Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zina mikusanyiko, mikutano na makongamano ya kudai Katiba mpya.Niliwahi kuandika na leo narudia ili angalau tutafakari kwa makini na ikiwezekana tuwasaidie Polisi na pia wanasiasa wa upinzani.Kila anayekamatwa jambo la kwanza ni kuchukuliwa compuetr na simu yake.Zina nini hizi?
WanamaIT wao wataalamu hasa, yaani wanaifungua fasta tuHivi nikigoma kufungua nakuwa nimekiuka sheria?
Hapana aisee, mimi labda waformat simu na hapo kama kuna evidence itakuwa cleared. Lkn kudukua hawawezi.WanamaIT wao wataalamu hasa, yaani wanaifungua fasta tu
Lema alikuwa analalamika hazirudi TCRA wana simu zake 10Mwisho wa siku wanazirudisha wenyewe
Ni wizi tu huoLema alikuwa analalamika hazirudi TCRA wana simu zake 10
Mi najitolea kufunga cctv na mifumo mingine ya ulinzi kwa viongozi wa chama. Kwa anayehitani, just inboxInatakiwa waweke password kila file.
Hamna kufungua labda waflashi simu nzima.
Ila hawa wapinzani wetu sijui kama wanajua hili. Nyumbani kwa Mbowe kwenyewe hata CCTV hamna, ameenda kusachiwa hakuna video yoyote kwenda kwa wanachama wake.
Dodoma hivyo nyumbani kwake hata CCTV hana walimpiga wakamvunja wakamuacha hapo.
Wapinzani wawe serious!
Utakuwa umewasaidia sana.Mi najitolea kufunga cctv na mifumo mingine ya ulinzi kwa viongozi wa chama. Kwa anayehitani, just inbox
Baada ya Sheria zingine kuferi waje na nyingine mpya ya kosa la kutakatisha suruali.Mwisho wa siku wanazirudisha wenyewe
Ni kutafuta namna ya kubambika kesiNiliwahi kuandika na leo narudia ili angalau tutafakari kwa makini na ikiwezekana tuwasaidie Polisi na pia wanasiasa wa upinzani.Kila anayekamatwa jambo la kwanza ni kuchukuliwa compuetr na simu yake.Zina nini hizi?