Confession: The hurting truth -- natamani kurudi kwenye ushirikina

Mimi sio Yuda Iskariote wa vipande vitatu vya fedha(labda almasi[emoji41])
Nishakuelewa nafikiri nawe utakuwa ushanielewa.. si unajua Tena msukuma hawezi kulala na ugali nao ulale! Lazima ugali ulale tumboni kwa msukuma..😂
 
Nishakuelewa nafikiri nawe utakuwa ushanielewa.. si unajua Tena msukuma hawezi kulala na ugali nao ulale! Lazima ugali ulale tumboni kwa msukuma..[emoji23]
[emoji3]Mwache binti wa watu afurahie maisha yake.. Labda nikufanyie kwa yule kigego
 
[emoji3]Mwache binti wa watu afurahie maisha yake.. Labda nikufanyie kwa yule kigego
Kigego tayari mbona yule nae mpk tutumie nguvu kubwa hivyo.. huko ni kusumbua mizimu..😅

Ila kigego anajua Mambo sema ndo kishazeeka..🤣
 
Mkuu kwa maana hiyo unajiamini sana ukiwa na ushirikina kuliko kuwa na Mungu???
 
Kila mtu ana uchafu na mapambano ndani yake. Kama hilo ndio lako ni sawa pia

cha msingi usiache kuwa na roho ya utu tu brother
 
Duuuu bro
Mungu akusaidie
Upo nami kwenye dua
 
If you love her keep her safely and you know how kenzy is so safely space for her.. be a good man..[emoji4]
[emoji1545] I will always be! I promise before all ghosts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…