniani tunaendesha sisi(scientists ).
You are not the best thinkers but sinkers. A thinker is a person who can support her/his belief. You can not support either the negative god or the fallacy that God does not exist. You are a BLIND FOLLOWER of a CULT that can not support her belief.


3.Ukitaka tusitumie dola ya marekani eti kwa sababj ina neno,"IN GOD WE TRUST",Basi mwambie Papa(baba yenu mtakatifu) atoe zile mike zote pale Vatican,na pia atumie majani ya migomba kuhifadhi Documents zake badala ya Laptops ambayo ni kazi ya scientists mnaowapinga.Kisha mwambie akitaka kwenda kwao Argentina ama popote katika safari ya kikazi asitumie ndege bali aende kwa miguu ama ngamia au mwanapunda.
Sio, usitake kutumia USD, nyie hamna chenu hapa duniani. Nyie mnatendelea kuwa TEGEMEZI katika kila jambo. Hata jina lenu ni TEGEMEZI kutoka kwetu, ZAIDI YA HAPO, Hamna ubavu wa kuanzisha fedha zenu.


Pia mwambie shekhe mkuu wa pale mecca ama medina,awe anatumia ngamia kwenda misri sio ndege!.
Mbona mnataka kukata tawi mlilokalia? Nyie wazima kweli?
Kwa taarifa yako, sio scientists wote ni WAPINGA MUNGU na GOD HATERS kama wewe. Ndio maana bado hujajibu swali. KWANINI MNATUMIA HELA ZETU ZILIZO ANDIKWA "IN GOD WE TRUST"? Why are you using our monies?

PATA List fupi kwa msaada: Famous Scientists Who Believed in God


Kuna siku niliwauliza swali kwba mnbie matatizoatatu ambayo dini imeyatatua mapaka sasa hakuna aliyenijibu zaidi ya blah blah!!,
Tatizo la kwanza ni MONEY. The money you are chasing everyday is from us. NDIO MAANA HAKUNA ATHEIST TAJIRI HAPA DUNIANI. Jiulize, kwanini nyie ni MASKINI TU?

Pole sana kwa kuwa BLIND FOLLOWER of a diabolical cult that can not support her BELIEF. Do you believe that God does not exist and you can support your BELIEF or you are SURE THERE IS NO GOD and you can give us impeccable evidence of your fiendish belief?

KWA TAARIFA YAKO:
Albert Einstein BELIEVED IN GOD
 
Last edited by a moderator:
Kuitumia kwako ni kukiri kuwa unakubali kuwa IN GOD WE TRUST na hauna jinsia bali kuendelea kukubali kufuata MFUMO KRISTO. Kwa taarifa yako vilevile UKRISTO SIO DINI. Sasa niulize Ukristo ni nini? Maaa wewe umejaa assumptions na huwezi kuzisaida kwa verifiables facts.



Pole sana kwa kuendelea kujidanganya. Nyie mnaenda kanisani kama sie, labda wewe ni mpagani wa ki non theist. Hili hapa ni kanisa lenu. Sina haja ya kuandikaia mate wakati wino upo.


You are not the best thinkers but sinkers. A thinker is a person who can support her/his belief. You can not support either the negative god or the fallacy that God does not exist. You are a BLIND FOLLOWER of a CULT that can not support her belief.



Sio, usitake kutumia USD, nyie hamna chenu hapa duniani. Nyie mnatendelea kuwa TEGEMEZI katika kila jambo. Hata jina lenu ni TEGEMEZI kutoka kwetu, ZAIDI YA HAPO, Hamna ubavu wa kuanzisha fedha zenu.



Kwa taarifa yako, sio scientists wote ni WAPINGA MUNGU na GOD HATERS kama wewe. Ndio maana bado hujajibu swali. KWANINI MNATUMIA HELA ZETU ZILIZO ANDIKWA "IN GOD WE TRUST"? Why are you using our monies?

PATA List fupi kwa msaada: Famous Scientists Who Believed in God



Tatizo la kwanza ni MONEY. The money you are chasing everyday is from us. NDIO MAANA HAKUNA ATHEIST TAJIRI HAPA DUNIANI. Jiulize, kwanini nyie ni MASKINI TU?

Pole sana kwa kuwa BLIND FOLLOWER of a diabolical cult that can not support her BELIEF. Do you believe that God does not exist and you can support your BELIEF or you are SURE THERE IS NO GOD and you can give us impeccable evidence of your fiendish belief?

KWA TAARIFA YAKO:
Albert Einstein BELIEVED IN GOD


Watakupiga mawe wenzako wakikusikia!.Sina haja ya kukuuliza ukristo n nn maana niliposema Atheism sio dini nilifafanua kwamba Atheism ni COMMON SENSE,sasa wewe unataka uulizwe?.
 
Last edited by a moderator:
Watakupiga mawe wenzako wakikusikia!.Sina haja ya kukuuliza ukristo n nn maana niliposema Atheism sio dini nilifafanua kwamba Atheism ni COMMON SENSE,sasa wewe unataka uulizwe?.

UKRISTO SIO DINI, kwanini nikufiche. SASA NIULIZE Ukristo ni nini?

NON THEISM IS A RELIGION.

Inaonekana hufahamu maana ya dini? Kaazi kweli kweli.

Let me teach and give you some food for thought.

1. Religion and or cult is a philosophy of life. So is non theism.

2. Religion and or cult is a means of understanding our existence. Non theism fits that bill.

3. Religions and or cults has its leaders, the preachers of its tenets. So does non theist (Nietzsche, Feuerbach, Lenin, Marx).

4. Religion and or cult has its faithful believers, who guard the orthodoxy of the faith. So does non theism.

You are a believer and part of a cult that can not support her notions of negative god, to wit.

NON THEISM is a DIABOLICAL RELIGION.
 
Kwanza lazima ujue Atheism sio DINI,ukishajua hivyo hutauliz aswali kama hilo.

,
Let me teach and give you some food for thought.

1. Religion and or cult is a philosophy of life. So is non theism.

2. Religion and or cult is a means of understanding our existence. Non theism fits that bill.

3. Religions and or cults has its leaders, the preachers of its tenets. So does non theist (Nietzsche, Feuerbach, Lenin, Marx).

4. Religion and or cult has its faithful believers, who guard the orthodoxy of the faith. So does non theism.

You are a believer and part of a cult that can not support her notions of negative god, to wit.

NON THEISM is a DIABOLICAL RELIGION.
 
Umeelewa nini niliposema Atheism sio dini?.Sisi hatuna haja ya kurumbana kwa vitu visivyo na maana.Je wakristu wote hawatumii bidhaa za Saudia ama dubai kwa sabau hawamtambui mtume Mohammad ?.Mbona palestina ni wateja wakubwa wa bidhaa toka Israel japo haziivi?.We use the common sense and struggling to make the earth a better placce to live!,You with your god have nothing to do with this Universal !okay!?



Watakupiga mawe shaur yako!,Mpaka uulizwe?Hujiongezi hilo ndo tatizo lenu.



Unajua maana ya dini?,Unajua maana ya kanisa ?




We are the best thinker !.Did the Mike used in Vatican come from Heaven?,Y do Pop's documents stored in Laptops instead of leaves and flat stones ?.Did Jesus say so?.Or did Laptops come from Heaven?




Did you ever supported your Arguments that God exists with even one evidence for his existence ?




Are you sure?Prove!



Atheism na Theism nani tegemezi.Dini imewahi kugundua nini cha maana?.Okay basi hata kisicho cha maana?



Hata tukianzisha fedha haitasaidia kama watu kama nyie (wenye uoga wa kuhoji na wasio jitambua)mtaendelea kuwepo!.





Mi sijasema scientists wote ni Atheist!,Na sio lazima wote wawe Atheist.



Swali lako litakuwa na maana iwapo Papa atasafiri kwa mwanakondoo kwenda kwao Argentina!,ama aandike mahubil yake kwenye majani ya migomba.Na pale mecca watumie vijinga vya moto kumulikia wakati wa swala!,na shekhe apande ngamia kwenda jordani.



Ninayo tangu mwaka jana lakini asante.



Sio kwel,Unatakiwa ujue hakuna tajiri anayeamini katika Mungu na kufuata yale asemayo,kama yupo ni mnafiki.Na hakuna Atheist maskini ila kuna Believers mabilini ambao ni maskini.




Prove that god exists



Sio kosa aliplay part yake na sio lazima tumfuate.Kwani padri akibaka na wewe utabaka?.Si mnaambiwaga mfuate mafundisho yao sio matendo yao!?.
 
Umeelewa nini niliposema Atheism sio dini?.Sisi hatuna haja ya kurumbana kwa vitu visivyo na maana.Je wakristu wote hawatumii bidhaa za Saudia ama dubai kwa sabau hawamtambui mtume Mohammad ?.Mbona palestina ni wateja wakubwa wa bidhaa toka Israel japo haziivi?.We use the common sense and struggling to make the earth a better placce to live!,You with your god have nothing to do with this Universal !okay!?
Let me teach and give you some food for thought.

1. Religion and or cult is a philosophy of life. So is non theism.

2. Religion and or cult is a means of understanding our existence. Non theism fits that bill.

3. Religions and or cults has its leaders, the preachers of its tenets. So does non theist (Nietzsche, Feuerbach, Lenin, Marx).

4. Religion and or cult has its faithful believers, who guard the orthodoxy of the faith. So does non theism.

You are a believer and part of a cult that can not support her notions of negative god, to wit.

NON THEISM is a DIABOLICAL RELIGION.


Watakupiga mawe shaur yako!,Mpaka uulizwe?Hujiongezi hilo ndo tatizo lenu.
It seems you got it. Christianity is not a religion, in contrast, non theism is a religion.


Unajua maana ya dini?,Unajua maana ya kanisa ?
read my first reply. Nimekufundisha maana ya dini yenu. Church means congregation. Ndio maana nilisema nyie mnaenda KANISANI.
images


We are the best thinker !.Did the Mike used in Vatican come from Heaven?,Y do Pop's documents stored in Laptops instead of leaves and flat stones ?.Did Jesus say so?.Or did Laptops come from Heaven?
You are not. You FAILED o support your notions, ad infinitum. HUWA HAWAJISIFII.


Did you ever supported your Arguments that God exists with even one evidence for his existence ?
A MILLION TIMES

Are you sure?Prove!
You did already. Jikumbushe post zako, utao ulisha kiri wee na yule God Hater kuwa kuna Mungu na mnatumia IMANI. I don't have to remind you this.



Atheism na Theism nani tegemezi.Dini imewahi kugundua nini cha maana?.Okay basi hata kisicho cha maana?
NON THEISM NI TEGEMEZI. Bila ya SISI Nyie hampo. You know that. Sisi Mungu wetu Katengeneza Dunia na kila kitu, wewe umefanya kipi zaidi ya kutumia materials zetu na kugeuza creation. WE STARTED EVERYTHING, you are a follower.


Hata tukianzisha fedha haitasaidia kama watu kama nyie (wenye uoga wa kuhoji na wasio jitambua)mtaendelea kuwepo!.
SASA BILA YA Pesa unawez hata kuetengeneza Pombe ya Ulanzi mnayo ipenda nyie non theists?


Mi sijasema scientists wote ni Atheist!,Na sio lazima wote wawe Atheist.
KUMBO UNAANZA KUOGOPA NA KUKIRI. Naam we control the ball.

Swali lako litakuwa na maana iwapo Papa atasafiri kwa mwanakondoo kwenda kwao Argentina!,ama aandike mahubil yake kwenye majani ya migomba.Na pale mecca watumie vijinga vya moto kumulikia wakati wa swala!,na shekhe apande ngamia kwenda jordani.
NINA FAHAMU KUWA HUWEZI KUNIJIBU, WEWE SIO WA KWANZA KUKIMBIA MASWALI YANGU. Eti swali langu halina maana, unafahamu maana ya maana?


Ninayo tangu mwaka jana lakini asante.
You are most welcome

Sio kwel,Unatakiwa ujue hakuna tajiri anayeamini katika Mungu na kufuata yale asemayo,kama yupo ni mnafiki.Na hakuna Atheist maskini ila kuna Believers mabilini ambao ni maskini.
Acha uongo weye. Mtaje non theist ambaye ni tajiri.

Prove that god exists
JESUS IS GOD and does exist.

Sio kosa aliplay part yake na sio lazima tumfuate.Kwani padri akibaka na wewe utabaka?.Si mnaambiwaga mfuate mafundisho yao sio matendo yao!?.
Sasa wee unafuata mafundisho yenu kuwa wewe unandugu pale Mikumi "Monkeys"? Do you believe in that malarkey?

atheist-church1-e1380035534136-620x371.jpg
 
Christian is the court of human sacrifice! Its not the religion that repute the human sacrifice !No!
Its a kind of Religion that celebrates the single humani sacrifice as a whole factor,they say"God loves the World that he gave his only son""!john 3:16.This is PETTY.It doesn't make any sense that someone must suffer n die in oder to let others enter into gods kingdom!,

We come from people who used to bury children under the foundations of the buildings as offering to their imaginary god.,Hebu fikilia yaani watu wanazika watoto wakiume wakiwa wazima wakati wa kujenga misingi ya nyumba ili mungu asije liangusha jengo!.Huyu mungu ni yupi?.This is the source of the people who wrote the bible!.you just think about it af nambie huyu mungu mungu gani?.
 
Back
Top Bottom