spanishdasilva
Member
- Jun 9, 2024
- 17
- 30
Kwa nn unasema hvyoHIV ingekuwa inapatikana kirahisi kama Supu ya mapupu Uswahilini mpaka sasa Tanzania wangebaki watu 100k tu.
Hiyo stress usipokuwa makini itakufyaka . Inaua kuliko HIV unayoiogopa
Kwa nn unasema hvtoHIV ingekuwa inapatikana kirahisi kama Supu ya mapupu Uswahilini mpaka sasa Tanzania wangebaki watu 100k tu.
Hiyo stress usipokuwa makini itakufyaka . Inaua kuliko HIV unayoiogopa
Pole yakePole sana mkuu jitahidi uijue afya ya mwenza wako kabla ya kunyanduana.
Acha woga, relax .Kwa nn unasema hvyo
Kwani kama sio mke inatakiwa round ngapi mkuu?😁Raundi ya pili kwa mpira, ukiwa unatafuta nini hasa?
Pima hospitali, kabla ya gemu piga rapid test......kama sio mkeo, RAUNDI 2 za nini?
Asiye mke, ni kama usingizi tu au jini mahaba; moja! Watasimuliana na kuongea mpaka wachoke, wanaweza kutafuta hela, wanunue dildo wanazoweza kuziendesha na kuziamrisha!Kwani kama sio mke inatakiwa round ngapi mkuu?😁
alipewa dau kubwaRaundi ya pili kwa mpira
Labda Raundi ya kwanza alikojoa kama jogoo.Bora usingetumia condom.siku 90 ndo uhakika. sijui kama umesalimika.bora usingetumia condom utelezi ungekuokoa.hadi condom inapasuka inaelekea kitu kilikauka full mchubuano tena round ya 2 yaani.unagegeda hivo upate nini? Si ulikuwa ushakojoa??