Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

Kuna dada nilimtokea wakat nikiwa mwaka wa pili undergraduate akawa amekataa...poa na mm nikamvungia.Baadae akajaolewa na kupata mtoto mmoja mimi mikawa na kumsahau nishamsahau.Akamtafuta mdogo wangu akitaka my numbers so alipopata akanipigia simu na kumikumbusha yy ni nani .After kumkumbuka akadai anataka aje anitembelee kazini kwangu..of which ni kama 20 kms kutoka kwake.Mimi nikaona kwa vile ni salamu tuu poa.Akaja hiyo siku akaanza kunambia bwana ake hashirikiani nae kimapenzi na ana zaid ya mwezi hajaduu na mumewe!! I was shocked bila hiyana nikajikuta nimevunja amri tena bila ndom...daah on the very first day baada ya kuduu ikaja kugundulika ana mimba na yupo kwenye ndoa!! Afanyeje amwache jamaa aje kwangu au asingizie mimba wakat hajaduu na jamaa miezi kadhaa..!! God forgive me and forgive her but what to say is that ashaachana na jamaa na mm laini ya simu nimevunja na eneo la kazi nimehama!! So disgusting and horrible...
OMG..
Hii kalii
 
Kuna watu wanastahili kunyongwa hadharani.
Ikiwa baba/mume akagundua mwanae na mkewe wanachukuliwa na mtu mmoja, yaani hata kukuchinja ataona haitoshi
Ni kitu ambacho najuta Maishani sana, Sema ilikuwa ujana, Nikifikiria huwa nakata tamaa sana, Hata leo nikipata tukio baya huwa naconclude ni uchafu wangu wa nyuma that's hope I have
 
Sijawahi kutembea na mke wa mtu ilaa kabla sijaoa mademu wawatu,washkajii nkuwa na wafetuu balaaa. Toka nioe rasm sijawahi hataa mfetua hata ambae hajaolewa
 
Nilipeleka mwanangu hospital ya agha khan upanga.
Kwenye foleni za registration na malipo hamadi nikakutana na aunty moja limetimia balaa. Msambwanda wa hatari,jicho balaa, rangi ya mtume.

Nae alikuwa ameleta mtoto hospital. Story nyingi tukabadilishana business card. Baada ya hapo ikawa historia ila baadae niliogopa kwani ni mtu anaheshimika na jamii, kwenye tv anatokea sana na alidai ana mume lakini sijawahi kumsikia mumewe na yuko free sana kwenye simu wasap muda wote anaweza chat chochote.

Na mwepesi kudanganya kwake ameenda semina bagamoyo au Arusha kumbe nimemtuliza lodge siku 4.
Ila hayo mambo nusu yaigharimu ndoa yangu nikaachana nayo. Nahisi yule dada anaendelea na mtu mwingine kwa sasa.
 
Kushinda haya mambo unahitaji kumwomba Mungu. Ni machafu na yanakatisha tamaa katika familia. Ninachojua shetani akikutaka atatumia mwanamke au mwanamme. jihadharini sana. Mpende mke wako wa ndoa fullstop.
 
Ulibakwa mkuu,
.
Exactly mkuu, hata umri wake na wa kwangu ni quite different. Na zaidi sana kuna wakati nilikuwa namkwepa akawa ananipata kwa kunipa hela naenda nampiga dushe weeeee hadi ananambia basi sasa - kama unanikomoa! Kuhusu mumewe ni majanga matupu, safari nyingi nje ya nchi na kwa maelezo yake hata akirudi nyumbani ni mzigo hoi goigoi
 
Kwa uzoefu na ukweli wanawake wengi walio kwenye ndoa huwa wanatoka nje sababu waume zao hawatimizi majukumu ya kinyumba haswa mapenzi

Yupo swahiba mmoja yeye kila siku safari halafu akaja kumfuma mkewe na meseji za mapenzi za dalali mmoja aliyekuwa anawasaidia kuuza kiwanja chao kigamboni
Jamaa alikurupuka kweli kuona mkewe kaenda kula bata masaki na dalali. Lakini tulimshauri kwamba swahiba mbona we watoto wa Tumaini
 
nkiwa kdato cha nne 2010 kuna mwalm alkua ananiamin sana, alkua anan2ma sehem mbal2, alnichukulia kama mwanae japo hakuwa mkubwa kiumr. mkewe alianza kunieleza matatzo ya ticha na kuniomba nmwambie tcha aache k2 ambacho naamin hamna ambae angeweza hapa jf, cku 1 2lienda shamba kuvuna mahnd mim tcha na mkewe, tcha akaitwa gafla na hedmasta akatuacha. mkewe akasema leo n leo tukmalza nakupa zawad na akanpa uko uko shamban. nsameh mung, nsameh mwalim wangu
Kwa mwandiko wako tu inadhihirisha kweli bado level yako ni ya kidato
 
Ulikuwa na kondom?
Unaitolea wapi kondom ktk hali kama hiyo mkuu, hutarajii, hujui lolote, huna wazo yaani ni mapichapicha tu. Kwakuwa mt* mbano uliendelea baadaye tulipima na kwa bahati tulikuwa vizuri vinginevyo ningekuwa marehemu sasa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Exactly mkuu, hata umri wake na wa kwangu ni quite different. Na zaidi sana kuna wakati nilikuwa namkwepa akawa ananipata kwa kunipa hela naenda nampiga dushe weeeee hadi ananambia basi sasa - kama unanikomoa! Kuhusu mumewe ni majanga matupu, safari nyingi nje ya nchi na kwa maelezo yake hata akirudi nyumbani ni mzigo hoi goigoi

Utakuja pigwa risasi acha wizi
 
Mimi binafsi nimecheat na wake za watu wawili! mmoja nipo nae hadi sasa hivi, nimegundua tatizo kubwa linalofanya wake za watu kutoka nje ya ndoa ni kutafuta upendo na dozi ya kibabe katika mapenzi, wanawake wote niliotembea nao wanalalamika kuwa waume zao hawawapi mapenzi mubashara na wala hawawajali kabisa katika suala zima la upendo, utakuta jamaa anarudi kazini lakini hana time na mke wake eti ya kuwa amechoka na kazi au sometimes mtu anajifanya yupo busy sana hata kumbembeleza mke wake inakuwa tatizo, wengine wanawakalipia wake zao....."Acha tu tuwagongee"
Acha ufala huo, usiji proud kutembea na wake za watu ndugu yangu. Kwani wanawake wameisha ambao hawajaolewa?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kuna dada nilimtokea wakat nikiwa mwaka wa pili undergraduate akawa amekataa...poa na mm nikamvungia.Baadae akajaolewa na kupata mtoto mmoja mimi mikawa na kumsahau nishamsahau.Akamtafuta mdogo wangu akitaka my numbers so alipopata akanipigia simu na kumikumbusha yy ni nani .After kumkumbuka akadai anataka aje anitembelee kazini kwangu..of which ni kama 20 kms kutoka kwake.Mimi nikaona kwa vile ni salamu tuu poa.Akaja hiyo siku akaanza kunambia bwana ake hashirikiani nae kimapenzi na ana zaid ya mwezi hajaduu na mumewe!! I was shocked bila hiyana nikajikuta nimevunja amri tena bila ndom...daah on the very first day baada ya kuduu ikaja kugundulika ana mimba na yupo kwenye ndoa!! Afanyeje amwache jamaa aje kwangu au asingizie mimba wakat hajaduu na jamaa miezi kadhaa..!! God forgive me and forgive her but what to say is that ashaachana na jamaa na mm laini ya simu nimevunja na eneo la kazi nimehama!! So disgusting and horrible...
Kwahiyo hujui kama alitoa mimba au alijifungua salama?

Na kama alijifungua je mtoto anaishi vipi?

Yani duniani kuna watu tuna/wana tiketi za kwenda kwa shetani tayari wana/tunasubiri tu siku ya safari
 
Back
Top Bottom