Complex person ni mtu gani?

Complex person ni mtu gani?

Hawa hawatabiriki, mara nyingi hujiangalia wao, kwenye situations mbalimbali si rahisi kujua anachokifikiria Hadi aseme au afanye, kuwa tofauti na wengine kimawazo siyo dhambi kwake, Hawa wapenzi wao huvumilia mengi sana na kufanya kazi ngumu au ndefu siyo shida kwao ilimradi iishe (mzigo mzito mpe mnyamwezi), kuwa busy kwao siyo ishu na ukitaka kazi yako iishe mpe mtu wa aina hii ila kama ukimpa kazi usijali kuhusu muda maana anaweza asiimalizae Kwa muda unaotaka for different reasons but mind you lazima iishe tena vizuri...Kuna tofauti ndogo au mstari mwembamba unaotofautisha kati ya complicated person na mtu/watu wajuaji, wabinafsi, wachoyo, wasiojiamini, wenye ego and the likes!.
Mbna ni mie huyu kabisaa.
 
Complex Person ni yule mtu ambae unazani unamjua kwa undani kumbe haujui kitu chochote kuhusu yeye na mwisho wa siku utabaki unashangaa tu na usimuelewe ... Ni watu ambao hawatabiriki na mara nyingi wanakuwa wasiri mno

Kila anachokifanya complex person kinaleta majibu ya kushangaza either in positive or negative ways

Complex people are curious, intelligent, and imaginative people who generally think outside of the box.
Ni mie huyu kabisaaa.
 
Yaani akifika baa akaagiza bia ya moto muhudumu akakosea akaleta ya baridi halafu akafungu..... huo mziki wake utadhani katukaniwa mama yake
Kosea umkanyage kwenye daladala sasa, au umchomekee yupo na ka virtz kake [emoji23]
Kaoe kwake sasa utalipa hadi kikoi cha marehemu babu wa mjomba wake bila hivyo hakuna ndoa

Ila yeye sasa akikosea atakavyo kuwa mkali kuhalalisha kwanini kakosea [emoji23][emoji23]

Yaani huwa wanataka vitu viende kwa mujibu wa mtazamo wao tu..... kinyume cha hapo changamoto sana hawana subira, wabinafsi, wajuaji, wana ego sana ila wanakuaga na akili mingi sana

Ni mfano tu

Aisee need to change some characters.
 
Complex Person ni yule mtu ambae unazani unamjua kwa undani kumbe haujui kitu chochote kuhusu yeye na mwisho wa siku utabaki unashangaa tu na usimuelewe ... Ni watu ambao hawatabiriki na mara nyingi wanakuwa wasiri mno

Kila anachokifanya complex person kinaleta majibu ya kushangaza either in positive or negative ways

Complex people are curious, intelligent, and imaginative people who generally think outside of the box.

Aisee noma sana. Naona navogombana na watu wanaofanya kazi kwa msahafu [emoji1]
 
Being a complex person is very good and it's a symbol of genius. No one can either imitate or guess your next step. Najiona mimi [emoji435]
 
Being a complex person is very good and it's a symbol of genius. No one can either imitate or guess your next step. Najiona mimi [emoji435]
"No one can imitate you" kivp Mkuu?
 
The way definition zinavyosema naona hawa ni aina ya watu hawachukulii kitu Kimasihara means kila kitu wanakiangalia kwa ukubwa , tunaona wapo complicated kwasababu hata lile ambalo unaweza kulisolve kwa shortcut yeye anataka straight Yani kifuate sheria jinsi inavyotaka (I think mnaelewa kufuata utaratibu wa kisheria ulivyo na jinsi watu hatupendi huko)

Saa nyingine hawa huonekana kuna mstari mwembamba kati ya roho mbaya na hawa watu ila pia kuna muda hulaumiwa kwa kutaka kila kitu kifuate sheria kitu ambacho huenda kuna muda wanakuwa sahihi
 
Ninachokiona hapa ni kwamba watu wote wailocomment wanapenda kurelate, au kuhusishwa na kitu fulani. Inshort huu uzi umejaa wabinafsi, self absorbed na self centered people. Constantly searching for admiration and validation.
Kila mtu anajiongelea yeye.

Uzi umejaa Narcissists.
 
Hawa hawatabiriki, mara nyingi hujiangalia wao, kwenye situations mbalimbali si rahisi kujua anachokifikiria Hadi aseme au afanye, kuwa tofauti na wengine kimawazo siyo dhambi kwake, Hawa wapenzi wao huvumilia mengi sana na kufanya kazi ngumu au ndefu siyo shida kwao ilimradi iishe (mzigo mzito mpe mnyamwezi), kuwa busy kwao siyo ishu na ukitaka kazi yako iishe mpe mtu wa aina hii ila kama ukimpa kazi usijali kuhusu muda maana anaweza asiimalizae Kwa muda unaotaka for different reasons but mind you lazima iishe tena vizuri...Kuna tofauti ndogo au mstari mwembamba unaotofautisha kati ya complicated person na mtu/watu wajuaji, wabinafsi, wachoyo, wasiojiamini, wenye ego and the likes!.
Kwa kuongezea huwa hawashauriki ni mara chache sana kupokea au kuufanyia kazi ushauri wa mtu mwingine.

Ni wapenda sifa.
Hujiona ana uwezo na kila kitu wakati si kweli
 
Ninachokiona hapa ni kwamba watu wote wailocomment wanapenda kurelate, au kuhusishwa na kitu fulani. Inshort huu uzi umejaa wabinafsi, self absorbed na self centered people. Constantly searching for admiration and validation.
Kila mtu anajiongelea yeye.

Uzi umejaa Narcissists.
TOP G [emoji3]
 
Hawa hawatabiriki, mara nyingi hujiangalia wao, kwenye situations mbalimbali si rahisi kujua anachokifikiria Hadi aseme au afanye, kuwa tofauti na wengine kimawazo siyo dhambi kwake, Hawa wapenzi wao huvumilia mengi sana na kufanya kazi ngumu au ndefu siyo shida kwao ilimradi iishe (mzigo mzito mpe mnyamwezi), kuwa busy kwao siyo ishu na ukitaka kazi yako iishe mpe mtu wa aina hii ila kama ukimpa kazi usijali kuhusu muda maana anaweza asiimalize Kwa muda unaotaka for different reasons but mind you lazima iishe tena vizuri...Kuna tofauti ndogo au mstari mwembamba unaotofautisha kati ya complicated person na mtu/watu wajuaji, wabinafsi, wachoyo, wasiojiamini, wenye ego and the likes!.
 
Complex person
If you're looking for a simple definition, a complex personality is a person who forms his own opinions, questions everything, is naturally curious, is fluid in terms of his beliefs and points of views, and is not dependent on external constructs to decide how he/she might react in a particular social setting.
 
Yaani akifika baa akaagiza bia ya moto muhudumu akakosea akaleta ya baridi halafu akafungu..... huo mziki wake utadhani katukaniwa mama yake
Kosea umkanyage kwenye daladala sasa, au umchomekee yupo na ka virtz kake [emoji23]
Kaoe kwake sasa utalipa hadi kikoi cha marehemu babu wa mjomba wake bila hivyo hakuna ndoa

Ila yeye sasa akikosea atakavyo kuwa mkali kuhalalisha kwanini kakosea [emoji23][emoji23]

Yaani huwa wanataka vitu viende kwa mujibu wa mtazamo wao tu..... kinyume cha hapo changamoto sana hawana subira, wabinafsi, wajuaji, wana ego sana ila wanakuaga na akili mingi sana

Ni mfano tu
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Yaani akifika baa akaagiza bia ya moto muhudumu akakosea akaleta ya baridi halafu akafungu..... huo mziki wake utadhani katukaniwa mama yake
Kosea umkanyage kwenye daladala sasa, au umchomekee yupo na ka virtz kake [emoji23]
Kaoe kwake sasa utalipa hadi kikoi cha marehemu babu wa mjomba wake bila hivyo hakuna ndoa

Ila yeye sasa akikosea atakavyo kuwa mkali kuhalalisha kwanini kakosea [emoji23][emoji23]

Yaani huwa wanataka vitu viende kwa mujibu wa mtazamo wao tu..... kinyume cha hapo changamoto sana hawana subira, wabinafsi, wajuaji, wana ego sana ila wanakuaga na akili mingi sana

Ni mfano tu
Hawana akili ni ego driven people.
 
Ninachokiona hapa ni kwamba watu wote wailocomment wanapenda kurelate, au kuhusishwa na kitu fulani. Inshort huu uzi umejaa wabinafsi, self absorbed na self centered people. Constantly searching for admiration and validation.
Kila mtu anajiongelea yeye.

Uzi umejaa Narcissists.

Mkuu wakati mwingine experience ni darasa zuri sana

Ukiwachukua wanawake waathirika wa vitendo vya unyanyasaji ukiwauliza utapata experience tofauti tofauti sana lakini zenye mlengo mmoja

Ukisoma replies za huu uzi utapata mwanga mzuri sana wa kilicho ulizwa kuliko ungepewa tafsiri moja

BTW tupe jibu lako basi
 
Complex person is the one who made up of two or more personalities characteristics (undefined person).
 
Back
Top Bottom