Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Upasukaji sweetheart... Kuona ni kujifunza...Ili ugundue nini lo acha hizoooo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upasukaji sweetheart... Kuona ni kujifunza...Ili ugundue nini lo acha hizoooo!
Akili zako sasa 😊Upasukaji sweetheart... Kuona ni kujifunza...
Kwa nini aishi kwa hofu wakati hakuna madhara yoyote...Akili zako sasa 😊
Wapime afya waenjoy nyama kwa nyamaa kwaraha zaoo!Ndomu haileti radha ya tendo lo raha vitu vigusane banaaa😛!Kwa nini aishi kwa hofu wakati hakuna madhara yoyote...
Ameshapima lakini bado anaishi kwa hofu...Wapime afya waenjoy nyama kwa nyamaa kwaraha zaoo!Ndomu haileti radha ya tendo raha vitu vigusane banaaa😛!
Kijana MUNGU anakupenda. Acha katabia ka Uzinzi na utubu umrudie MUNGU au niseme uokoke. Umeelewa kijana?Wakati nafanya tendo kwenye round ya pili, nikawa nakaribia kukojoa nikagundua condom imevuja.
Kumuambia mwenzangu tukapime, akawa mkali sana. Nilifanya kila jitihada akawa ananikimbia, leo ni siku ya 65 imepita nimeenda kupima nipo negative. Hii ina accurancy kiasi gani?
Nasubiri tena siku 25 zilizobaki, ila naishi na msongo wa mawazo
NimeelewaKijana MUNGU anakupenda. Acha katabia ka Uzinzi na utubu umrudie MUNGU au niseme uokoke. Umeelewa kijana?
Hivi uwaga mnasoma mada au mnakurupuka kujaza seva tu?Nenda kapime
Usiwe na hofu, pengine demu anakataa kupima kwa sababu anataka kuzaa mtoto na wewe na pia inawezekana akawa anaishi kwa tofu kutokana na mienendo yake.Wakati nafanya tendo kwenye round ya pili, nikawa nakaribia kukojoa nikagundua condom imevuja.
Kumuambia mwenzangu tukapime, akawa mkali sana. Nilifanya kila jitihada akawa ananikimbia, leo ni siku ya 65 imepita nimeenda kupima nipo negative. Hii ina accurancy kiasi gani?
Nasubiri tena siku 25 zilizobaki, ila naishi na msongo wa mawazo
Mi nakumbuka miaka hiyo, nilipita sehemu nikakutana na kabinti kako njema kweli nikakalia timing nikakapata nikaenda ndani bwana.. hata bao moja bado ndom ikapasuka nikapata mawazo kweeli.Wakati nafanya tendo kwenye round ya pili, nikawa nakaribia kukojoa nikagundua condom imevuja.
Kumuambia mwenzangu tukapime, akawa mkali sana. Nilifanya kila jitihada akawa ananikimbia, leo ni siku ya 65 imepita nimeenda kupima nipo negative. Hii ina accurancy kiasi gani?
Nasubiri tena siku 25 zilizobaki, ila naishi na msongo wa mawazo
Usiwe serious na maisha kaka. Easy!!Hivi uwaga mnasoma mada au mnakurupuka kujaza seva tu?
Nenda kapime wewe jamaa, usije kumuambukiza mkeoNikakaa nikawaza kweli kile kimchecheto cha kungoja majibu..basi nikaomba nije kesho ili nijiandae kupima.. mpaka leo sikuwahi rudi!