Condom ilipasuka nikiwa katikati ya tendo. Ninaishi kwa hofu bado

Condom ilipasuka nikiwa katikati ya tendo. Ninaishi kwa hofu bado

Joined
Jun 9, 2024
Posts
17
Reaction score
30
Wakati nafanya tendo kwenye round ya pili, nikawa nakaribia kukojoa nikagundua condom imevuja.

Kumuambia mwenzangu tukapime, akawa mkali sana. Nilifanya kila jitihada akawa ananikimbia, leo ni siku ya 65 imepita nimeenda kupima nipo negative. Hii ina accurancy kiasi gani?

Nasubiri tena siku 25 zilizobaki, ila naishi na msongo wa mawazo
 
Kwani kama sio mke inatakiwa round ngapi mkuu?😁
Asiye mke, ni kama usingizi tu au jini mahaba; moja! Watasimuliana na kuongea mpaka wachoke, wanaweza kutafuta hela, wanunue dildo wanazoweza kuziendesha na kuziamrisha!

Mara mia urudie raundi kwenye puchu, unajua wote mko page moja, wewe na mwenzio, sio unasugua huku una mawazo tele;
  • kama unajua kumzidi aliyepita
  • kama size yako inamtosha
  • kama anafika au lah
  • ataomba sh ngapi
  • nani mwingine anamchenjua n.k

....unatafuta nini kwa hawa viumbe waliopoteza muelekeo kwa sasa?
 
Bora usingetumia condom.siku 90 ndo uhakika. sijui kama umesalimika.bora usingetumia condom utelezi ungekuokoa.hadi condom inapasuka inaelekea kitu kilikauka full mchubuano tena round ya 2 yaani.unagegeda hivo upate nini? Si ulikuwa ushakojoa??
 
Bora usingetumia condom.siku 90 ndo uhakika. sijui kama umesalimika.bora usingetumia condom utelezi ungekuokoa.hadi condom inapasuka inaelekea kitu kilikauka full mchubuano tena round ya 2 yaani.unagegeda hivo upate nini? Si ulikuwa ushakojoa??
Labda Raundi ya kwanza alikojoa kama jogoo.

Kwa hiyo akaona autafute utamu halisi round ya 2
 
Back
Top Bottom