Confession: Mtanzania kusomea au kuishi Kenya na kurudi Tanzania ni big step

Confession: Mtanzania kusomea au kuishi Kenya na kurudi Tanzania ni big step

Ukimuelewa mleta mada utakua huru, kwenu hata PHD holder, waziri kabisa anashindwa na kingereza cha msingi, kinachotumika na watoto wadogo kwetu hapa, hebu ona hii aibu ya taifa
Honestly i was embarassed, Sheria itungwe Tz wazito wasitumie kiingereza wanaporekodiwa

your going to stay on the cell until you provide serious explanation on matter ,because now you cannot play with the government like this ,last time I came here equipment like this ,then you take to another site so your going to stay inside until your give instruction for the equipment you have taken to Dodoma to come back here make sure you have sufficient people to work on the site
 
Sioni ubaya wowote wa mtu kuongea broken english ilhali si lugha yake mama
 
Sioni ubaya wowote wa mtu kuongea broken english ilhali si lugha yake mama

Ni uzembe tu, ukishindwa unajitetea kwamba sio lugha ya mama, ifahamike hata Kiswahili sio lugha ya mama kwa wale hamjatokea Pwani kilikobuniwa.
 
Ni uzembe tu, ukishindwa unajitetea kwamba sio lugha ya mama, ifahamike hata Kiswahili sio lugha ya mama kwa wale hamjatokea Pwani kilikobuniwa.

Hakuna cha uzembe wala nn,upo brainwashed na weupe kuona vyao ndio muhimu.

Mtu wa pwani ipi aliyetokea tz asiyejua kiswahili,utetezi wa kizuzu kabisa huo.

Hata wenyewe hao wenye lugha yao wanawashangaa vile mnavyoshobokea lugha zao na kudharau zenu.

Ndio maana wanawaita nyie ni nyani kwa kutojielewa.
 
Hakuna cha uzembe wala nn,upo brainwashed na weupe kuona vyao ndio muhimu.

Mtu wa pwani ipi aliyetokea tz asiyejua kiswahili,utetezi wa kizuzu kabisa huo.

Hata wenyewe hao wenye lugha yao wanawashangaa vile mnavyoshobokea lugha zao na kudharau zenu.

Ndio maana wanawaita nyie ni nyani kwa kutojielewa.

Hamna sehemu nimesema watu wa Pwani hawajui Kiswahili, jifunze kusoma na kuelewa unachokisoma.
Nyie wazembe, lugha umeisomea miaka yote halafu unashindwa hata kuitumia kuongea sentensi chache za msingi, halafu unajitetea eti sio lugha ya mama.
Halafu uzembe wenu upo hata kwenye lugha zenu za asili, ni wachache sana huwa mnajua hata salamu kwa kutumia lugha za asili, kingereza kimewapiga chenga, lugha za asili hamzijui na uandishi wenu wa Kiswahili hutia kinyaa, hamna lugha hata moja mnayoimudu kiufasaha, mpo mpo tu ilmradi siku zinasonga, tatizo uzembe.
 
Hamna sehemu nimesema watu wa Pwani hawajui Kiswahili, jifunze kusoma na kuelewa unachokisoma.
Nyie wazembe, lugha umeisomea miaka yote halafu unashindwa hata kuitumia kuongea sentensi chache za msingi, halafu unajitetea eti sio lugha ya mama.
Halafu uzembe wenu upo hata kwenye lugha zenu za asili, ni wachache sana huwa mnajua hata salamu kwa kutumia lugha za asili, kingereza kimewapiga chenga, lugha za asili hamzijui na uandishi wenu wa Kiswahili hutia kinyaa, hamna lugha hata moja mnayoimudu kiufasaha, mpo mpo tu ilmradi siku zinasonga, tatizo uzembe.

unaongea ongea pumba tu mkuu,lugha za asili si ndio zimewaweka nyie hapo mlipo,na ndio maana mnabaguana,sisi kwetu hata kama kuna watu tunaozijua hizo lugha lakini sio kipaumbele chetu na huwezi kuona mtu anajisifia kujua lugha ya asili yake,endeleeni kubakia kuwa wahanga wa lugha za kigeni na kujiona nyie ni wazungu weusi.
 
unaongea ongea pumba tu mkuu,lugha za asili si ndio zimewaweka nyie hapo mlipo,na ndio maana mnabaguana,sisi kwetu hata kama kuna watu tunaozijua hizo lugha lakini sio kipaumbele chetu na huwezi kuona mtu anajisifia kujua lugha ya asili yake,endeleeni kubakia kuwa wahanga wa lugha za kigeni na kujiona nyie ni wazungu weusi.
Hakuna na haiwezi kutokea watu wakabaguana kwa misingi ya lugha, fahamu ujanja na uwezo wa kuongea lugha zaidi ya moja hupanua maarifa na ndio maana unaona pamoja na kwamba nchi yetu zaidi ya nusu yake ni kame tupu, ila uchumi wetu unaelekea kuwa mara mbili yenu, ukizingatia mna nchi kubwa yenye madini kote.

Watu hubaguana kwa misingi ya kidini, ukabila, uchama, ukanda, jinsia, dini na mengineyo lakini sio lugha.
Somalia wao wanaongea lugha moja, dini moja ila kila siku milipuko na mauaji.
Kwenu huko mna udini, ukanda na uchama sema siku hizi naona hata ukabila umewaingia.
 
Hakuna na haiwezi kutokea watu wakabaguana kwa misingi ya lugha, fahamu ujanja na uwezo wa kuongea lugha zaidi ya moja hupanua maarifa na ndio maana unaona pamoja na kwamba nchi yetu zaidi ya nusu yake ni kame tupu, ila uchumi wetu unaelekea kuwa mara mbili yenu, ukizingatia mna nchi kubwa yenye madini kote.

Watu hubaguana kwa misingi ya kidini, ukabila, uchama, ukanda, jinsia, dini na mengineyo lakini sio lugha.
Somalia wao wanaongea lugha moja, dini moja ila kila siku milipuko na mauaji.
Kwenu huko mna udini, ukanda na uchama sema siku hizi naona hata ukabila umewaingia.

Mnatamani sana tuchukiane kama nyie na kamwe haitatokea hivyo,tutapishana kwa hoja ila mwisho wa siku tutaelewana tu na hatutafikia kiwango chenu cha chuki.Hiyo ndiyo tofauti kubwa kati yetu na nyinyi.Sisi ndio watanzania.

Kuhusu maendeleo kijana hilo ni dogo sana na muda utafika na tutakuwa na maendeleo makubwa sana kuliko nyie taifa la wezi wezi,lenye maendeleo bandia. Nyie mnachokiweza ni utapeli na ujanja ujanja tu na zama zenu ndio zinakaribia kuisha.
 
chai ya moto bila vitafunwa haipendezi hata kidogo
 
elimu(ndani na nje ya darasa) ambayo watz wengi huipata Kenya ndio huwa inawapaisha juu ya wenzao wengi wakirudi tz, ila sasa Shida watz wenzangu navowajua mimi ni kwamba ukitaka wapandwe ubishi uliojaa hasira jaribu kuwaambia ukweli
Kuna watu kibao nawafahamu wamesoma kenya na hawana lolote, lakini mimi nimesoma Tz and I have make it kuliko hata hao waliosomea Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni uzembe tu, ukishindwa unajitetea kwamba sio lugha ya mama, ifahamike hata Kiswahili sio lugha ya mama kwa wale hamjatokea Pwani kilikobuniwa.
Hivi unajua maana ya "lugha mama" kwa kiingereza "mother tongue" kweli wewe?

Hivi huko kenya huwa mnafundishwa ujinga kwenye shule zenu. Mimi nimezaliwa Mwanza ( kanda ya ziwa) na kiswahili ni lugha mama yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu kibao nawafahamu wamesoma kenya na hawana lolote, lakini mimi nimesoma Tz and I have make it kuliko hata hao waliosomea Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umefanikiwa kwa kipi mkuu, nakuonea Huruma, naona hata akili zako hazipo sawa, hivi kweli mtu umejiita idiot embicile we ni mzima kweli, umetororoka hospitali ya vichaa au
 
Mnatamani sana tuchukiane kama nyie na kamwe haitatokea hivyo,tutapishana kwa hoja ila mwisho wa tutaelewana tu na hatutafikia kiwango chenu cha chuki.Sisi ndio watanzania.

Kuhusu maendeleo kijana hilo ni dogo sana na muda utafika na tutakuwa na maendeleo makubwa sana kuliko nyie taifa la wezi wezi,lenye maendeleo bandia. Nyie mnachokiweza ni utapeli na ujanja ujanja tu na zama zenu ndio zinakaribia kuisha.

Wala hatuwezi kutamani mbaguane, hamna kitu kibaya kama ubaguzi, sio kitu cha kutamani dunia hii, sema tunayaona japo kwa unafiki mnapenda kuficha maradhi kama walivyo Korea Kaskazini.
Kuhusu uchumi naona pengo baina yetu linazidi kuongezeka, wimbo wa kwamba mtatufikia uliimbwa tangu enzi za mababu zenu na naona mtaupokeza kwa vizazi vijavyo ila hali ni ile ile.
 
Hivi unajua maana ya "lugha mama" kwa kiingereza "mother tongue" kweli wewe?

Hivi huko kenya huwa mnafundishwa ujinga kwenye shule zenu. Mimi nimezaliwa Mwanza ( kanda ya ziwa) na kiswahili ni lugha mama yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu huyo ni kituko hadi anatia huruma,ni mjinga lakini anajifanya mwerevu eti kisa kujua kuongea kiingereza kwa ufasaha.

Najiuliza mwanangu je wa std 5 anayejua kiingereza vizuri kuliko mimi eti naye nimwone wa maana sana kisa kujua kiingereza,huo ndio uzwazwa wa hawa ngozi nyeusi wenzetu kutwa kuthamini lugha za watu na kuzipuuza za kwao.
 
Wala hatuwezi kutamani mbaguane, hamna kitu kibaya kama ubaguzi, sio kitu cha kutamani dunia hii, sema tunayaona japo kwa unafiki mnapenda kuficha maradhi kama walivyo Korea Kaskazini.
Kuhusu uchumi naona pengo baina yetu linazidi kuongezeka, wimbo wa kwamba mtatufikia uliimbwa tangu enzi za mababu zenu na naona mtaupokeza kwa vizazi vijavyo ila hali ni ile ile.

Heheeeeee,ngoja nicheke kikwetu mieee,nchi yangu pendwa kimaendeleo inakuja kwa kasi sana bila kukiabudu kiingereza
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kila nachoandika hapa ni real life sio stori, hawa wenzetu hapo wana nusu ya rasilimali tulizonazo wameweza kuwa Mara mbili aisee, truth pains. Nachoweza kusema akili inapanuka kwa haraka ukiwa na shida kama walizonazo hawa wakenya, not to brug but even Israel has a small area and most of it was a desert ila cheki sasa walipo. Hata mbegu ya mkenya ilikua inaiongoza marekani kabla ya trump

Mzee wangu ni mtu wa tarime huko karibu kabisa na Kenya, kufikia mpakani kwa Kenya ni kama nusu SAA tu kwa kutembea vichochoro vya misitu, basi enzi hizo shule kwa Tanzania hapo alipoishi mzee ilikuwa mbali sana ikabidi awe anasomea kenya, alipata kujua kiingereza akiwa shule ya msingi na kukiongea fluently na masomo mengine kama hesabu alipata walimu wazuri na vitabu pia, akaja kwenda Fanya mtihani wa taifa huku tz akapita vizuri kabisa na kuchaguliwa peke yake katika shule aliyofanyia mtihani kwenda sekondari, From there onwards akasomea tz, akaajiriwa engineer,

Elimu ya msingi ya darasani na nje ya darasa aliyoipata akiwa kenya ilichangia huku awe sharp na kiingereza kumbeba sana kazini, baada ya mda akapewa umeneja maana shirika alilofanyia kazi lina vituo huko nchi zingine ambazo viongozi wali recommeand awe meneja kwa sababu ya urahisi wa mazungumzo na yupo sharp. Kwenye elimu ya nje ya darasa naona mzee ana anajua Kuinfluence watu kwa kiasi, Sijisifii ila mzee ana marafiki aisee!!! wale wanaomtafuta sana yeye kuliko anavyowatafuta, anapigiwa sana simu na kuombwa ushauri ama kamapani na viongozi wa juu kayika mkoa anaoishi, nimeshuhudia akiombwa kusuluhishi ndoa za wazito kibao tu,

Mwegine ni Huyu kijana anaitwa ontario, kijana akiwa na 23 alikuwa tayari na 100,000 USD, alisomea huko Kenya elimu ya msingi nadhani na sekondari akaja kumalizia huku sekondari, ni kijana mdogo sana ola mambo anayofanya si kitoto, kafanya mengi ola kubwa alilofanya ni kuleta mwamko Tanzania wa kyijua biashara ya forex, nakumbuka enzi hizo anaenda mkoa hadi mkoa kufundisha forex kwa siku 3 watu wanakua kama 250 ukumbini na kila mtu kulipia laki 2, na hapo walitaka waanze trading dogo anahamasisha wanafunzi wa trade kwa broker wake ambako alikua na gawio kidogo kwa kila kichwa, sadly wengi wakaanza mzushia ni tapeli, mwizi na bla bla kibao, the kid is smart, kamcheki huko insta sirjeff Dennis,

So that is my confession and I hope its not an abomination to my fellow Tanzanians, Nadhani huko Kenya kinatanua akili kidogo hata kiingereza kinakuongezea points huku tz ambako nibkawaida kukuta hata ministers wa educatoon hawakijui vizuri, No bad feelings guys.
Ukimkuta mtanzania anajua kiingereza... Utagundua kiingereza chake kuwa kitamu zaidi ya hao unaowasifia.

Siku zote juhudi za mwanafunzi ni muhimu kuliko za mwalimu.

Lakini pia usisahau kuwa kujua kiingereza sio kipimo cha akili... Isipo kuwa kukifahamu vizuri kunakupa fursa ya kujiamini zaidi kuwasiliana na watu wa lugha husika.

Mfano kama kweli unahisi unahitaji kujua kiingereza unaweza jiunga English counsel pale posta... Ukihitimu pale kiingereza chako kitakuwa ni worldwide standard na utaweza tambulika popote.

Sio lazima kwenda Kenya kujifunza kiingereza ambacho na huwa na mapungufu kama tunavyo ona ilivyo kwenye kiswahili.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimkuta mtanzania anajua kiingereza... Utagundua kiingereza chake kuwa kitamu zaidi ya hao unaowasifia.
Mtu akijua kiingereza anajua tu kama ilivyo mtanzania anavyokijua kiswali ambacho hakimpi shida kabisa, Ikumbukwe uzi huu sio wa mashindano mkuu, naona unataka kuanzisha ligi out of topic



Siku zote juhudi za mwanafunzi ni muhimu kuliko za mwalimu.
Again wakenya wengi kiingereza hawajifunzi darasani tu, bali hata wakitoka darasani kwenye jamii napo kinatumika hii inasaidia sana tofauti na hapa kwenye jamii kiswahili kinatumika zaidi, ukiingia darasani nako walimu wanafundishia kiswahili kwa asilimia kubwa sana, unakuta mwalimu ana define kitu kwa english ila anaanza kuelezea kwa kina kwa kiswahili na hii ni hadi vyuonu.

Lakini pia usisahau kuwa kujua kiingereza sio kipimo cha akili... Isipo kuwa kukifahamu vizuri kunakupa fursa ya kujiamini zaidi kuwasiliana na watu wa lugha husika.
Umesahau kwamba kiingereza ni lugha ya kimataifa? Umesahau kwamba kiingereza ni lugha ya biashara za kimataifa? Umesahau kwamba kiingereza kinapanua wigo wa fursa walizopata kina lupita nyongo? Umesahau kwamba kiingereza ni lugha inayofanya hawa ndugu zetu wachukue ajira za hapa tz huko UN arusha? Umesahau kwamba kukijua kiingereza unaweza kusoma karibu nchi yoyote duniani?

Mfano kama kweli unahisi unahitaji kujua kiingereza unaweza jiunga English counsel pale posta... Ukihitimu pale kiingereza chako kitakuwa ni worldwide standard na utaweza tambulika popote.
Hapo english counsel na kwa ras simba washkaji zangu kibao wanaenda wanatoka hapo bado ndio yale yale tu ya kujua kiingereza cha kuandika ila kile cha kuelewana wakiongea na wazungu ni sifuri, wengi wakiongea na mtu tofauti na mtanzania mwenzao au mzambia basi inakuwa shughuli kweli kweli, watu kibao wamesoma hapo wakienda huko UN wanalalamika wazungu wanamungunya maneno

Sio lazima kwenda Kenya kujifunza kiingereza ambacho na huwa na mapungufu kama tunavyo ona ilivyo kwenye kiswahili.
Naona tunarudisha uzi nyuma kwa ubishi badala ya kusonga mbele
 
Back
Top Bottom