Condom ilipasuka nikiwa katikati ya tendo. Ninaishi kwa hofu bado

Condom ilipasuka nikiwa katikati ya tendo. Ninaishi kwa hofu bado

Leo naona nyuzi za majuto zimetamalaki, kule kuna uzi wa gono na huku kuna uzi wa ndomu kuchanika...

Kijana relax upo safe, wiki 2 tu zingetosha kuonesha maambukizi...
 
Nilishapata kisa cha namna hiyo, nilikuwa sjampima huyo dada, baadae tulipima, yeye akawa positive, mi negative, baada ya miez mitatu nikarudia kupima, nilikuwa salama. Tulia na rudia kupima baadae
 
Hapa kichwa kinaniuma juzi nmeuza mechi alisema tupime nkamwambia poa hakuleta vipimo akanambia tutatumia PEP nkamuuliza kwanini PEP nan atakunywa?
Nlkua nshapiga 1 tayar nkakandamiza vingine vitatu

If I die I die
 
Screenshot_20240709-103743.jpg
 
Wakati nafanya tendo kwenye round ya pili, nikawa nakaribia kukojoa nikagundua condom imevuja.

Kumuambia mwenzangu tukapime, akawa mkali sana. Nilifanya kila jitihada akawa ananikimbia, leo ni siku ya 65 imepita nimeenda kupima nipo negative. Hii ina accurancy kiasi gani?

Nasubiri tena siku 25 zilizobaki, ila naishi na msongo wa mawazo
🤣🤣🤣🤣 Wasiwasi wako tu boss
 
Back
Top Bottom