Habari yako2
Member
- Dec 26, 2023
- 17
- 14
Ubinafsi ndiyo udhaifu wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Complexity" ni vitu vya kusadikika. Wanasema anaemuona mwenzake ana "complex" fulani basi naye pia ana "complex".Habari Wanabodi
Nimeona quotes mbalimbali kuhusu complex person, je hawa ni watu wenye traits zipi?
Je umeshawahi washuhudia? Inasemekana ni watu wenye kuvutia at the same time ni dangerous people.
Ni watu vigumu kusomeka na kutabirika, ni watu wasiotabirika kifikra, kimaamuzi na kivinginevyo
Je, unajua nini kuhusu watu hawa, Je umeshawahi washuhudia? Toa experience yako
JF, home of Tanzanians great thinkers!
View attachment 2797692