Computer na smartphone za wanasiasa wa upinzani zina nini?

Computer na smartphone za wanasiasa wa upinzani zina nini?

Niliwahi kuandika na leo narudia ili angalau tutafakari kwa makini na ikiwezekana tuwasaidie Polisi na pia wanasiasa wa upinzani.Kila anayekamatwa jambo la kwanza ni kuchukuliwa compuetr na simu yake.Zina nini hizi?
Nyenzo za mawasiliano .. Lakini ni ushamba wa kizamani kwakuwa siku hizi technology imekua sana
 
WanamaIT wao wataalamu hasa, yaani wanaifungua fasta tu
Mwaka 2016 FBI walishindwa ku-unlock iPhone ya mtuhumiwa wa ugaidi Syed Rizwan Farook, wakawataka Apple Inc waifungue na Apple wakagoma wakisema hata wao apple hawana uwezo huo, baadae FBI kukwepa aibu wakasema walikodi kampuni la ki-Israel na wakaifungua simu hiyo, jambo ambalo halikuwa kweli.

Mwaka 2020 pia FBI walishindwa ku-unlock simu ya Mohammed Saeed Alshamrani ambazo zilikuwa na password, na katika kukwepa aibu, baadae wakatoa taarifa ya uongo kuwa wamefanikiwa kuzifungua simu hizo.

Kwa sababu ya ulinzi wa data zao, Viongozi wengi wanatumia iPhone na macbooks. Sasa hao IT wa polisi wetu ndio wataweza kweli?
 
Inatakiwa waweke password kila file.
Hamna kufungua labda waflashi simu nzima.

Ila hawa wapinzani wetu sijui kama wanajua hili. Nyumbani kwa Mbowe kwenyewe hata CCTV hamna, ameenda kusachiwa hakuna video yoyote kwenda kwa wanachama wake.
Dodoma hivyo nyumbani kwake hata CCTV hana walimpiga wakamvunja wakamuacha hapo.

Wapinzani wawe serious!
Alivunjwa wapi wakati alikuwa ameanguka baada ya kulewa Maisha Club. Jibapa acha uongo.
 
Mwaka 2016 FBI walishindwa ku-unlock iPhone ya mtuhumiwa wa ugaidi Syed Rizwan Farook, wakawataka Apple Inc waifungue na Apple wakagoma wakisema hata wao apple hawana uwezo huo, baadae FBI kukwepa aibu wakasema walikodi kampuni la ki-Israel na wakaifungua simu hiyo, jambo ambalo halikuwa kweli.

Mwaka 2020 pia FBI walishindwa ku-unlock simu ya Mohammed Saeed Alshamrani ambazo zilikuwa na password, na katika kukwepa aibu, baadae wakatoa taarifa ya uongo kuwa wamefanikiwa kuzifungua simu hizo.

Kwa sababu ya ulinzi wa data zao, Viongozi wengi wanatumia iPhone na macbooks. Sasa hao IT wa polisi wetu ndio wataweza kweli?
Yani FBI unawachukuliaje mkuu. Kama Mexico, India na Kuwait zimeweza kuhack iPhone 12 yenye iOS latest kwa kutumia Pegasus spyware ya Israel sembuse FBI. Tena ni zero click inaingia file lolote na kutuma data zote SMS, call list, phone book, audio, video, photos, location, etc.

Wakati Pegasus inaanza kutumika sana 2020 na kuuzwa, hapo kuna wataalamu washakuwa na njia za kufungua data bila kuuza hizo njia. Kama Pegasus isingekuwa inauzwa kama bidhaa tusingejua hadi leo
 
Yani FBI unawachukuliaje mkuu. Kama Mexico, India na Kuwait zimeweza kuhack iPhone 12 yenye iOS latest kwa kutumia Pegasus spyware ya Israel sembuse FBI. Tena ni zero click inaingia file lolote na kutuma data zote SMS, call list, phone book, audio, video, photos, location, etc.

Wakati Pegasus inaanza kutumika sana 2020 na kuuzwa, hapo kuna wataalamu washakuwa na njia za kufungua data bila kuuza hizo njia. Kama Pegasus isingekuwa inauzwa kama bidhaa tusingejua hadi leo
Mkuu hilo suala la FBI kushindwa kufungua zile simu mbona linajulikana tu!
Walitoa taarifa tena kwenye VOA world news, na wakaomba Apple kuwasaidia
Nakumbuka Apple licha ya kusema hawawezi, pia walisema hadi mtumiaji aruhusu coz wakiifungua bila ridhaa yake watakuwa wamekiuka terms.
Usibishe tu, fuatilia kujua ukweli ndio uje u-comment
 
Humo serikali na
Niliwahi kuandika na leo narudia ili angalau tutafakari kwa makini na ikiwezekana tuwasaidie Polisi na pia wanasiasa wa upinzani.Kila anayekamatwa jambo la kwanza ni kuchukuliwa compuetr na simu yake.Zina nini hizi

Niliwahi kuandika na leo narudia ili angalau tutafakari kwa makini na ikiwezekana tuwasaidie Polisi na pia wanasiasa wa upinzani.Kila anayekamatwa jambo la kwanza ni kuchukuliwa compuetr na simu yake.Zina nini hizi?
Humo ndimo CCM na TRA wanamowapata wanaowapa misaada ya fedha wapinzani na viongozi wa CCM na serikali wanaoshirikiana na wapinzani.
 
Mkuu hilo suala la FBI kushindwa kufungua zile simu mbona linajulikana tu!
Walitoa taarifa tena kwenye VOA world news, na wakaomba Apple kuwasaidia
Nakumbuka Apple licha ya kusema hawawezi, pia walisema hadi mtumiaji aruhusu coz wakiifungua bila ridhaa yake watakuwa wamekiuka terms.
Usibishe tu, fuatilia kujua ukweli ndio uje u-comment
Ninabisha 100% wakati unafatilia pia jijulishe kwa nini FBI waliiomba Apple iwafungulie data. Wao waliamini kwa vile walitumia kigezo cha kukamata waarifu lakini Apple wakatumia sheria ya privacy

Hapo mwanzo FBI hawakuwa na interest na kufungua iPhones ila ilipotokea wahuni wote wanatumia hizo ikawepo uhitaji. Huwezi kuwa serious kuamini nchi inayohack Kansela wa Ujerumani inashindwa kupata data za wazururaji barabani kisa wana iPhone

Na hilo la Pesagus spyware unalichukuliaje. NSO, kampuni binafsi ya Israel haina mafungamano na serikali yoyote imeamua kufanya biashara ya tracking kwa kulipiwa dola laki kadhaa. Hata wewe hapo ukienda wanakuuzia kifurushi na ukitaka kutrack Android au iPhone yoyote unalipia. Hiyo ni private company, sembuse mashirika kama Mossad, M16 na FBI

Siku Apple waitishe challenge ya kuwa hacked uone vijana nchi hasa Russia na Israel wanacrack
 
Ni hatar sana kwa nchi kuwa na polisi wasiaminika kiasi hicho!
Kunasiku nilipata access ya cmu ya polisi mmoja wa hapo makao maku. Aisee niliyoyaona humo hakika dola ina mipango miovu sana na upinzani na ccm inaitegemea polisi kwa kiasi kikubwa sana.
 
Mkuu hilo suala la FBI kushindwa kufungua zile simu mbona linajulikana tu!
Walitoa taarifa tena kwenye VOA world news, na wakaomba Apple kuwasaidia
Nakumbuka Apple licha ya kusema hawawezi, pia walisema hadi mtumiaji aruhusu coz wakiifungua bila ridhaa yake watakuwa wamekiuka terms.
Usibishe tu, fuatilia kujua ukweli ndio uje u-comment
Wameshafungua iphone. Soma hii hapa

 
Back
Top Bottom