Confession: Mtanzania kusomea au kuishi Kenya na kurudi Tanzania ni big step

Confession: Mtanzania kusomea au kuishi Kenya na kurudi Tanzania ni big step

Okay, fine! What's your point here?

Maana naona sielewi tu mimi... mara Confession mara Mdingi mara Ontario mara Ung'eng'e mara... tushike lipi sasa!?

Sent using Jamii Forums mobile app
elimu(ndani na nje ya darasa) ambayo watz wengi huipata Kenya ndio huwa inawapaisha juu ya wenzao wengi wakirudi tz, ila sasa Shida watz wenzangu navowajua mimi ni kwamba ukitaka wapandwe ubishi uliojaa hasira jaribu kuwaambia ukweli
 
Mimi mwenyewe nilisoma na watz wengi sana shule ya msingi. Nakumbuka miaka yote, kutoka darasa la nne hadi la nane, watz ndio walikuwa wengi shuleni zaidi ya sisi wakenya. Watakukemea ila ukweli utabaki pale pale. Nina urafiki wa karibu na watz ambao tulisoma nao na huwa wanakiri kwamba elimu(ndani na nje ya darasa) ambayo walipata Kenya ndio huwa inawapaisha juu ya wenzao hadi sasa hivi. Shida watz navowajua mimi ni kwamba ukitaka wapandwe na hamaki zao feki jaribu kuwaambia ukweli.

Hawa wenzetu dah! Watabisha mpaka akhera lakini hali mbovu ya elimu

 
Kila nachoandika hapa ni real life sio stori, hawa wenzetu hapo wana nusu ya rasilimali tulizonazo wameweza kuwa Mara mbili aisee, truth pains. Nachoweza kusema akili inapanuka kwa haraka ukiwa na shida kama walizonazo hawa wakenya, not to brug but even Israel has a small area and most of it was a desert ila cheki sasa walipo. Hata mbegu ya mkenya ilikua inaiongoza marekani kabla ya trump

Mzee wangu ni mtu wa tarime huko karibu kabisa na Kenya, kufikia mpakani kwa Kenya ni kama nusu SAA tu kwa kutembea vichochoro vya misitu, basi enzi hizo shule kwa Tanzania hapo kwa mzee ulikuwa mbali sana ikabidi awe anasomea kenya, alipata kujua kiingereza akiwa shule ya msingi na kukiongea fluently, akaja kwenda Fanya mtihani wa taifa huku tz akapita vizuri kabisa na kuchaguliwa sekondari, From there onwards akasomea tz ila kwa msingi alioupata akiwa anasema Kenya alikuwa smart flani ivi na kiingereza kinatembea, akaajiriwa engineer shirika flani ivi la serikali ya Tanzania na nchi nyingine, basi kwa jinsi alivyo sharp na kiingereza kumbeba akikikutana na maboss wa nchi x akapewa umeneja, mambo nyumba ni yakawa fresh tu, hadi Leo ana picha zake alipokua huko na huwa anakiri kule ndo kulimfungua kichwa. Also ni mtu anajua Ku influence flani watu, kazi alikua nayo ya sio ya juu kivile ila alikuwa ni mtu wa kutafutwa, kupigiwa sana simu na kuombwa ushauri na mkuu wa mkoa alipoishi, regional police commissioner , DC, n.k no matter viongozi wanabadilishwa kiasi gani this has not changed till now, pia huwa anaombwa kua mcer kwenye harusi (a bit talkative)

Mwengine ni Huyu kijana anaitwa ontario, kijana akiwa na 23 alikuwa tayari na 100,000 USD, alisomea huko Kenya elimu ya msingi nadhani na sekondari akaja kumalizia huku sekondari, ni kijana mdogo sana ola mambo anayofanya si kitoto, kafanya mengi ola kubwa alilofanya ni kuleta mwamko Tanzania wa kyijua biashara ya forex, nakumbuka enzi hizo anaenda mkoa hadi mkoa kufundisha forex kwa siku 3 watu wanakua kama 250 ukumbini na kila mtu kulipia laki 2, na hapo walitaka waanze trading dogo anahamasisha wanafunzi wa trade kwa broker wake ambako alikua na gawio kidogo kwa kila kichwa, sadly wengi wakaanza mzushia ni tapeli, mwizi na bla bla kibao, the kid is smart, kamcheki huko insta sirjeff Dennis,

So that is my confession and I hope its not an abomination to my fellow Tanzanians, Nadhani huko Kenya kinatanua akili kidogo hata kiingereza kinakuongezea points huku tz ambako nibkawaida kukuta hata ministers wa educatoon hawakijui vizuri, No bad feelings guys.
Wewe jamaa ni limbukeni wa kutupwa.
 
Hii ndo English uliyojifunza Kenya??
U reaaly r starting to sound like a d*ck, umefura the likes of joka kifutu Dogo

Well u just admitted u don't know the guy well,if u got no data u aint got a right to speak neither contribute, u better go n do some research, else u gon be spitting senseless shit in this crib, u feel me bruv?? Seems u hate your fellow tanzanian making some pees bruv, at least get the decency to learn something from the guy who creeped the hell up insead of complainin or making some senseless excuses like serikali hakuna ajira. Who said it was brain washin bruv, thats an abomination bruv, you got proof?? seriously u are fumed up to the point the connection btn your brain and ur hate consumed fingers replying this post aren't a team no more, just like I said before mate u spittin bullcrap in here, go and do your homework.

I think the best place that suits you is the so called MMU forum, u lost your way in here innit
 
Mkenya badala ya kusema I work anasema I waki. Na bado wanajiona wazungu weusi, duh.
Na bado analamba kazi pale arusha kampuni za wazungu na UN kwasababu ya hio English, anatuacha wabongo tunashangaa shangaa tu na PhD zenu za kiingereza cha kuandikia essay "due to", " there for" "as following" "as below" " in conclusion" "firstly" "secondly"
 
Na bado analamba kazi pale arusha kampuni za wazungu na UN kwasababu ya hio English, anatuacha wabongo tunashangaa shangaa tu na PhD zenu za kiingereza cha kuandikia essay "due to", " there for" "as following" "as below" " in conclusion"
Kwa hiyo?
 
Wabongo bana asa tuliopia ma bachelor na master United Kingdom..tuseme nn ?? Hahaha

Nice Thread Tho.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hahahah Mpwa sio thread ya Ku attack hii, toa mchango usioleta maumivu kwa upande wa huku

It is sad but wanafanya hivi may be for a reason, mzee Wangu alikataa kata kata nisome government schools za tz, huko alikonipeleka ni English medium walimu karibu wote ni Zambians and Malawi, He really emphasized on me getting a slightly decent school where I can at least learn English, 2002 alifunga dstv home tuwe tunacheki cartoons kwa lengo mahsusi la Mimi na mdogo tujifunze zaidi kiingereza

Nimejifunza Kitu Hapa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wabongo bana asa tuliopia ma bachelor na master United Kingdom..tuseme nn ?? Hahaha

Nice Thread Tho.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Msingi ndio kila kitu mpwa, yani mtu udogoni akiwa sehemu kama huko UK akarudi bongo huku anakupa kuteleza tu maana elimu ya darasani na nje ya darasa huko uk inakuwa imenata haitoki, sasa shida inakua mtu kashakomaa anaenda kusoma huko UK masters akiwa mtu mzima, hapo Mara nyingi nafasi ya kibadilishwa na elimu ya ndani na nje ya darasa kwa uk ni ndogo matokeo yake ndio kama unavyoona hata kwa mawaziri waliosomea masters na PhD huko UK wakirudi tz kiingereza bado ni broken na nadhani hii inapelekea hata wanapenda huko maisha yanakuwa ni yanaboa kwasababu lugha haiwabebi
 
Ukweli mchungu

We Tanzanians tumekuwa wazembe Sana

Sina hofu na kiingereza Cha kuandika ila Cha kuongea ni "ziiiiiii"

Mwanangu atasoma Kenya

Kuhusu ontario aisee the guy is an inspiration of his generation .

Very aggressive mkimchukia ontario Juu anazidi kukupiga gepu .

Bongo aibuuu!![emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi heshimu kiumbe anayekidharau kiswahili. English was just a mediocre lingual just like Swahili now.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nimeandika nimekidaharau kiswajili lugha ya taifa langu??? Nachotaka kukandia ni kwamba dunia ni kama kijiji kwa sasa na language inayotumika sana kwenye mambo ya uchumi ni kiingereza, hata uwe na phd ukienda pale United Nations arusha au kampuni la wazungu huwa wanaangalia sana kiingereza mkuu, na ndio hapo sasa wakenya wanapotupiga gepu maana simu inaweza kupigwa huko london kama hujui kiingereza huna msaada hapo

Basi ingebidi tutkubali tu kutumia kiswahili primary mpaka vyuoni maana kiingereza hiki hatukijui ipasavyo ila cha kushangaza tunakitumia kwenye mitaala ya elimu yetu, heri vitabu vyote vitafsiriwe kama huko china, russia, korea, n.k
 
Back
Top Bottom