Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
- Thread starter
-
- #41
Acha kunitukana wewe, mi mtanzania kama wewe, tuheshimiane basi!!!!Ni mkenya huyu fara, wengi hudhani English is oxygen. Pieces of shit.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba urudie upya usome maada neno kwa neno uielewe ndio uje uulize maswali,Unataka kutuaminisha wakenya wote wamefanikiwa kimaisha kutokana kupata elimu wanayoipata huko kwao?
elimu(ndani na nje ya darasa) ambayo watz wengi huipata Kenya ndio huwa inawapaisha juu ya wenzao wengi wakirudi tz, ila sasa Shida watz wenzangu navowajua mimi ni kwamba ukitaka wapandwe ubishi uliojaa hasira jaribu kuwaambia ukweliOkay, fine! What's your point here?
Maana naona sielewi tu mimi... mara Confession mara Mdingi mara Ontario mara Ung'eng'e mara... tushike lipi sasa!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwenyewe nilisoma na watz wengi sana shule ya msingi. Nakumbuka miaka yote, kutoka darasa la nne hadi la nane, watz ndio walikuwa wengi shuleni zaidi ya sisi wakenya. Watakukemea ila ukweli utabaki pale pale. Nina urafiki wa karibu na watz ambao tulisoma nao na huwa wanakiri kwamba elimu(ndani na nje ya darasa) ambayo walipata Kenya ndio huwa inawapaisha juu ya wenzao hadi sasa hivi. Shida watz navowajua mimi ni kwamba ukitaka wapandwe na hamaki zao feki jaribu kuwaambia ukweli.
Wewe jamaa ni limbukeni wa kutupwa.Kila nachoandika hapa ni real life sio stori, hawa wenzetu hapo wana nusu ya rasilimali tulizonazo wameweza kuwa Mara mbili aisee, truth pains. Nachoweza kusema akili inapanuka kwa haraka ukiwa na shida kama walizonazo hawa wakenya, not to brug but even Israel has a small area and most of it was a desert ila cheki sasa walipo. Hata mbegu ya mkenya ilikua inaiongoza marekani kabla ya trump
Mzee wangu ni mtu wa tarime huko karibu kabisa na Kenya, kufikia mpakani kwa Kenya ni kama nusu SAA tu kwa kutembea vichochoro vya misitu, basi enzi hizo shule kwa Tanzania hapo kwa mzee ulikuwa mbali sana ikabidi awe anasomea kenya, alipata kujua kiingereza akiwa shule ya msingi na kukiongea fluently, akaja kwenda Fanya mtihani wa taifa huku tz akapita vizuri kabisa na kuchaguliwa sekondari, From there onwards akasomea tz ila kwa msingi alioupata akiwa anasema Kenya alikuwa smart flani ivi na kiingereza kinatembea, akaajiriwa engineer shirika flani ivi la serikali ya Tanzania na nchi nyingine, basi kwa jinsi alivyo sharp na kiingereza kumbeba akikikutana na maboss wa nchi x akapewa umeneja, mambo nyumba ni yakawa fresh tu, hadi Leo ana picha zake alipokua huko na huwa anakiri kule ndo kulimfungua kichwa. Also ni mtu anajua Ku influence flani watu, kazi alikua nayo ya sio ya juu kivile ila alikuwa ni mtu wa kutafutwa, kupigiwa sana simu na kuombwa ushauri na mkuu wa mkoa alipoishi, regional police commissioner , DC, n.k no matter viongozi wanabadilishwa kiasi gani this has not changed till now, pia huwa anaombwa kua mcer kwenye harusi (a bit talkative)
Mwengine ni Huyu kijana anaitwa ontario, kijana akiwa na 23 alikuwa tayari na 100,000 USD, alisomea huko Kenya elimu ya msingi nadhani na sekondari akaja kumalizia huku sekondari, ni kijana mdogo sana ola mambo anayofanya si kitoto, kafanya mengi ola kubwa alilofanya ni kuleta mwamko Tanzania wa kyijua biashara ya forex, nakumbuka enzi hizo anaenda mkoa hadi mkoa kufundisha forex kwa siku 3 watu wanakua kama 250 ukumbini na kila mtu kulipia laki 2, na hapo walitaka waanze trading dogo anahamasisha wanafunzi wa trade kwa broker wake ambako alikua na gawio kidogo kwa kila kichwa, sadly wengi wakaanza mzushia ni tapeli, mwizi na bla bla kibao, the kid is smart, kamcheki huko insta sirjeff Dennis,
So that is my confession and I hope its not an abomination to my fellow Tanzanians, Nadhani huko Kenya kinatanua akili kidogo hata kiingereza kinakuongezea points huku tz ambako nibkawaida kukuta hata ministers wa educatoon hawakijui vizuri, No bad feelings guys.
U reaaly r starting to sound like a d*ck, umefura the likes of joka kifutu Dogo
Well u just admitted u don't know the guy well,if u got no data u aint got a right to speak neither contribute, u better go n do some research, else u gon be spitting senseless shit in this crib, u feel me bruv?? Seems u hate your fellow tanzanian making some pees bruv, at least get the decency to learn something from the guy who creeped the hell up insead of complainin or making some senseless excuses like serikali hakuna ajira. Who said it was brain washin bruv, thats an abomination bruv, you got proof?? seriously u are fumed up to the point the connection btn your brain and ur hate consumed fingers replying this post aren't a team no more, just like I said before mate u spittin bullcrap in here, go and do your homework.
I think the best place that suits you is the so called MMU forum, u lost your way in here innit
Mkenya badala ya kusema I work anasema I waki. Na bado wanajiona wazungu weusi, duh.Hii ndo English uliyojifunza Kenya??
I waki in ze esijiaraa. Hahaha! 😀 'Wakenya' bana.Mkenya badala ya kusema I work anasema I waki. Na bado wanajiona wazungu weusi, duh.
Sir can we continue on English please😎😎😎😎😎Hii ndo English uliyojifunza Kenya??
Na bado analamba kazi pale arusha kampuni za wazungu na UN kwasababu ya hio English, anatuacha wabongo tunashangaa shangaa tu na PhD zenu za kiingereza cha kuandikia essay "due to", " there for" "as following" "as below" " in conclusion" "firstly" "secondly"Mkenya badala ya kusema I work anasema I waki. Na bado wanajiona wazungu weusi, duh.
Kwa hiyo?Na bado analamba kazi pale arusha kampuni za wazungu na UN kwasababu ya hio English, anatuacha wabongo tunashangaa shangaa tu na PhD zenu za kiingereza cha kuandikia essay "due to", " there for" "as following" "as below" " in conclusion"
Hahahah Mpwa sio thread ya Ku attack hii, toa mchango usioleta maumivu kwa upande wa huku
It is sad but wanafanya hivi may be for a reason, mzee Wangu alikataa kata kata nisome government schools za tz, huko alikonipeleka ni English medium walimu karibu wote ni Zambians and Malawi, He really emphasized on me getting a slightly decent school where I can at least learn English, 2002 alifunga dstv home tuwe tunacheki cartoons kwa lengo mahsusi la Mimi na mdogo tujifunze zaidi kiingereza
Msingi ndio kila kitu mpwa, yani mtu udogoni akiwa sehemu kama huko UK akarudi bongo huku anakupa kuteleza tu maana elimu ya darasani na nje ya darasa huko uk inakuwa imenata haitoki, sasa shida inakua mtu kashakomaa anaenda kusoma huko UK masters akiwa mtu mzima, hapo Mara nyingi nafasi ya kibadilishwa na elimu ya ndani na nje ya darasa kwa uk ni ndogo matokeo yake ndio kama unavyoona hata kwa mawaziri waliosomea masters na PhD huko UK wakirudi tz kiingereza bado ni broken na nadhani hii inapelekea hata wanapenda huko maisha yanakuwa ni yanaboa kwasababu lugha haiwabebiWabongo bana asa tuliopia ma bachelor na master United Kingdom..tuseme nn ?? Hahaha
Nice Thread Tho.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Siwezi heshimu kiumbe anayekidharau kiswahili. English was just a mediocre lingual just like Swahili now.Acha kunitukana wewe, mi mtanzania kama wewe, tuheshimiane basi!!!!
Kataa ukubali Ontario kakupiga gepu wewe na mimiUliona bank statement ya huyo ontario ambayo ina hizo fedha au umejiropokea tu!!
Halafu hivi elimu ni kujua kuongea vizuri kiingereza au vipi??..vipi wakorea,wachina??
Mkenya badala ya kusema I work anasema I waki. Na bado wanajiona wazungu weusi, duh.
Wapi nimeandika nimekidaharau kiswajili lugha ya taifa langu??? Nachotaka kukandia ni kwamba dunia ni kama kijiji kwa sasa na language inayotumika sana kwenye mambo ya uchumi ni kiingereza, hata uwe na phd ukienda pale United Nations arusha au kampuni la wazungu huwa wanaangalia sana kiingereza mkuu, na ndio hapo sasa wakenya wanapotupiga gepu maana simu inaweza kupigwa huko london kama hujui kiingereza huna msaada hapoSiwezi heshimu kiumbe anayekidharau kiswahili. English was just a mediocre lingual just like Swahili now.
Sent using Jamii Forums mobile app