Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru sana kwa kunipa moyo65 days ago ni karibia na miezi miwili, naona dalili kubwa kwako kuwa salama.
Nashukuru sana kwa kunipq moyoSiku 65 n nying uko salama kikubwa liwe funzo kwako kuwa makin sana
Mhhh!
Haukutumia kinga kk na ulimpa baada ya muda gani?Nilishapata kisa cha namna hiyo, nilikuwa sjampima huyo dada, baadae tulipima, yeye akawa positive, mi negative, baada ya miez mitatu nikarudia kupima, nilikuwa salama. Tulia na rudia kupima baadae
Kwanini kaka?HIV ni scam.
Had wee Dr? Bas kazi ipooo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa kichwa kinaniuma juzi nmeuza mechi alisema tupime nkamwambia poa hakuleta vipimo akanambia tutatumia PEP nkamuuliza kwanini PEP nan atakunywa?
Nlkua nshapiga 1 tayar nkakandamiza vingine vitatu
If I die I die
Hata yeye ni dr katavi hukuHad wee Dr? Bas kazi ipooo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣 Wasiwasi wako tu bossWakati nafanya tendo kwenye round ya pili, nikawa nakaribia kukojoa nikagundua condom imevuja.
Kumuambia mwenzangu tukapime, akawa mkali sana. Nilifanya kila jitihada akawa ananikimbia, leo ni siku ya 65 imepita nimeenda kupima nipo negative. Hii ina accurancy kiasi gani?
Nasubiri tena siku 25 zilizobaki, ila naishi na msongo wa mawazo
Ili ugundue nini lo acha hizoooo!