Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

shetani kazini
Wanawake wanashida sana kazi kwenu wanawake
Wasalaam wana jamvi.

Direct kwenye point. Kumekuwa na malalamiko mengi juu ya swala la kucheat katika ndoa ( sizungumzii wapenzi ambao hawajaoana). Ili swala sidhani wahusika kama huwa wanalifurahia japokuwa mara nyingi huwa kunasababu inayopelekea kufikia huko.

Katika njia ya kujua chanzo cha ili tatizo ningependa kusikia confessions za members,ilikuwaje ukaingia kwenye huo mtego??

Nikianza na mimi. Nakumbuka siku hiyo nilipokea text ya tafadhali nipigie katika simu yangu toka kwa mke wa jirani yangu. Nilipompigia alitaka kujua nipo wapi alafu akaniambia kama naweza nifike kwake mara moja.

Baada ya mishe zangu niliweza kufika bila wasiwasi maana tumezoeana kimtindo. Kufika,nilikaribishwa sebleni then zikaanza story za hapa na pale,mwisho wa siku akaanza kunisimulia juu juu matatizo aliyokuwa nayo but akawa anaficha some details (sikuuliza sana maana nilihisi hakuwa comfortable kuyaelezea).

Tulizungumza kwa muda mrefu kidogo nikijaribu kumtia moyo kwa kadiri nilivyoweza,ila nilikuja kugundua katika maongezi yetu alikuwa anapenda ya'base' eneo flan huku mda wote macho akiniangalia usoni. Ukizingatia tulikuwa wawili tu,nilimsogelea kujaribu kama namkiss ila kabla sijamfikia tayari alishafika kwangu na kukutanisha lips zetu.

Badae nilijistukia nikanyanyuka kwa wazo la kuondoka,ila alinivuta mkono nakunisukumizia kwenye sofa alaf akafunga mlango na funguo. Siwezi sema alinizidi nguvu,ila katika mazingira yale sehemu kubwa ya mwili wangu ilinisaliti nakumsupport yule dada. Nikajikuta tayari kwenye himaya yake. Japo badae nilijilaumu na siku hizi najitahidi kuepuka mazungumzo na watu wa hivi katika mazingira private au kama yale.

Je kwa upande wako ilikuwaje??

Karibuni.
 
Kuna dada nilimtokea wakat nikiwa mwaka wa pili undergraduate akawa amekataa...poa na mm nikamvungia.Baadae akajaolewa na kupata mtoto mmoja mimi mikawa na kumsahau nishamsahau.Akamtafuta mdogo wangu akitaka my numbers so alipopata akanipigia simu na kumikumbusha yy ni nani .After kumkumbuka akadai anataka aje anitembelee kazini kwangu..of which ni kama 20 kms kutoka kwake.Mimi nikaona kwa vile ni salamu tuu poa.Akaja hiyo siku akaanza kunambia bwana ake hashirikiani nae kimapenzi na ana zaid ya mwezi hajaduu na mumewe!! I was shocked bila hiyana nikajikuta nimevunja amri tena bila ndom...daah on the very first day baada ya kuduu ikaja kugundulika ana mimba na yupo kwenye ndoa!! Afanyeje amwache jamaa aje kwangu au asingizie mimba wakat hajaduu na jamaa miezi kadhaa..!! God forgive me and forgive her but what to say is that ashaachana na jamaa na mm laini ya simu nimevunja na eneo la kazi nimehama!! So disgusting and horrible...
Una Roho Mbaya Sana..
mbaya sana..
mbaya kweli..
Hiyo sio Roho ya kiume..

TAMBUA HUJAMTELEKEZA HUYO BINTI BALI UMETELEKEZA MTOTO WAKO..
 
Mwanamke kukataa kusex hata mkiwa mazingira hatarishi ni rahisi sana. Ila mwanaume kukataa kusex hata kama hukuwa na mzuka wa kufanya hivyo ni vigumu sana provided mwanamke ameamua msex.
Acha uongo,kuna mama Mwenye Nyumba wangu alikuja chumbani kanilamba sehemu zote lakini nilimchomolea hadi mpaka kaniita lofa .na nkamwambia ntafanya makosa yote Ila siyo kutembea na mke wa MTU.
 
Una Roho Mbaya Sana..
mbaya sana..
mbaya kweli..
Hiyo sio Roho ya kiume..

TAMBUA HUJAMTELEKEZA HUYO BINTI BALI UMETELEKEZA MTOTO WAKO..
Soma thread umalize ww acha kutokwa povu...nan na ni wapi nimeandika nilizaa naye?? Acha kubweka na ufwatilie mwendelezo wa thread.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Una Roho Mbaya Sana..
mbaya sana..
mbaya kweli..
Hiyo sio Roho ya kiume..

TAMBUA HUJAMTELEKEZA HUYO BINTI BALI UMETELEKEZA MTOTO WAKO..
Na yeye ndo alitaka tuachane baada ya kupata mimba na mimba alienda kuitoa ili aokoe ndoa yake.Mimi sikutaka nimfanye aachike thats why tuliachana for good and my regreats ni kua sitaki jambo hilo lirudie..so next time kabla hijatokwa mapovu malizia mwendelezo wa thread sio tuu unaanza condemnation as if wewe ni malaika na huna dhambi.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Na yeye ndo alitaka tuachane baada ya kupata mimba na mimba alienda kuitoa ili aokoe ndoa yake.Mimi sikutaka nimfanye aachike thats why tuliachana for good and my regreats ni kua sitaki jambo hilo lirudie..so next time kabla hijatokwa mapovu malizia mwendelezo wa thread sio tuu unaanza condemnation as if wewe ni malaika na huna dhambi.
Nimesoma Comment yako na ndiyo niliyoijibu sijaona sehemu uliyosema hujazaa nae hapo kwenye Comment.!!!
ningekushauri edit hiyo comment kama hukuzaa nae..hakuna mwenye akili timamu ataisoma comment yako na ataona ipo sawa...

Otherwise Tusameheane Kama Nimekosea..
 
Hua nafurahi saana nikiona mwanaume au mwanamke kafumaniwa,zaidi napenda wanaong,ang,aniana,lakn kizaz cha nyoka hawaachi tu kuchepuka,naombeni anaefahamu mganga au mchawi wa kutoa dawa ili mtu mmoja anase,nitamlipa pesa nzuri sana.
 
Acha uongo,kuna mama Mwenye Nyumba wangu alikuja chumbani kanilamba sehemu zote lakini nilimchomolea hadi mpaka kaniita lofa .na nkamwambia ntafanya makosa yote Ila siyo kutembea na mke wa MTU.
Hivi unadhani unaweza kumlamba mwanamke sehemu zote akawa anakwangalia tu?

Kama hataki basi hata kiuno hutomshika. Ila jiangalie ww,ulikuwa hutaki ila umelambwa hadi ***** lakini ukawa umetulia.
 
Hivi unadhani unaweza kumlamba mwanamke sehemu zote akawa anakwangalia tu?

Kama hataki basi hata kiuno hutomshika. Ila jiangalie ww,ulikuwa hutaki ila umelambwa hadi ***** lakini ukawa umetulia.
Point of correction: huko unako dhani hakufika, niliwambia watch it hana freedom hiyo.# Ila mkuu Yule mama ni mzuri sana,but niliogopa kupotezwa marinda nikikamatwa.
 
Unaitolea wapi kondom ktk hali kama hiyo mkuu, hutarajii, hujui lolote, huna wazo yaani ni mapichapicha tu. Kwakuwa mt* mbano uliendelea baadaye tulipima na kwa bahati tulikuwa vizuri vinginevyo ningekuwa marehemu sasa

Hahahah, unamwambia please subiri kidogo nakuja, unachukua baiskeli au bodaboda fasta unafuata zana.
 
Back
Top Bottom