CONCERN: Why are all car manufacturers setting up shop in Kenya? Iko wapi Tanzania ya viwanda?

Umeona aliyechaguliwa kuwa CEO wa TIC? Alikuwa mkuu wa Wilaya Singida Sishangai kampuni kwenda Kenya niko disappointed for sure.

Tatizo siyo TIC
Tatizo liko wazi kabisa, tatizo makodi mengi na mlolongo mrefu na cooparate tax 30% kubwa, nani aje sasa?
 
Tatizo siyo TIC
Tatizo liko wazi kabisa, tatizo makodi mengi na mlolongo mrefu na cooparate tax 30% kubwa, nani aje sasa?
Mi sidhani kama kodi ni tatizo.
It should be that hata kodi iwe kubwa vipi mwekezaji bado atataka kuja Tanzania.
Solution sio kupunguza kodi, in my view. Mi naona infrastructure. That is where Kenya wametupiga bao.
 
Wanampaka the alcoholism awereness month wenzetu hiz iniatives zinaanzishwa na watu binafsi mfano mzuri ni HuYu David Ogot his doin a verY great job Tunao kina kalapina hapa wana same project kama ilikuwa sio a man hunting project where not financing hawa kina kalapina there duin a good job ..na MC (Manicipal council ) in move own kwenYe other priorities Kina J.P.Morgan vandabelt hawakuwa serikali lakin ndo walio build na kuishape modern America....same problem Identity nan afanye nn na wakat gan ? hatujui
 
Mi sidhani kama kodi ni tatizo.
It should be that hata kodi iwe kubwa vipi mwekezaji bado atataka kuja Tanzania.
Solution sio kupunguza kodi, in my view. Mi naona infrastructure. That is where Kenya wametupiga bao.

Mkuu
Ndiyo infrastucture na umeme ni moja ya sababu. Lakini pia kodi ni moja ya tatizo kubwa sana Tanzania.
Mfano hivyo viwanda vinaingiza vipuri vya ku assemble hayo magari ama kitu chochote na ukiangalia pale bandarini tax yake inazidi thamani ya hicho kipuri kinachoingizwa. Ukitoka hapo, akitengeneza faida baada ya kuuza tuseme gari anakatwa cooperate tax ya 30%.

Nani mjinga wa hivyo? na hata akiwa mjinga akaendelea bas bei ya hicho kitu anachotengeneza itakuwa ni 300% kwa mteja wa mwisho. In return, hatafanya biashara bidhaa yake inakuwa bei kali na hatauuza kitu na hivyo inamfanya mtumiaji wa mwisho bora anunue kutoka korea hilo gari alipe tax bandarini 150%

Tanzania ishushe tax hadi around 10% at the very most. hii iwe income, import, cooperate na hata kwenye bank unapokopa interest rate yapaswa kua hivyo.
 
Sababu zinazotolewa na wataalamu, kutoka kwenye hio article kuhusu kufungwa kwa viwanda ni
  1. Cheap ILLEGAL imports
  2. Stiff competition from similar products
  3. SUBSIDIZED imports from India, Singapore, Malaysia and China
Ni sababu hizi hizi za matairi feki kutoka China ndio sababu za kufa General tyre na kampuni nyingine kibao zilizokuwepo Tanzania. Kama EAC, nadhani tunahitaji kuwa na sera za pamoja za kulinda viwanda vyetu dhidi ya Waasia. Subsidy policy za India na China kwa wawekezaji wao zimeua viwanda vingi sana duniani. Kwa Marekani, steel Industry kule Detroit na maeneo mengine imekufa baada ya Wachina kuzalisha steel ya bei rahisi kutoka migodi ya Brazil na kusambaza kwenye viwanda vya magari na bidhaa nyingine.
Tunahitaji common strategy kama EAC, na sio nchi moja moja.
 
Umeona aliyechaguliwa kuwa CEO wa TIC? Alikuwa mkuu wa Wilaya Singida Sishangai kampuni kwenda Kenya niko disappointed for sure.
Umeona aliyechaguliwa kuwa CEO wa TIC? Alikuwa mkuu wa Wilaya Singida Sishangai kampuni kwenda Kenya niko disappointed for sure.
Umeona aliyechaguliwa kuwa CEO wa TIC? Alikuwa mkuu wa Wilaya Singida Sishangai kampuni kwenda Kenya niko disappointed for sure.
Umeona aliyechaguliwa kuwa CEO wa TIC? Alikuwa mkuu wa Wilaya Singida Sishangai kampuni kwenda Kenya niko disappointed for sure.
Mkuu we unamfahamu vizuri mwambe? si wote walioko kwenye siasa ni wanasiasa.Na kumbuka zile ni teuzi tu.Kama wewe ni mwalimu tukikupa ukuu was mkoa sio kwamba taaluma Yako imekufa.Magufuli analo faili la Geoffrey anamfahamu toka akiwa BOT.Suala La uwekezaji linategemea mambo mengi,huko Kibiti mwekezaji akikimbia utamlaumu Mwambe?kama umeme wa uhakika Hanna napo utamlaumu Mwambe.Acha majungu we endelea kunywa pingu uko Geza ulole.
 
Serious? I'm disappointed as well!


Tangu lini mwanasiasa akajua mambo haya? kwa hili namshushia JPM credits[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Serious? I'm disappointed as well!


Tangu lini mwanasiasa akajua mambo haya? kwa hili namshushia JPM credits[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Mkuu wewe unaamini kila mkuu wa wilaya ni Mwanasiasa omba cv yake yule si mwanasiasa.Alikuwa mkuu wilaya kwa Sababu ilikuwa in fursa hata wewe ungeacha taaluma yako na kwenda.Magufuli alimtoa Mwambe BOT.Na alipomuweka ni sawa sawa kabisa.
 
Ile position ipo sensitive inahitaji vetting na si uteuzi wa rais! Mwambe hana CV ya kupewa cheo kile kama unabisha leta CV yake hapa!
 
This comment has made my day. Good thinking comrade!
 
Mkuu wewe unaamini kila mkuu wa wilaya ni Mwanasiasa omba cv yake yule si mwanasiasa.Alikuwa mkuu wilaya kwa Sababu ilikuwa in fursa hata wewe ungeacha taaluma yako na kwenda.Magufuli alimtoa Mwambe BOT.Na alipomuweka ni sawa sawa kabisa.
Fuatilia post za huko nyuma utaelewa! Hata mwigulu amefanya kazi BOT na ni mwanasiasa na anafanya mambo kwa matakwa ya kisiasa!

Pili, ni ukweli usiopingika kuwa wakuu wa mikoa na wilaya ni makada wa vyama! Kwa mfumo wa Tanzania iko hivyo, hata kitawale chama gani, labda katiba ibadilishwe
 
True kaka but also we need a cap used cars import at 8ys or below..mostly new cars are bought by the govt n rarely u see mwananchi wa kawaida going for the new year ones...
 
mtoa mada sahau viwanda nchi hii, Viwanda alivyofanikisha Magufuli ni vya kwenye Magazeti, Majukwaa na kwenye Hotuba mfano kama ile ya mama Samia Suluhu juzi kati...Statistics kibaaaao, oooh, mara Tanzania imefikia lengo la viwanda kwa 7.1%....kama kuna mtu hata aliye hukohuko serikalini, naomba anipeleke kwenye hata Kiwanda kimoja kilichojengwa na Serikali ya Magufuli, nionane na wafanya kazi, aki nitampa 5 Million cash.

Serikali iko busy kuifanya CCM ndio serikali...Rais yuko busy kusamehe watu kwa kutompigia kura...Wakuu wa mikoa wako busy kuramba rambi rambi...Wabunge wako busy kususia kuwawekea dhamana Mameya wao wakiitega kusubiri Polisi itawashtaki vipi!!....

JAMANI...Tanzania ya viwanda ni wewe na mkeo na watoto wako, full stop.
 
Customer base ya Kenya ni kubwa sana kuzidi ya Tz, Tz watu wanaonunua gari mpya kabisa ni wa kuhesabika, magari mapya Tz ni kwa ajili ya government, makampuni binafsi and the likes, wengi wanafikiria kiwanda kikawa hapa basi bei itapungua, la hasha, kununua IST mpya kwa 30ml ni wangapi wataweza hizo bei.

Suluhisho la kwanza ni miundombinu bora na sekta ya fedha iwe rafiki zaidi. Mikopo ya usafiri Tz ni kama hamna, usafiri bado unaonekana kama sehemu ya anasa, sekta ya fedha ipunguze masharti magumu na kuanza kutoa mikopo ya riba nafuu.
 
Haswa Mkuu na hawa wenye hizi kampuni naamini watakua wanafanya utafiti ni wapi pana returns za.uhakika kwa biashara zao...kwa sasa hatuhitaji hizi assembly labda miaka ijayo..Kenya hata fuso na canter wanaingia show room..sasa hapa ni used imports...kwa hapa tunahutaji viwanda vya kuongeza value for import maembe(tabora),machungwa(tanga) korosho(tandahimba),karafu(tanga), azieti( singinda) na kadhalika ili wale wakulima wapate value for money na tukuze uchumi wetu kila pembe ya nchi
 
Umeona aliyechaguliwa kuwa CEO wa TIC? Alikuwa mkuu wa Wilaya Singida Sishangai kampuni kwenda Kenya niko disappointed for sure.
Umeona aliyechaguliwa kuwa CEO wa TIC? Alikuwa mkuu wa Wilaya Singida Sishangai kampuni kwenda Kenya niko disappointed for sure.
Tatizo lako ni 1 tu, umemfahamu Mwambe akiwa mkuu wa wilaya tu, haujui huko nyuma alikua nani kabla hajaingia kwenye siasa, kukuweka sawa ni kuwa Jamaa ni mtaalamu wa Uchumi aliyeitumikia BOT kwa muda mrefu sana
 
Sori value for export
 
We need to be serious when it comes to issue of realibility of Power, Electricity is development We don't need politics in issue of power generation and availability that's the reason behind of investors to set up a business in kenya
 
Mi sidhani kama kodi ni tatizo.
It should be that hata kodi iwe kubwa vipi mwekezaji bado atataka kuja Tanzania.
Solution sio kupunguza kodi, in my view. Mi naona infrastructure. That is where Kenya wametupiga bao.
Unapo zungumzia infrastructure unazumgumzia barabara na madaraja au officers and factory spaces. Au umeme na maji?? Kiwanda cha matreka kiko katika hatua za mwisho, kampuni ya AVIC International Beijing karibu kuanza kujenga heavy industrial machinery (earth excavators etc) tena wanatumia chuma chetu cha hapa hapa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…